JINSI YA KUKAGUA MAYAI YENYE MBEGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- ASK INCUBATORS TZ
UKAGUZI WA MAYAI KWA NJIA YA KUMULIKA NA TOCHI HUFANYIKA SIKU YA 7-8 TANGU YAI KUWEKWA NDANI YA INCUBATOR
UKAGUZI HUU UNAFAIDA NYINGI ILA KWA UCHACHE TU
-HUSAIDI KUJUA UBORA WA MAYAI KWA UWEZO WA KUWA NA KIZAZI NI KWA ASILIMIA NGAPI
-ITASAIDIA KUAMUA KUBADILISHA AU KUENDELEA NA MTU ANAE KUUZIA MAYAI
-MAYAI YASIYO NA MBEGU UTAYAONDO KWA MATUMIZI YA KULA NYUMBANI
-MAYAI MABOVU UTAYATOA NA KUYAFUKIA ILI YASIJE PASUKA NA KULETA HARUFU MBAYA KWENYE MASHINE YAKO
KWA MAELEZO ZAIDI - 0717523626
Swali ingine,ukiweka mayai Kwa incubator inamaliza siku gapi ndio ukangue?
Ninaweza kukagua mayai kabla ya kuingiza kwenye mashine au kuatamisha?
Kwa urahisi ni siku ya saba tangu kuwekwa kwenye mashine ukaguzi wa kabla angalia yasiwe na nyufa yasiwe na umbo kuubwa au dogo sana yasiwe yamegandiwa na kinyesi yasiwe na ganda laini
Hello mkulima, wakati unakangua kutoka Kwa incubator,unapaswa kutoa mayai yote Kwa incubator ama ni kidogo TU?
@@urbanpoultry6201 kidogo kidogo hadi unamaliza
@@askincubatorstz7590 sawa
Yenye uwezo wa kutotoa mayai 200 inashingapi?
264 kwa 750000
Ni muda gani utakaa na tray ya mayai nje ya incubator wakati unakagua mayai? Mie nina incubator yenye tray sita kila moja ina mayai 88, je kwa kupima yai moja moja haitanichukua muda mrefu kiasi cha kuathiri uhai wa mayai? Je kuna njia au tochi yenye uwezo wa kupima mayai mengi kwa mpigo?
Hata lisaa unaweza yakagua hamna shida
nice
Shukran bro
Jamani toach napataje na bei gani
Ii
Hello napataje toch na bei gani
Tochi hatuna kwa sasa
Mimi nipo tanga pangani tochi hizo nitazipataje na nibei gani
Niko znz km nataka iyo mshne napataje
Unaweza patia huko huko kwa gharama ya usafiri 70,000 utalipia 0717523626 mawasiliano