Mwamba ulio pasuka 110 NW
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2020
- 110 Nyimbo za wokovu
MWAMBA ulio pasuka
Nyimbo za wokovu
1. Mwamba uliopasuka,
ndani yako nijifiche!
Maji yale, damu ile
itokayo mbavu zako,
iwe dawa ya kuponya
roho yangu na ubaya!
2. Kazi za mikono yangu,
haziwezi kukomboa.
Hata ningelia sana
na kutenda kazi nyingi,
singeweza kuokoka,
peke yako u Mwokozi.
3.Ndani yangu sina kitu,
naushika msalaba.
Uchi mimi, univike!
Sina nguvu, ‘nichukue!
Ni mchafu, unioshe!
Wewe u Mwokozi wangu.
4. Kwa maisha yangu yote
hata nitatoa roho,
hata saa ya kuitwa
mbele ya Mfalme wangu,
mwamba uliopasuka,
nijifiche ndani yako
#Nyimbozawokovu
Asante sana kwa nyimbo izi
Amen 🙏 amen hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah hallelujah amen 🙏
Mungu awabariki,tunashukuru sana,tunajifunza Pia tunabarikiwa saba,.
Zuri kabisa
Je t’aime JESUS amen
Amen
Mungu nimwema kwamaisha ya mwadamu
Asante yesus
Asante sana Mungu awabariki kwa nyimbo izi maana wengine tunajifunza na kubarikiwa sana. Mungu awatie nguvu na kuwazidishia. Kazi nzuri!
Nabarikiwa amen
Amen amen
Haleluyah
Hakika mnanibariki mno
Mungu awape kipawa zaidi
Oh God!! I feel tears of joy in my heart when am listening this amazing song 😭😭😭😭😭😭....Stay blessed
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ so excited to get home with my kids today and celebrate the new year together in the garden and highball jrj jnvkv happy birthday hope you all are doing
Mungu Baba Awabariki kabisa na Awatendeye mema.
Amina Dada yangu. Ubarikiwe piya
Jtm Jésus
Amina
Le seigneur et mon berger
inani jenga
Amina❤❤
Mungu akubariki sana.
Ameniweka huru kweli
Alléluia 🙌
Amen amen amen 🙌
Amen que dieu protéger mes soeurs et frères
Amen 🙏
Oooh haleluya
Merci seigneur pour ton amour
Amen! Amen !Amen!!
😊
🎉🎉🎉
Emen
Amen.
❤❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏
Hi. Guys
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen