Nisipo comment Ntakuwa Sifai Hii Nyimbo Ndio tuliingilia Ukumbini Kipindi tunamaliza Form four 2013 na Mimi Ndio Niliyoipendekeza Nilihairisha Safari ya Kwenda kwa Bibi yangu ili Niipigie Upatu na Hatimaye Nikafanikisha RING'WANI SECONDARY SCHOOL
Wewe jamaa mbona kama umemaliza secondary mwaka mmoja na mm 2013 Senani Secondary na huu wimbo tuliingilia ukumbini dah bro umenikumbusha mbali. 😂😂🎉🎉 Tulioingilia ukumbuni huu wimbo tafadhali tujuane
+Antonio Achi Kujua kiingereza sio kujua kila kitu.. Hapa tunaangalia muziki wa Ommy Dimpoz na hatuko kwenye darasa la majivuno ya kujivunia lugha ya wazungu we mjinga.. Wengi huko Kenya kiingereza chenyewe mnavunja.. Pia, Tanzania sio neno la kiingereza.. ni jina la nchi.. nalo huandikwa kwa kuanzia na herufi kubwa.. "T" na sio a small "t".. kwenda huko na lugha yako ya kuazima.. Sie Kiswahili kinatutosha babu..!
+Joseph Gomalo Kiswahili ni Lugha ya mama ya Waswahili kule pwani. Nina lugha yangu ya mama. Kwangu Kiingereza na kiswahili zote ni za kuazima. Nazungumza kiswahili kwa sababu hapa Kenya, ni official Language tu, hamna sababu nyingine. Kiingereza pia ni Official Language. Lakini sababu we ni fala tu, hauezi elewa. Issues zingine ziko too complex kwa akili duni. Ata sithani unaelewa maana ya neno "mjinga" kwasababu ungekua unaelewa, haungelitumia.
Tupogo mpak sasa mungu ni mwema naomben tulike jaman ✊🤙🏻👍🙏🏽🙏🏽
Tupogo Bado tupo 2024❤❤❤
I love this song❤ wapi likes2023
Ii nymb nakumbuk mbali sana da poz kwa poz uk my nimekikumbuk sna
Who's here 2020
Mungu anatukumbka2024 tupogo,,salut bro
Tisha saana mkaka thumb up.
MashaAllah I real like this song "Tupogo" ❤❤❤ Watching from "Kenya".
Nisipo comment Ntakuwa Sifai Hii Nyimbo Ndio tuliingilia Ukumbini Kipindi tunamaliza Form four 2013 na Mimi Ndio Niliyoipendekeza Nilihairisha Safari ya Kwenda kwa Bibi yangu ili Niipigie Upatu na Hatimaye Nikafanikisha RING'WANI SECONDARY SCHOOL
Wewe jamaa mbona kama umemaliza secondary mwaka mmoja na mm 2013 Senani Secondary na huu wimbo tuliingilia ukumbini dah bro umenikumbusha mbali.
😂😂🎉🎉
Tulioingilia ukumbuni huu wimbo tafadhali tujuane
Huu wimbo nakumbuka nlikuaa seminary mwaka 2013 had nlipata kesi ya kutumia simu shuleni sabababu ya hii ngoma ..Leo 2019 still watching
Hahahaaaa mm nlikua chuo mwaka w kwanza ,dah nkumbuka
Me nilikuwa nafaya kaz kwa mtu leo hii 2021, ninabiashara zang najiedesha mweyew love san hii goma peda san
This song will live forever.
Kwangu naifanya kifungio cha mwaka 2021. Respect
who's watching untill 2021
Christine Arotso
Miiii
Nakupendaga
I am watching
Me 🖐️
2023 🥶🥶🥶🤗
tupogo bado inapendwa 2024
I love it the was it composed very nice songs of Ommy Dimpoz good job,trumpeter blown in a style
still favourite from 2013 - 2020
my favourite song i really love this song for sure
Nakumbuka huuu wimbo ndio tuneingilia Kwenye Form Four hadi Raha 2013
form four 2013 tuko pmj
Pamojaa na ndio tuliingilia ukumbin
Who is here,2021, I love the songs of this star,Akiyaoo...❤️
Hii nyimbo naipend San jmn ❤❤
Song yanikumbusha kitale.... I'm missing my country ni, Dorothy nikiwa Lebanon.
since I started listening to bongo music,,this is the best of all .. Big up
who's watching 2019
Me I'm watching now 2023,,,,, nakumbuka maisha kweli kweli utoka mbali nimepata wacha tukule mm naye
2021✌️
Those time bongo ilikuwa na some message sio kaa izi za saa hii
pikup ommy n j matis ta song iko juu tu sana
nice one
I don't know what his singing lakn naipenda sana wimbo hu jmn😂😂😂
the song itself.soo lovely
Duuh kweli tupogo. inanikumbusha mbali mm
nakumbuka mingi sana
Hii nyimbo kipindi nipo chuga maisha magumu nikaipenda san
2019♥️💯Ommy God Loves You Foreal🇰🇪
Mungu ni mwema asee bado tupogo🙏🙏🙏
Kiwe kidogo❤❤❤
Tunacho pata ni chetu mi na yeye tu😍❤
sure
can i know you more?
welldon estee
Sure. Follow me in my social medias! Usernames are in the description box. Thanks🌸 Don't forget to subscribe
Hii time Ommy alikua wa moto xna kaz juu ya kaz video kali za bongo zilianza kwake nkmbuka kipindi hiki nikiwa Mozambique Nampula
Atari Sana hi ngoma ya ommi
mmmh aaaaaaah nice one big up
awesome, ommy dimpoz uko juuu, fan wako kutoka mombasa kenya
Nyimbo kali 😍
Who's repeat watching this big Song Pozi kwa Pozi
Bado tupo 🤝😍🙏🇰🇪
wow ommy dipoz najuta kwanini nakupenda lazaidi sana 😆
Till end of time ....u make ma night haswa nmekosana na mpenzi wangu!
Hii ngoma kali sana haichuji hata
2020🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ommy dimpoz i really lyk ur voice,how u create ur music....i think u r tha best bongo artist in Kenya....bravo .....
Correction "Tanzania"
lila lolo in kenya is the word...understand b4 u contradict...but from tanzania
lila lolo Enyewe Kiingereza shida bongo
+Antonio Achi Kujua kiingereza sio kujua kila kitu.. Hapa tunaangalia muziki wa Ommy Dimpoz na hatuko kwenye darasa la majivuno ya kujivunia lugha ya wazungu we mjinga.. Wengi huko Kenya kiingereza chenyewe mnavunja.. Pia, Tanzania sio neno la kiingereza.. ni jina la nchi.. nalo huandikwa kwa kuanzia na herufi kubwa.. "T" na sio a small "t".. kwenda huko na lugha yako ya kuazima.. Sie Kiswahili kinatutosha babu..!
+Joseph Gomalo Kiswahili ni Lugha ya mama ya Waswahili kule pwani. Nina lugha yangu ya mama. Kwangu Kiingereza na kiswahili zote ni za kuazima. Nazungumza kiswahili kwa sababu hapa Kenya, ni official Language tu, hamna sababu nyingine. Kiingereza pia ni Official Language. Lakini sababu we ni fala tu, hauezi elewa. Issues zingine ziko too complex kwa akili duni. Ata sithani unaelewa maana ya neno "mjinga" kwasababu ungekua unaelewa, haungelitumia.
Wonderful boy sings like little angels with arranged tools vices so merverous,make me feel so cool indeed.
william botta
Ndio yule mwanzo na badaye aahaaa
Mpigaji zumar sasa
I have been searching for this song 2 days ago,,I finally got it
6 years later.. Still my jam
ngoma kubwa
Kaka nakukubali sana
huu wimb unanikumbuxha mbal xan kun bxt ang àlikuwa anaupend xan halaf kaxhafalik kil nikiuxikia napat maumiv
2021🇲🇿😍
2023 still listening 🎶 👌
I miss this song
Old but gold, noma sana....!!!
hii video sijailewa kabisa
bado nko nae hahaaahaaa inapendeza mno
2022 still 🙌🙌
what a great song? keep up the good work Ommy!
Who is here 2023
I love the song wow can't help dancing to the tune
I know right! Me too! Hey perhaps you could visit my channel and subscribe? I'll be thankful❤❤
good music who cares if is corrupted keep your head up kaka yetu endeleza music yako
❤❤❤❤❤😂2024 still the song is 👌
ona vichwa chini wamenunai
love it🤓
Bado ninaye simuachi
Imetulia big up tunasubiri kibao kingine.
Tupogo song makes me think about so many things keep it up.
who's listening in 2022 ❤
Am in love wid dat song
Faza July njoo chek dude ili
October 2020
Wonderful boys they sing like angels,coming up so well i love them. They make me think positive.
2023 gather here❤️❤️❤️
Still here 2024
2020 tupogo
i love everything about this music .mwaahx
Mmmmmmmh
one of best J Martin's song
For music lovers these are what to listen and dance slory
Tiktok brought me here in 2023
tupogo ngoma kali
mbona bado nipo nae....😘😘😘😘😘👌
Who is here for 2021
I love this song 2021 who is here let gooo
I love it#Dimpoz Kopoz
2018
Ommy you made it to be hotter than expected
Back in 2012 in garrisa
My best bongo music, so smoooooth.
ngomahii nikiisikia nakumbukq mengisan
Yimbo ziripendwa
Still listening 🎧 to this song in 2023.....🎉....
Dimpoz asua alma discansa em paz
Ele morreu?
I really like the song Jay Jay
great piece
noma sana thumb up
kama imetoka saiz vile
Wow.. Love it