KKKT NGAMANGA:MCHUNGAJI NA WAUMINI VUTA NIKUVUTE/POLISI WAINGILIA KATI IBADA YAVUNJIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • #BusokeloTv

ความคิดเห็น • 31

  • @GiftMwanjat-em7sw
    @GiftMwanjat-em7sw 8 หลายเดือนก่อน +1

    Walio taka kutuvunjia iman zetu wameshindwa saiz hali ni mzur mungu mwema ❤❤❤❤

  • @gililwise
    @gililwise 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atamlaani huyo anayetawanya kondoo wa KKKT

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 ปีที่แล้ว +2

    Shetani ameamua kucheza na makanisa.lkn ameshindwa kwa jina la yesu.

  • @deborakalinga8544
    @deborakalinga8544 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwabuduni mungu msiabudu dini wala maandishi

  • @callicevallice7383
    @callicevallice7383 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa ameongea point sana

  • @hurumaashely5598
    @hurumaashely5598 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwaikal ana laana

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh wachungaji maasikofu na wKilisto jamani tumwabudu MUNGU HAYA MATAKATAKA HAYA NI YA NN KAMA SIO KUTAKA LAANA ??? mmmh tutubu dhambI na kuacha tuache uhuni huu kwani tumesahau KUWA Kuna kufa na KWENDA jehanamu KWA watenda dhambI???

  • @shambogokitundu754
    @shambogokitundu754 2 ปีที่แล้ว

    Jeshi la Polisi likachote wahuni hao wote pamoja na Mch Mwaikali..wanayofanya ni Jinai kamili,Kama Mch Mwaikali anapenda sana Uaskofu akaone namna jasho na damu linavyotoka kuanzisha kanisa, asidandie vitu.

  • @janetchinga9357
    @janetchinga9357 2 ปีที่แล้ว

    Saza waka kusewelesa chiuta mmm

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 2 ปีที่แล้ว +1

    Wito siyo kazi ndogo, kama Mungu amekuita lazima akupe na namna ya kupata eneo la kuabudia, otherwise huo ni uasi.

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 2 ปีที่แล้ว

      Dawa ni kuachia kila kitu unaenda kuanza upya labda kama uwekezaji ulikuwa binafsi

    • @bubulini645
      @bubulini645 ปีที่แล้ว

      KKKT ifutwe tanzania

  • @sarafinasanga9251
    @sarafinasanga9251 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwaikali na kundi lake wakajenge majengo yaooo jaman wanadhani kazi nyepesi

  • @mr.sangaellies5110
    @mr.sangaellies5110 2 ปีที่แล้ว

    Kanisa langu jaman tunaenda wapi etii

  • @neemaevance80
    @neemaevance80 2 ปีที่แล้ว +2

    Huo Ni ukorofi Kama mwaikali Ana taka anzishe kanisa lake si kuleta mgogoro ndani ya la la makanisa la konde halisi iliyo anzishwa na bb Askofu mwakagali tangu mch samweli mwakipunda mwaikali mwaikali Jenga kanisa lako na wachungji wako na wafuasi wako

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 ปีที่แล้ว +1

    Afungue kanisa lake !

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว

    Huyo askof mshenz sana

  • @WilbertMmary
    @WilbertMmary 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwaikali amepotoka, arudi kwa Mungu wake akatubu. Na kama anaanzisha Kanisa lake akajenge majengo yake.

    • @rhodasamuel8334
      @rhodasamuel8334 2 ปีที่แล้ว

      Usihukumu usije ukahukumiwa wewe

  • @hurumaashely5598
    @hurumaashely5598 2 ปีที่แล้ว

    Aanzishe LA kwake na majengo yake

  • @simbaone7287
    @simbaone7287 2 ปีที่แล้ว +2

    Majengo ni Mali ya kkkt, mwaikali ni msomi ,atafute majengo yake na hilo kanisa lake anachofanya ni criminal

  • @malupex6299
    @malupex6299 2 ปีที่แล้ว

    My people are dying b'se of lack of knwlegde.. Oh God forgive us..

  • @reubenmuganyizi8537
    @reubenmuganyizi8537 2 ปีที่แล้ว

    Hivi, vyombo vya
    Dola wanaona hao watu? amepatakana kiongozi aheshimiwe na wote,saa Ni wakati wa kuwa nyooosha.

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 2 ปีที่แล้ว

    Ila wanawake bwana!

  • @monicamunisi2889
    @monicamunisi2889 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanajichanganya hawa

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince3983 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii ng'ombe ingefungua Makanisa yake

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince3983 2 ปีที่แล้ว +1

    Hivi Serikali haiwaoni hawa Vibaka wanao lazimisha vurugu mahakama imewakataa wao wanang'ang'nia

    • @leahestony2723
      @leahestony2723 2 ปีที่แล้ว

      ukiambiwa umlete kibaka unamjua wewe, mwaikali kachaguliwa na mungu labda hao wengine ndo vibaka upo

    • @mwakaombi5085
      @mwakaombi5085 2 ปีที่แล้ว

      Tatizo wanaropoka tu hawajui hata chanzo

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    .