Vijana wa siku hizi hebu sikilizeni jinsi Injili ya kweli ilivyo. Acheni mambo ya kuuza uza visaidizi. hubirini Injili ya Yesu Kristo ili watu wabadilike.
Amina. Hawa ndo watumishi waliohubiria na kufanya miujiza mikuu bila kutumia maji ya upako,wala nn na nn ila kwa jina la Yesu. Hawa wanaotumia maji.... nashindwa kuelewe kuwa ni ukosefu wa imani au watoka kuzimu!!.
Sijawahi Ona nguvu ya MUNGU kubwa kihasi hiki sijui nimiaka mingapi imepita lakini nimepatwa na nguvu kubwa nimepona hakika maumivu ya moyo vidonda Vya tumbo na maumivu yakifua hakika
Huyu Muhibiri namusikia kwa habari wazazi wangu wakimushudia kwani alifika Butembo DRC nikiwa bado sijazaliwa oooo nafurahi kumusikia na kusikia injili ya nguvu kama hiyi
Muujiza nilioupata Mimi wawokovu ni ajabu kuliko kupona korona Mimi Sasa ni raia wa mbinguni, Sasa vyote ni haki yangu pamoja na uzima wa mwili Amina.
Halelujah Halelujah 🙌
❤❤❤❤❤❤❤
I know one day I will do incredible things for the Kingdom
Nguvu ya injili ya Yesu Kristo 🙏
Amen mtumishi
Mbeya ndio israel ya tanzania kama unaamin gonga like
Yeeees mbeya kiini cha Baraka Tanzania
Very true
@@aimanabdallah9637 hakika
Niubinafsi wako tu huo mungu akusaisie
Kweli kabisaaaaa
Mahubiri rahisi kabisa kuelewa na kupokea wokovu ubarikiwe kamanda was yesu Amina,
Yaani kwa yesu ni raha sana
Mbarikiwe
Mtumishi mwenye injili nyepesi yenye kuelewa, na waliokoka kwenye injili yake mpaka leo wanaendelea,we missed you dear R BONKE
Na hii ndo injili!
Lord this is the gospel I want to preach to your people before my time end ,alleluia amen!
Be it so
Vijana wa siku hizi hebu sikilizeni jinsi Injili ya kweli ilivyo. Acheni mambo ya kuuza uza visaidizi. hubirini Injili ya Yesu Kristo ili watu wabadilike.
Amen, Haleluja... ❤️💕🙏😀
Mungu tu Ndio anawez kubadlixha maixha yangu
Thanks for making me know Jesus amen
Oh God rise other man like this man, Moses to Joshua, Thank you God
Sure ahitajika mtu kama huyu yawezekana akawa mmoja aliyetazama video hii' akapata impartation
@@emmanuelnikodem4302 Amen
GOD BLESS YOU EVANGELIST
Never the less your death but your words are still lively man of God.
Real and we are to preach as they preached
A general of the faith and a great inspiration. Bwana asifiwe!
amen and maybe you are the one to bring that revival
@@EGSiyaga1 Naamini Mungu. I believe it yes.
@@EGSiyaga1 I plan to come 2023 (Revival for Tanzania on another account).
Sbarikiwe Sana huduma hii Ni njema Sana Mungu ailaze mahali pema roho ya mtumishi wake
Nina shukuru Mungu sana kwa habari njema ya okovu niko Congo
Mungu akubariki sana
Daaaaaa mbeya moja. huyu mkaliman alifanikiwa sana
Hallelujah hallelujah hallelujah huyu Yesu wangu mwema nimefurahi Sana kusikia Injiri Hii
God is the same yesterday today and forever, glory to God
Utukufu kwa MUNGU juu,utakumbukwa daima Bonke
Than true! 🌞 Sun is more perfect year and year is not a old!
Powerful God keep touching my life as you touch the life of your Servant in Christ
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎵🎵🎵🎵🎵📢📢📢📢📢📢📢📢📢
I remember your pastor Reinhard bonke
amen Be blessed
Hii ni nzuri sana.
❤❤❤❤❤❤❤
Amen ubarikiwe sana
Mahubiri ya nguvu Sana.
Yaani tunahitaji wahubiri kama Hawa tena
Thx!for gud preach
Aksante Sana Ubarikiwe,Nitapataje mahubiri ya mwinj Reinhard Bonke alipo kuja Tanga Tanzania?
Mtumishi angalia channel hii Kuna video zingine
Mungu akubariki sana nabeba mafuta ya kimungu kupitia mt huyu kwa imani katika jina la yesu
Amen
Amina. Hawa ndo watumishi waliohubiria na kufanya miujiza mikuu bila kutumia maji ya upako,wala nn na nn ila kwa jina la Yesu. Hawa wanaotumia maji.... nashindwa kuelewe kuwa ni ukosefu wa imani au watoka kuzimu!!.
Hao ni waganga njaa hawana uchungu na kondoo japo wamejificha kwa macho ya nyama mpaka uwe was kiroho kuwatambua madudu yao
Mungu atusaidie
🤸🤸🏃🤾🏋️🧎👩🦽👩🦼 uko unako kwenda chali yangu unataka vijana wa mwamposa wakutekee🤩🤩😜 sipoo..
Blessed man of God
AMEN
May God rest his soul pesfuly amen
Glory to Jesus christ.sir rein be blessed at the name of Jesus Christ
napenda za bonnke sana
I remember you pastor
Amen 🙏❤❤❤
Haleluya haleluya haleluya.
Ubarikiwe ulielirusha mahubili haya kwenye TH-cam
Je suis content pour parole de Dieu
Wahubiri kama hawa wako wapi duniani!!@
Natamani ningekuepo live
Powerful gospel
Glory to God
amen
nimependa zingine
Wonderful message.
Lord to God be blessed man of god
Sijawahi Ona nguvu ya MUNGU kubwa kihasi hiki sijui nimiaka mingapi imepita lakini nimepatwa na nguvu kubwa nimepona hakika maumivu ya moyo vidonda Vya tumbo na maumivu yakifua hakika
Utukufu kwa Mungu Bwana azidi kukubarikia na kukulinda na akufanye wewe kuwamsaada kwa wengine.
Never remember paster reinhard bonnke R. I. P
Amen 🔥 alikua mbeya wap
Nzovwe
Praise the Lord
amen
Good one
Huyu Muhibiri namusikia kwa habari wazazi wangu wakimushudia kwani alifika Butembo DRC nikiwa bado sijazaliwa oooo nafurahi kumusikia na kusikia injili ya nguvu kama hiyi
Wakalimani wa Leo jifunze ukalimani kupitia huyo mtumishi
Amen. Glory to GOD
Asante yesu
Hakika💪💪💪🔥🔥🔥🔥
Ilikua mwaka gani hii
God bless you!!
amen bless you too
Mkalimani Yuko vizurii
Zaman Sana we angalia mkaliman huyu na wa Sasa! Duh uyuu mtuu abarikiwe abarikiwe San@
🔥🔥🔥🔥
uwanja wa Furahisha 1994
Haleluya
Hallelujah
Jesus is alive
Ameeni Ameeni
What's the name of pastor translator?
Amee
Kama mwamnza vile 1994
Where are you now mr bonke
was promoted to glory
L
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen