Ahsante sana dr. Sule kwa kukubali mdahalo baina yako na pastor Ndacha. Nakusihi ujipange vilivyo manake huyu nimemfuatilia saana katika midahalo aliyoifanya na waisilamu na kuwabwaga kwa hoja nzito ajabu. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana niufuate uisilamu ama ukristo lakini kupitia mwl. Ndacha nikaamua kuwa mukristo ingawaje bado kujiunga na kanisa lolote.
Sheikh Othuman Michael namm ni miongoni mwa kuomba dua Allah awafanye makafili wote waingie ktk khaki ya Allah naumpenda huislam na masheikh wote Mwenyez Mungu hawafanye watu wote watakao udhulia ktk uhadhara huu walio kua wakristo na wadini tofauti wote waingie ktk Uislam.
Allah sw ,awakunjulie vifua vyenu,mseme yaliyo SAWA,na wasio kuwa waislam,,, waione HAKI Warejee ktk DINI ya haki, IN SHAA LLAH. Allah SW , anasema:::ni nani mwenye kauli nzuri SANA, kuliko yule Anayewaita watu ktk njia ya Allah SW., Allah SW,Atawatangulia, in shaa llah..
From Kenya tuko pamoja thank you for hosting our dear pastor Ndacha May God of Israel bless you Dr.Sulleh and your team and may you find Allah through Jesus christ of Nazareth
First bro know the difference between muslims' allah with issa bin maryam and Jesus christ of Nazareth.....Once you do, you will realize Allah and Jesus Christ are like night and day- giza na nuru!! ...
@@tynardkerry7148 hakuna mfano huo, Mungu ni wetu sote sio wa mtu fulani labda nyie ndio mna Mungu huyo wa yakoub...kwani Mussa si Mungu wake, Adam si Mungu wake, ibrahim si Mungu wake..huyu Mungu ana jina lake...litafute ulijuwe......
Waslamu 100 mkrito 1 tu Ndacha💪 anawatosha.mtaoona chantema Kuni maumivu bila Kufa mtamuona kuwa huyo ndio Ndacha haswaa muombeane mashekhe vinginevyo uislamu utaanguka tz kesho kutoka hapa msumbiji🇲🇿🕊️
Nashuru Mungu kwaba amewakusanya vingongo wao ili Ajiinue na amwiinue mwanaye Yesu Kristo kupitia kwa mtumishi wake Ndacha na wezake. Roho Mtakatifu atashughulikia guvu zote chafu za Majini katika jina la Yesu Kristo
Waa waa waa! Kumbe mdahalo huu una vigogo miamba ya Waislamu! Nilidhani Dr. Sulle tu kumbe hata Sheikh Michael na Shafi' wamo? Ndacha kayakanyaga leo. Hana bahati. Kwa miamba mitatu hii sina khofu wala huzuni maana nimeanza kufurahia kitakachoenda kumfanyikia Ndacha hata akaenda na walimu mia wa Kikristo.
Mwaonaje, mkristo kusema hallelujah bwana asifiwe anapo muuwa mwislam kwa bunduki. Kama tu vile mwislamu anavyo sema takbir Allau Akbar anapo muuwa mkristo kwa bunduki
Huwezi kuwa mkristo bira kuamini Yesu ni mokozi wako na Mungu mkuu. Kasema Paulo na huko kukufuru kuliko kukubwa sana. Mashekhe Allah awafanyie wepesi mwape makafiri elimu.
@@Catherine-mh8sw Babake yesu ndiye Mungu wa pekee wa kweli ambaye amempa mwana mamlaka yote duniani na mbinguni.....sister just go do your own research on who will judge this world am sure you will thank me later
@@tynardkerry7148yaani nyinyi wakristo mnaakili za kushikiwa sana hivi Yesu anatoe hukumu na mwenyezi Mungu atakuwa na kazi gani ? Yesu ni binadamu tu kama wewe yeye mwenyewe anaswali la kujibu mbele ya Mungu. Swali la Yesu ni hili ataulizwa kuwa uliwambia watu huko duniani wakuite Mungu na mama yako ni mama wa Mungu ? Yesu atakata katakata. Ndugu yangu amka acha ujinga.
Uko sahihi dr.sulle kwamba huwezi kuupata ukristo bila biblia pia huwezi kuupata uislamu bila koraani na koraani ni kitabu kilicho teremshwa kikapokelewa na mtume muhamad iweje muislamu aseme Yesu kristo alikuwa mwislamu?
@@StumaiIssa-nh8boAllhmdhullah nijamb la kumshukuru Mungu sana kuzaliw kwenye uislam Allhmdhullah...hyo Issa mwenyew ambae ni Mtume ni binadamu kam ss amezaliwa kam ss tofaut ni kuwa ni Mtume ila watu wanasem ni Mungu wao Subhanallah 😢
@@StumaiIssa-nh8bo ajabu awajiuliz kam ni Mungu hvi Maryam nae kaumbwa na nani na hyo wanae muita Mungu lkwa ajazaliw?? Allah awaoneshe njia ya Haki Inshaallah manak kila kitu kipo wazi ila Allah zaid
one man umaambiwa atakuwa pekeake? Halaf hakuna mkristo hata mmoja anamfauta huyo Jesus hilo mwalijua ila mwajitia viziwi,kwa mfano mwasema Yesu ni Mungu wakat yeye mwenyewe Yesu alikuwa na Mungu wake😂😂
hivi una mjua kafiri wewe au unaongea tu Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Waislamu mtagalagazwa mapema sana ushauri wangu jikusanyeni mfike mpka kumi ndipo kidogo mtaweza kukabiliana na hoja kali za mwalimu Ndacha bila hivyo Dr Sule na wenzako mtaaibika
mnawekaje masharti hivi kwani hamjiamini kama mna uoga semeni vitabu ndio zitasema sio ndacha na hivyo vitabu ni zenu sasa mbona mkatae oooh vitabu wacha kesho ifike tunajua majini yamefanya dua hayo yote ni bure uongo na giza ni mbingu na nchi
KAMA TUPO PAMOJA NA DR SULE Naomba weka like yako hapa
🙏🙏🙏🙏🧑✈️🧑✈️🧕🧕
Sheikh Othman ni mpole, nampenda kwa ajiri ya Mwenyezi MUNGU 🙏🙏🙏
Allah amlinde
@@issamushi6389 inshallah 🙏
Allah Awafanyie wepes InshaAllah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK 🤲
Mashaallah masheh zangu mungu awaongezee elim zaidi
Allah atujaalie mdaharo umalizike salama amiiiiin❤❤❤❤
Ahsante sana dr. Sule kwa kukubali mdahalo baina yako na pastor Ndacha. Nakusihi ujipange vilivyo manake huyu nimemfuatilia saana katika midahalo aliyoifanya na waisilamu na kuwabwaga kwa hoja nzito ajabu. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana niufuate uisilamu ama ukristo lakini kupitia mwl. Ndacha nikaamua kuwa mukristo ingawaje bado kujiunga na kanisa lolote.
Allah awongoze ktk haki makafiri watakaohuzulia na watakaohuzulia sikiliza ishaallah
mashallah uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mahali kuna majini kuna Nuru toa andiko
MashaAllah AllahuAkbar
SUBHANNALLAH WALHAMDULLILLAH WALAHU AKBAR ❤❤❤❤
Ndacha kwanza amesha kubali yesu hakuzaliwa Xmas hio ni moja ya haki ALLAH amuongoze aione haki kama shekh Ramadhan kuria bin kaguo
Sio amekubar ndio ipo ivo mbona inajulikana iyo
Hio shida sinikweli siokama wewe unaambia mkristo yesu mwislamu na unafurahia na unajua uongo😂😂
Sheikh Othuman Michael namm ni miongoni mwa kuomba dua Allah awafanye makafili wote waingie ktk khaki ya Allah naumpenda huislam na masheikh wote Mwenyez Mungu hawafanye watu wote watakao udhulia ktk uhadhara huu walio kua wakristo na wadini tofauti wote waingie ktk Uislam.
Msimsahahu sheikh mwaipopo
Yupo vzr mno nakuomba
Dr sule fuatilia ombi langu
I
❤❤❤❤mashaallah
Allah awaongoze waislamu na mwalimu wetu awathibitishie makafiri kuwa quruani ni kitabu kitukufiri cha Allah sw
Mashaalah dr sure umefanya vizuri kumchukua othman michael nakukubali na pia namkubali othmani ni mwalim
MANSHALLAH ❤❤❤❤
Allahu Akbar❤❤❤🇿🇲🇿🇲
Allah awajalie kheri inshallah
Mashaallah Allah awaongoze kwenye jambo kubwa kama hili
usimsahau mwaipopo yupo vizur ombi langu naomba awepi bidhnillah
Naomba iwe live Ili sisi wambali tuweze kushiriki
Subhanaa llah Niko mbali ntafatilia Allah awafanyie wepes
Allah awatangulie ❤
Allah sw ,awakunjulie vifua vyenu,mseme yaliyo SAWA,na wasio kuwa waislam,,, waione HAKI Warejee ktk DINI ya haki,
IN SHAA LLAH.
Allah SW , anasema:::ni nani mwenye kauli nzuri SANA, kuliko yule Anayewaita watu ktk njia ya Allah SW.,
Allah SW,Atawatangulia, in shaa llah..
Ndacha anakuja kuslimu Tanzania
Thubutuu. Hatoki ukristo yule
From Kenya tuko pamoja thank you for hosting our dear pastor Ndacha May God of Israel bless you Dr.Sulleh and your team and may you find Allah through Jesus christ of Nazareth
Acha kufuru Mungu ni viumbe wote sio israeli hata maandiko hamsomi
@@samxx411 ungekua msomi ungenielewa ndugu yangu...mfano waislamu uamini mungu wa Muhammed ,wakristo uamini Mungu wa israeli(Jacob)....
First bro know the difference between muslims' allah with issa bin maryam and Jesus christ of Nazareth.....Once you do, you will realize Allah and Jesus Christ are like night and day- giza na nuru!! ...
@@tynardkerry7148 hakuna mfano huo, Mungu ni wetu sote sio wa mtu fulani labda nyie ndio mna Mungu huyo wa yakoub...kwani Mussa si Mungu wake, Adam si Mungu wake, ibrahim si Mungu wake..huyu Mungu ana jina lake...litafute ulijuwe......
@@tynardkerry7148muongo mkubwa. Toka lini waislam wakamuabudu mtume Muhammad s.a.w
Mashallah
اللء سبحح وتعل atawaonesha njia wagalatia insha Allah
ALLAHU AKBAR ❤❤❤
Inshallah,ushindi niwako Sule
Waslamu 100 mkrito 1 tu Ndacha💪 anawatosha.mtaoona chantema Kuni maumivu bila Kufa mtamuona kuwa huyo ndio Ndacha haswaa muombeane mashekhe vinginevyo uislamu utaanguka tz kesho kutoka hapa msumbiji🇲🇿🕊️
Nashuru Mungu kwaba amewakusanya vingongo wao ili Ajiinue na amwiinue mwanaye Yesu Kristo kupitia kwa mtumishi wake Ndacha na wezake.
Roho Mtakatifu atashughulikia guvu zote chafu za Majini katika jina la Yesu Kristo
Ushavimbilwa kitimoto ata unachokiongea ukijui!! kafiri mkubwa ww
Allah akbar❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwalike mwai popo na habibuazinge🙏
Waa waa waa! Kumbe mdahalo huu una vigogo miamba ya Waislamu! Nilidhani Dr. Sulle tu kumbe hata Sheikh Michael na Shafi' wamo? Ndacha kayakanyaga leo. Hana bahati. Kwa miamba mitatu hii sina khofu wala huzuni maana nimeanza kufurahia kitakachoenda kumfanyikia Ndacha hata akaenda na walimu mia wa Kikristo.
Uzur ndacha yeye anakuwa peke yake na msomaji wake nyie kusanyikeni
Maashallaaa kikosi kimekamilika
Naam tumuombe Allah akuafikishe Salam kufika hyo kesho ila tu tumuombe mchungaji ndacha asikatae vitabu make tunamjuwa
PAMOJA SANA BADO TUNAWAPENDA MASHEIKH WETU ALLAH AWALIPE WEMA
Hii imeenda
Mwaonaje, mkristo kusema hallelujah bwana asifiwe anapo muuwa mwislam kwa bunduki. Kama tu vile mwislamu anavyo sema takbir Allau Akbar anapo muuwa mkristo kwa bunduki
Greetings. Kaka vipi walimshabulia wakati wakati mda ni dakika 4 kipidi kimeaza.yaani ngeli ni tatizo.
Yani nyinyi kusanyeni wote walimu wenu mnaowaamini ila nawambie ndacha namwamini sana mungu amusimamie
Ww muamini tu kesho ndy utajua unamuamin au laa
@@jamaldeenhusseinndacha atashinda ni mjanja mjanja sana
Nawa pendha hali ya juu ❤❤❤❤😂❤❤️❤️🙏🙏🙏
Dr Sulle anatoa mwelekeo kistarab wewe unatumia akili za waadishi wa magazeti.
😂😂😂❤❤❤ mashhaalla mmmwaaaaa kwa ajili ya alla
Ndacha ameomba mdahalo aione haki bi idhinAllah akaribie kwenye uislam
Asalamualaikum warahmatullah wabarakatuh naomba saidi kinyogori awepo
MI pia nitakesha kwa ajili ya dini ya Allah kwaiyo sheikh othumani tutakesha wengi inshaallah ndacha na wafwasi wake waweze kuiona haki na waifwate
Mashaallah 😅😂💯💯💯💯
Mnamatatizo nynyi dini mfumowake ushawekwa toka zamani
Jaman mbona mnazungumzaa zungumza tuu nenden kwenye mdahalo kwa ndacha achen kujisifu na hamna hoja😂😂😂
Ukiwa makini utaona uelewa wa jambo linalizungumziwa kuhamishwa pengine. Irrelevancy. Hapo wenye uelewa watajua usahihi na ukweli wa Neno.
Hata Mje wote hamtamuweza ndacha
Ndacha anaakili nyingi na uwezo mkubwa saana,hawataweza kumsambaratisha,watasambaratika wenyewe.
Dah kumbe Dacha aliutetemesha ulimwengu wa waislamu
Tunaomba umdahalo uwepo live biidhnillahi wengine tupo mbali kwelkwel
Huwezi kuwa mkristo bira kuamini Yesu ni mokozi wako na Mungu mkuu. Kasema Paulo na huko kukufuru kuliko kukubwa sana. Mashekhe Allah awafanyie wepesi mwape makafiri elimu.
Eti kufuru daah!...Acha nikupe swali nyepesi,kwa mujibu wa quran ya mohammed yesu ndiye atakaye hukumu...je atahukumu kama nani??
@tynardkerry7148 anaye hukumu ni Mungu. Si yesu. Yesu yuko mbinguni kakaa upande wa kulia wa baba yake. Baba yake yesu wewe nani wako
@@Catherine-mh8sw Babake yesu ndiye Mungu wa pekee wa kweli ambaye amempa mwana mamlaka yote duniani na mbinguni.....sister just go do your own research on who will judge this world am sure you will thank me later
@@tynardkerry7148 yesu ahukumu mtu. Anayehukumu no Mungu tu. Ambaye unamwita baba yesu. Yesu akihukumu Mungu atafanya kazi gani siku ya kiama
@@tynardkerry7148yaani nyinyi wakristo mnaakili za kushikiwa sana hivi Yesu anatoe hukumu na mwenyezi Mungu atakuwa na kazi gani ? Yesu ni binadamu tu kama wewe yeye mwenyewe anaswali la kujibu mbele ya Mungu. Swali la Yesu ni hili ataulizwa kuwa uliwambia watu huko duniani wakuite Mungu na mama yako ni mama wa Mungu ? Yesu atakata katakata. Ndugu yangu amka acha ujinga.
Mbona mnababaika?
Dr sule natamani umualike yule anaejidai afufua kwajima siku ukimnyoosha yule utanifurahisha sana uwe wewe na mazinge
Mwaipopo na Mazinge wajumuishwe hapo
izo ni porojo za mskitini,akuna miujiza Muhammad kafanza bana,mathayo 22:29 waislamu nyote mmepotea kuanza na masheikh wenu!
Uko sahihi dr.sulle kwamba huwezi kuupata ukristo bila biblia pia huwezi kuupata uislamu bila koraani na koraani ni kitabu kilicho teremshwa kikapokelewa na mtume muhamad iweje muislamu aseme Yesu kristo alikuwa mwislamu?
Dr. Sulle usimwachi USTADHI Shafi na Juma Kinyongoli hawa vijana ni moto wa kuotea mbali.
Binafsi NAMi sina shaka na maalimu Dr sule
Kwanini mmetoza kiingilio kwenye kusikiliza neno la mungu?
Damu ya Yesu ikufunike Ndacha usiiogope Yesu atakufundisha uwafundishe hao waislam hayo ni maneno tu
Jaman ebu tumuongope mungu yaan kusoma usijue yaani unashindwa kujua haki ilipo! Namshukuru Allah kuzaliwa kwenye dini ya kislam alhamdulillah
Jaman ebu tumuongope mungu yaan kusoma usijue yaani unashindwa kujua haki ilipo! Namshukuru Allah kuzaliwa kwenye dini ya kislam alhamdulillah
@@StumaiIssa-nh8boAllhmdhullah nijamb la kumshukuru Mungu sana kuzaliw kwenye uislam Allhmdhullah...hyo Issa mwenyew ambae ni Mtume ni binadamu kam ss amezaliwa kam ss tofaut ni kuwa ni Mtume ila watu wanasem ni Mungu wao Subhanallah 😢
Ni mtihani sana kwa kweli ni msiba wenzetu wanasema nabii issah ni mungu na mungu huyo huyo anazaliwa ni mtafaruki kweli kweli
@@StumaiIssa-nh8bo ajabu awajiuliz kam ni Mungu hvi Maryam nae kaumbwa na nani na hyo wanae muita Mungu lkwa ajazaliw?? Allah awaoneshe njia ya Haki Inshaallah manak kila kitu kipo wazi ila Allah zaid
Twataka mada ya Christmasi
mbona mna penda uongo lakini
Mnashndana na one man army of JESUS😳
one man umaambiwa atakuwa pekeake?
Halaf hakuna mkristo hata mmoja anamfauta huyo Jesus hilo mwalijua ila mwajitia viziwi,kwa mfano mwasema Yesu ni Mungu wakat yeye mwenyewe Yesu alikuwa na Mungu wake😂😂
Alafu ungeweka siku 7 najua ungejua ujui .
Nmependa hii tim imetimia apo ndacha na makafil wenzie hawatok
Sasa mbona ndacha atawaharibu sana
hivi una mjua kafiri wewe au unaongea tu
Yuda 1:4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
Sasa iyo kuruani yenye imeletwa na shetani Soma kuruani 4:79 apo ndio alipo pewa utume kumaliza Soma kuruani 2:97 ametajwa aliye teremsha kuruani
@@luckygmdegela8477 tumsubirie ndacha awashuhulikie kutumia iyo kuruani na kinabuhari , sahih Muslim, na vitabu vingine venu tunavyo visoma
True
Sule Bora ukimbie,
Yani wanaume kumi mmeenda kando mmeshtuka😂😂😂😂😂😂😂
Bila ndacha kuwepo😅😅😅😅😅
Hakuna debate ambayo pastor ndacha hajui hizo zote enye umetaja amewahi fanya wacheni ufala ya kujipamba na kupendekeza bure.
Waongo nyinyi wadanganye wale hawawajui😂😂😂😂😂😂
Subileni mujioneye Kisi huyo ndacha adakosa maneno yakujiteteya ukristo wake🤷sematu padasilimu watu miyatano, insha'Allah 🙏❤
Miyasaba na zaidi
@@abubakarmpole4000 au miyanane na saidi
Mimi nime mchagulia jina ndacha, ataiwa Omar
imani sio kama unavyo takanyie
Waslamu I 100 mkrito 1 anawatosha ndacha Jeshi la Mungu haliwi lá kutisha Olá Mungu anakuwa na UPAnde WA huyo mmoja
Ndacha yup mzee wa vilaka?
Munatetema sana muna wasiwasi sana
Mwa mwoogopa kweli
Hajawahi kushinda ndacha zaidi ya ushabiki abaki sure huyu mwingine ni shabiki ataalibu mdaharo
Ndacha Hana kujibiga kifua
Wakristo msifuate mkumbo, soma ujue usisubiri porojo za ndacha tu , ndacha yupo kanisani kibiashara
Waoga wote hao
Atutaki probaganda mpira dakika 90 twendeni huwajani ndiko matokeo yatahamua
Kisha wenye akili watachanganua mambo
Mchele na mpunga
Unajua nyinyi waislamu hamujibu hoja za wakiristo lakini wakiristo wanajibu hoja zenu halafu mnajifanya munajua
Hoja Gani haijajibiwa
Hakuna kitu Muhammad alitenda ni story za kutunga leo mtaoshwa
Uoga huo 😂😂😂
Huyo Ndacha atahangaika sana hapo kwa Dr Sule ni moto wa kupotea mbali
Ndacha atashinda kwa sababu ni mjanja mjanja sana
@@Catherine-mh8sw hoja hujibiwa kwa hoja na sio ujanja ujanja huyo Ndacha ajiange kwa hilo
@@dodgerwakitaa2658 ndacha janja nyingi nakwambia
SULE MDOMO MWINGI ILA NDACHA ,SO WA KUMCHEZEA UYO..
Kama Mungu wako yesu Ali chezewa nama yahudi itakua uyu kafili mwenzako ndacha tulieni tu hamna Dini nyie Nima kafili tu
Ndacha atashinda kwa sababu ni mjanja mjanja.
😂😂😂😂 hutu tumutu porojo ndiyo wako nayo
mchango wetu unawafkiaje kwa sisi tunaotumia namba za M-pesa Kenya
Waislamu mtagalagazwa mapema sana ushauri wangu jikusanyeni mfike mpka kumi ndipo kidogo mtaweza kukabiliana na hoja kali za mwalimu Ndacha bila hivyo Dr Sule na wenzako mtaaibika
+255 752 517 751 Inafika direct kwa Dr Sulle
@@ramadhanmahongole9293 Kafir hawezi kushindana na wenye haki tukashindwa.Amka ulipolala usije ukajisaidia kitandani.
@@islaahislamictv9085 Shukran
@@ramadhanmahongole9293kabisaaa
SALALAHU AALEYHI WASALAAM ❤❤❤❤❤
Alierogwa ama unasema Nani?
@@erickmaisha4773muogope M/mungu, maana hulijui ulitendalo
Mtajua hamjui huyo ndiyo Ndacha
Kabisaa
😂😂😂😂 hapo akaja onekana mtu wa kumzibiti ndacha !!! 😂😂😂 umeyavulia nguo , haya hapo mbele yenu 😂
WATU WAKIJUA HISTORIA YA UKRISTO BASI WATAINGIA KTK UYAHUDI NA KUUACHA UKIRISTO
mnawekaje masharti hivi kwani hamjiamini kama mna uoga semeni vitabu ndio zitasema sio ndacha na hivyo vitabu ni zenu sasa mbona mkatae oooh vitabu wacha kesho ifike tunajua majini yamefanya dua hayo yote ni bure uongo na giza ni mbingu na nchi
Obareerick majini yanapatikana kanisani ndio kila siku mnapandisha majini