Mtaka ni Moja ya Wakuu wa MKOA Ambao KILA MKOA unapoongoza unaacha alama za FAIDA.Mungu Akutangulie na akufikishe Mbali na Ukawe hata Makamu Wa Rais Jamani.
Kazini kama wewe ni mlevi ni mlevi tu, na ulevu makazini unakeraga wafanyakazi wenzio! We mzeee pungiza ulevi 😃😃😃😃mkurugenzi huenda ana makosa ila ulevi wako pia ni tatizo
Is this proper way of loging the complaints against your superior ????? ? for those who are real educated can understand the nature of the the complainants
Mtaka is a man among the men!
Mtaka ni Moja ya Wakuu wa MKOA Ambao KILA MKOA unapoongoza unaacha alama za FAIDA.Mungu Akutangulie na akufikishe Mbali na Ukawe hata Makamu Wa Rais Jamani.
Mtaka nakukubali sana, huyu ni kati ya Wakuu wa Mikoa wachache sana wenye hekima waliowahi kuongoza Tanzania. Mungu awe nawe Mtaka.
Nakukubali Sana kiongozi
MTAKA UMEELEKEZA VIZURI SANAA, HONGERA
MH mkuu wamkoa muondoe uyo mkurungenzi haraka sana ,
mtaka uko vzr kwa mawazo mazuri kazi iendelee
Great...l
Hawa wanaovaa nguo za siasa kila mahali Mungu anawaona
Mtaka is very smart guy
Mtaka your the man.
Tuna hazina chache sana za jinsi yako Big up young man. Let the sky be your limit.
Awasimamie sasa hawa wasiyojua kitu mkurugenzi mbabe hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi
Good
Rc Mtaka wewe ni smart sana mkuu. Uindelee kuwa promoted
Waambie, vyeo ni dhamana
Safi Sana mhe.Mkuu wa mkoa wa Dodoma.
Ameongea kwa uchungu sana
Hehehehehehe mazagazaga chupi ya VIP kkkk watoto WA elf hamjui vitu hvyo
Hata Mimi napenda kumsikiliza RC wa dodoma
Big man
Majisifu bwana Mtaka hayana maana, wananchi wanahitaji kazi na sio longolongo
Mtaka my best RC
Kazini kama wewe ni mlevi ni mlevi tu, na ulevu makazini unakeraga wafanyakazi wenzio! We mzeee pungiza ulevi 😃😃😃😃mkurugenzi huenda ana makosa ila ulevi wako pia ni tatizo
Intaneti Za Bongo Zinatufanya Tusijue Viongozi Wetu
Mkurugenzi awajibishwe,anatukane watu yeye nani.
Tatua tatizo ach maneno....
Jamaa amelewa.
ukweli humuweka mtu huru
Tanzania hoyee!!!! Ni vizuri kufanya uchunguzi juu ya alicholalamika huyu mtumishi I, itajulikana tu nani mbaya hapo.
Mtaka ninakukubali nakumbuka ulipokuwa mkuu wetu wa wilaya ya hai uliitendea vema wilaya yetu.
Tatua Tatizo Je Uyo Mlengwa Yuko Sawa Kutukana Wakati Shelia Za Taifa Zipo
mtaka upo bomba sana..yaani jina tuu ndio shida vinginevyo upo bombaa kichwani
Kondoa watendaji wote wanstakiwa wafumuliwe
Weka kila kitu kipya usiache chembe ya mtu
mkurugezi wa kondoa hafai kabisa
Alimchongea au aliongea ukweli ?
Kimwagaaaaa😂😂😂😂😂😂
Sasa wewe Tangu sasa sio RC bali ni Waziri wa Elimu Tangu sasa.
.
Na wewe unaonekana Una shida,,,,,,!!!
Ndo maana kasema yeye sio malaika
Intaneti Za Bongo Zinatufanya Tusijue Viongozi Wetu
.
Is this proper way of loging the complaints against your superior ????? ? for those who are real educated can understand the nature of the the complainants