FAIDA YA NYAMA YA SUNGURA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 27

  • @samwelmapor
    @samwelmapor ปีที่แล้ว +2

    Nata futa soko la sungura ninao wengi sana

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 ปีที่แล้ว +3

    SubhanAllah. Nijuavyo supu ya sungura ni dawa kw watu wenye pumu (asma) mengine mapya kwangu. Alhamdullillah

  • @dubaaliow5196
    @dubaaliow5196 5 ปีที่แล้ว +1

    Jazaka Allahu kheiraa sheikh

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 3 ปีที่แล้ว

    Waleykumusalamu warahmatuLLAHI wabarakatuh, shekhe naomba kuelekezwa kiasi cha kuchanganya mai ward na manyoya ya sungura kwa kutengeneza mafuta ya nywele asanteni

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupokee kwa rehma zake

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah

  • @amissatamri355
    @amissatamri355 ปีที่แล้ว

    Wallah nilikuwa naogopa kumla nilijua ni alamu

  • @masoudhaji5138
    @masoudhaji5138 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante sheikh kwa darsa

  • @abdulhakimabdulrahman1201
    @abdulhakimabdulrahman1201 5 ปีที่แล้ว

    Swadakta! Mwenyeee

  • @abubakarihtarimo7660
    @abubakarihtarimo7660 5 ปีที่แล้ว +3

    Nafuga sungura naogopa kuwala nikijua hawaliwi

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆unafuga kws faida gani

  • @bahashachembea6922
    @bahashachembea6922 2 ปีที่แล้ว

    Twayyiiiiibu

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona uislamu unavurugwa sana jamani hivi itakuwaje uende kuposa kwa jicho la sungura mbona waganga nyie acheni mambo ambayo mtume hajafundisha mnapotosha umma

  • @lamilarlamar68
    @lamilarlamar68 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwahiyo kula sungura sio dhambi?

  • @nusaybasaid3378
    @nusaybasaid3378 5 ปีที่แล้ว +1

    Asalam alykum shukran sana kwa darsa
    Nakuomba shekh utuzungumzie mada ya kuzuia mimba nivibaya au sio vibaya
    Na je kuna njia gani sahihi yakutumia inayo kubalika kiislam

    • @abdullamzee6241
      @abdullamzee6241 5 ปีที่แล้ว

      m.th-cam.com/video/Us5U67MAdoc/w-d-xo.html

    • @OfficialJouma
      @OfficialJouma 5 ปีที่แล้ว

      Nusayba Said ninavyojua mimi njia sahihi ni kufuata tarehe za siku zako

    • @nusaybasaid3378
      @nusaybasaid3378 5 ปีที่แล้ว

      @@OfficialJouma shukran

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Sheikh aitwa nani? Ama ni Sheikh mjenga nyumba?

  • @faisalmohamed1763
    @faisalmohamed1763 5 ปีที่แล้ว

    A,a ati macho ya sungura ukila uwende kuposa hukataliwi? dawa hio alieizumbua nani? huma kazi upuzi mtupu. kuhadithia story za kuskia bila kupima.

  • @abdulazizmbarak6823
    @abdulazizmbarak6823 5 ปีที่แล้ว

    baishara sungura wale wako wapate kununuliwa

    • @hamiafasta
      @hamiafasta 4 ปีที่แล้ว

      Google online sungura ndo nyama ambayo inapendekezwa kuliwa kwa wingi duniani

  • @khamisissa252
    @khamisissa252 4 ปีที่แล้ว

    mbona mengine ni mambo ya kiganga?