LOUI afunguka MAZITO kuhusu nguvu ya DIAMOND, asema kumfikia wengine itawachukua MIAKA 3

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 37

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 3 หลายเดือนก่อน +5

    Loui talent yake si ya kibongo at all ila ndoivo.. He's really a Grammy Bway🙌.. S/O to u brother Sky.. Studio noma sna S/O to our sis Bby Sky🙌🔥

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chemistry ya loui & sky kwent interview imekubaliiii🙌🔥🔥🔥

  • @yaduniapeter
    @yaduniapeter 3 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera kamera quality

  • @ullyamos4205
    @ullyamos4205 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka sky hapo loui aliposema kujaza uwanja taifa stadium diamond anajaza fact ni miaka sita iliyopita 28 july 2017 alijaza taifa ,pia ww mwenyewe kupitia sns miaka mnne a
    Iliyopita alijaza Sierra leone watu 70000 stadium na ni show zake sio matamasha ya kisiasa ,au endorsement za makampuni bas taifa inawezekana embu mkatafute nilivyosema koz ni ukweli mtupu niliosema, huyu diamond wetu tu msupport plan yake ni kujaza nje ya africa kwa wingi huo huo km africa anavyifanya ,about loui nitasema km interview yake alifanya na almando bongo 5 kwamba diamond hakumuona loui na bruce africa akamsign dvoice kweli daah inashangaza japo ni biashar za watuu

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 3 หลายเดือนก่อน +2

    Uchumi wa Tanzania tatizo wananchi wengi masikini

  • @ByamunguBatumana-ff9de4zx6p
    @ByamunguBatumana-ff9de4zx6p 3 หลายเดือนก่อน +4

    FALLY IPUPA anayo concert mbele ya watu 16000k kwenye LDCL ARENA ya ufaransa leo usiku tunaomba sky utuleteya abari za iyo concert pls

  • @dullymanso3069
    @dullymanso3069 2 หลายเดือนก่อน +1

    Loui anaongea facts and facts only

  • @titoamani-e8b
    @titoamani-e8b 3 หลายเดือนก่อน +11

    wasanii wengine kama Harmonize anaamini kuroga youtube account ya Diamond itamufanya atrend sana😅😅😅😅😅

    • @mkgorilla7200
      @mkgorilla7200 3 หลายเดือนก่อน

      Anayeamini hivo ni wewe

    • @SaidSaid-nr2xe
      @SaidSaid-nr2xe 3 หลายเดือนก่อน

      Apo TN bado

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 3 หลายเดือนก่อน

      acha nyege

    • @Ismaeldaktari254
      @Ismaeldaktari254 2 หลายเดือนก่อน

      Unawashwa,una hamu yakukunwa😂😂 uliona lini akoroga...

  • @DoroMally
    @DoroMally 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Diamond

  • @HercaIlunga
    @HercaIlunga 3 หลายเดือนก่อน +13

    Miaka tatu ao 30? Miye naona itawachukuwa miaka 100 na zaidi na pengine hatatokea wa kumufikia

    • @NoName-pp4lo
      @NoName-pp4lo 3 หลายเดือนก่อน +3

      True

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 หลายเดือนก่อน +1

      We una akilii wap kibao wakina konde boy Vani boy Wana kiwasha kushindwa uyo boya wenuuu kafanya nn chaaajabu Kuna watu waliwazaa uka patikana mzikiii WA bongo felevaa we etii mondiii nyinyi ndio mna uwa vipaji vyaa watuu Kuna marioo wa motoo saanaa

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 3 หลายเดือนก่อน +3

      Hakuna wa kumfikia

    • @Tanafa-j9q
      @Tanafa-j9q 3 หลายเดือนก่อน +6

      Xx we shoga hata Kam hujui kusoma ta picha ikuxhnde kuielewa#hao vistul unaowasifu yy nd kawafundsha Kila ki2 kuhusu music afu unatoka na komwe lako ilo ka Tako la mwjk unabwabwaja😂😂😂😂😂😂#in shot atakayekuja kumfunka Simba labda watt watakaozaliwa 9800

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@RomanMwinyi Vanny na Harmo ni maajabu yake yeye bila yeye wasingefika walipo sasa na wao wamefanya makubwa gani kumzidi Mondi

  • @CamweziKarrashnekov
    @CamweziKarrashnekov 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye muziki acheni tusubiri ujio wa Yesu wenda huko ndo tutamuona Diamond mwengine

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tushkuru tulichonacho na tuendelee kupambania kizidi.. ila sio kulia eti mziki wa bongo mgumu.. Bro kuna nchi kama Burundi🇧🇮 wanatuangalia sisi kama ma role models though tunalialia

  • @Wizy_store
    @Wizy_store 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ila loui😂

  • @RealAnimatedMovies
    @RealAnimatedMovies 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huwa nafrai kuona msanii ana uwezo flani au maarifa ya kujua mazingira kwa upana wa elim yake anakua mwepesi wakupangilia maudhui

  • @tagbaya2347
    @tagbaya2347 3 หลายเดือนก่อน +4

    Loui aanze kujitafuta kuanzia chini ili afanikiwe zaidi ahakikishe kwanza amejulikana Tanzania ndo aupeleke nje aache kudili na mataifa ya nje wakati bongo tu watu awajamjua

    • @fj8317
      @fj8317 3 หลายเดือนก่อน

      Hiyo point kubwa sana haioni sababu ana numbers nje ila ndani ni muhimu Ili apate endorsement na shows

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi ndiyo kwanza namwona sijui wimbo wake hata mmoja

  • @imanimhagama4647
    @imanimhagama4647 3 หลายเดือนก่อน +1

    Rekebisha kauli ile haikua mchana ni usiku ila hakukua giza totoro

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ujue Sisi hatuwezagi kufungua interview ye yote anayemsema vby Diamond kbs alafu tupo wengi

  • @kennedymafole
    @kennedymafole 3 หลายเดือนก่อน +1

    daxo chali like zake hapa

  • @Robinson24560
    @Robinson24560 2 หลายเดือนก่อน +1

    Miaka tatu itawachukua miaka mia tatu hamsini chibudee hashikiki leo walo kesho

  • @JohnVicenti
    @JohnVicenti 2 หลายเดือนก่อน

    Miaka 500

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 3 หลายเดือนก่อน

    Lewis Hamilton alionekana kwenye clip akiisifia ngoma yako selema!

  • @iam_sami
    @iam_sami 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa anajua sema nimjuaji sna aisee na iyo ndo itmkwamisha eti aliyo yafanya diamond kwake atatumia miaka mitatu nakunya ato tokea kama diamond ata akijalibu

  • @TariqJafari-w2j
    @TariqJafari-w2j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kauli za wasanii ambao hamjui mnachotaka ndo itafanya wengine washndwe