Mahubiri yatofauti sana ukisikia unajiona huru sana kimwili na kiroho wakiti mwingine hatakama umechoka unanjaa unamwazo yaani vinakwisha mungu akutunze mtumishi endelea kutuletea zaidi
Mungu akubarik sana kk kwa kutuletea injli ya mzee wetu Kulola hakika mtumishi huyu alifanya kazi ya MUNGU kwa namna ya pekee sana.. Nampenda sana..nmebarikiwa sana
Amina ubarikiwe Ester lakini nikusihi mtumishi wa MUNGU zingatia sana utukufu wake aliye juu "Grory to God" write the really letter of our Great God cause you will got wrong meaning
+Sadick Said (Boaz) amina mtumishi nitazingatii na mungu akubariki sanaaaa huaa nikisikilizaa haya mahubili nahisi uwepo wa mungu ndani yani mungu akuongozee uendelee kuweka vipindi vya babu etuu hewan wengine wanafunguliwa kupitia mafundisho haya Mungu akubariki sana
mutumishi lazima tuinge njia zilizo za haki tumuombe mungu yeye ndo kilakitu mutumishI wa mungu umelala katka haki ya mungu nawanadamu tufate muhubilI yako ili yatujenge kiimani tuishi kumutengemea mokoziwetu yesu kiristo
Enzi za mzee kulikuwa hakuna Usanii wa mitume na Manabii Vurugu izo hazikuwepo sababu mzee alikuwa anawaita vikao na kuwapasha habari nyie acheni kuibia watu!
Mahubiri yatofauti sana ukisikia unajiona huru sana kimwili na kiroho wakiti mwingine hatakama umechoka unanjaa unamwazo yaani vinakwisha mungu akutunze mtumishi endelea kutuletea zaidi
Yesu asante kwa ajili ya mtumishi wako Moses Kulola hakika kaifanya kazi yako vyema.
Ameen
Nikwamsaada wa mungu aliyafanya yaliyomema na kwakuwa alijikana mungu ni mwema sana.
Nampenda sana yesu mwana wa mungu.
Kazi kwetu sisi tiliobaki timejiandaaje?
Jamani walobahatika kuonana na Moses kulola live walipata chakula kuzuri sana pumzika Baba yetu shujaa wa imani
Nahisi nitaokoka soon , Yesu aniingie.
Mungu akubarik sana kk kwa kutuletea injli ya mzee wetu Kulola hakika mtumishi huyu alifanya kazi ya MUNGU kwa namna ya pekee sana..
Nampenda sana..nmebarikiwa sana
Mungu AKUBARIKI pia
Sadocky S. Boaz Amen kk
Sadocky S. Boaz Amen kk
Mungu akubariki sana ndugu yangu,uendeleye kutupa mahuburi ya marehemu Moses ,tulibarikiwa sana na mahubiri yake alipokuwa anatutembelea huku Burundi.
Ubarikiwe pia Mnadhiri wa Mungu Mr Samson
Kamanda, mpiganaji, askari hodari na shujaa wa imani. Naipenda injili yako. We miss you Grandpa...
Ameen asante yesu kwanipa neema ya kuwa mwanao asante kwakunipa neema ya wokovu
Amen
barikiwa sanaa unarusha mahubiri hayaa ya babu etu moses kulola nabarikiwa sana nikisikiliza mahubiri yake . glory to god
Amina ubarikiwe Ester lakini nikusihi mtumishi wa MUNGU zingatia sana utukufu wake aliye juu
"Grory to God" write the really letter of our Great God cause you will got wrong meaning
+Sadick Said (Boaz) amina mtumishi nitazingatii na mungu akubariki sanaaaa huaa nikisikilizaa haya mahubili nahisi uwepo wa mungu ndani yani mungu akuongozee uendelee kuweka vipindi vya babu etuu hewan wengine wanafunguliwa kupitia mafundisho haya Mungu akubariki sana
Amina tubarikiwe wote
+Sadocky S. Boaz amen
Hii ni kazi ya Mungu hakika
Jamani huyu mtumishi kweli melala katika haki natamani mahubiri yasiishe yupo paradise saiv anasubiri kuvikwa taji na ujira ulio mwema
Tutakukumbuka daima mtumish
Amen.Mungu atukuzwe katika Kristo Yesu ubarikiwe mtumishi....
Amen !! Amen !!?...kenya...watamu.
Asante mtu wa Mungu
Mutumishi wangu kwel
Haleluyaaa!
free masson wewe hapanaa Baba
Amina mbarikiwe ndugu zangu nawatakia kazi njema kazi kamaii.
Hakika mungu anafanya kazi yake kupitia kwa watumishi wake wa ukweli kama huyu mze e ambaye sasa yuko paradiso.amen mungu ni mkuu
Glory be unto you God. Amen
Habari bazima mafiye charline mihigo
Amen
Mwanzonii sauti ni ndogo lakini baadaye inakaa vizuri, mniwie radhi kwa hilo tatizo
Sadocky S. Boaz ucjal tunashukur sana maana tunajifunza kitu kikubwa
Okay dear
Barikiwa Sana Sadocky s.Boaz
@@teddyjoseph2634 Amina tubarikiwe wote
Ameeeeeen...
Halima Mungu akubariki sana!!..
mutumishi lazima tuinge njia zilizo za haki tumuombe mungu yeye ndo kilakitu mutumishI wa mungu umelala katka haki ya mungu nawanadamu tufate muhubilI yako ili yatujenge kiimani tuishi kumutengemea mokoziwetu yesu kiristo
Kuna mapepo yametawala.watu
Wanaweka Thumbs down pengine hata hawaelewi anachokisema inasikitisha! Ila angeongelea Majini aaah 1.5m views
huyu mzee alikuwa mashine nyngne kabisa
Mahubiri mazuri ila katka maombi. Huwa ham.maliziii jamani ili wengine tupone kupitia maombii
Minapeda mahubiri Ohio
Malawi
Ni Nan Tena aliye Kama huyu baba ,,
Enzi za mzee kulikuwa hakuna Usanii wa mitume na Manabii Vurugu izo hazikuwepo sababu mzee alikuwa anawaita vikao na kuwapasha habari nyie acheni kuibia watu!
Pascaline malawi
What do you mean Mr shokano
Simire nshokano
Mungu akumbariki
Yesu akubariki
Yeyote atakaye amini maneno haya,
Ataokolewa,
Bwana awabariki wote mnaofanya kazi ya kusambaza mahubiri haya,
Tendeni ktk Roho wa Mungu,
Moses Kulola Amelala Katka Bwana.
sadocky naomba unitafute mimi sylass 0742692079
Call me +255683756333
Amen
Amen