MAAJABU! PAKA 'ANAYEONGEA' AZUA TAHARUKI DODOMA, MASHUHUDA WAELEZA "AMESEMA ANA NJAA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- MAAJABU! PAKA 'ANAYEONGEA' AZUA TAHARUKI DODOMA, MASHUHUDA WAELEZA "AMESEMA ANA NJAA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
. Ni huzuni sana kw kiumbe wa Mungu. Huyo Kiumbe wa Mungu anatapa tapa na roho yake kwsbb ya njaa na kiu. Wanasema anaongea wana mchukua na video ilihali walitakiw wamsaidie kw namna moja ama nyengne. Ipo siku Allah atakuja kutuuliza kuhusu hilo. 😢💔 Allah tujaalie tuwe wenye kuziona neema zako na kuzifanyia kazi😢
Allahuma amin 🤲
🤲🤲
😔😔😔 illiteracy is the problem, i feel sorry for the cat. 😒
Mungu anaongea na sisi kwa njia pasipo sisi kujua hapo mngemsaidia chakula kwajili ya maisha yke
Tuna vyombo vya habari vya ajabu sana tanzania 🇹🇿
Ww ndo ovyo
Nchi gani unaijua Ina vyombo makini ambavyo sio vya ovyo ukatuletee.
Mnayataka wenyewe kuitwa vyombo vya habari vyaajab ajabu maana hata watoa habari wenu waajabu,,, kwahiyo hapo anamaik anashindwa nini kumuongelesha paka watu wakaamini then ndio aendelee na mastori
Waongo wao wanatafuta views
Untk taarif mtu kabakwa,untk taarf mby bs ufanyiw ukatil ww wengn wapate taatif zako
Wenzetu wangetumia muda huo kuokoa maisha ya huyo paka kama kumpa chakula na huduma nyengine muhimu.sisi tumepost mtandaoni kama habari....this is life.
Wasema nini wewe😮
@@SophlaJackson-nt1nc samahani
Umeshaambiwa anaongea sasa ww utampa chakula mnyama anayeongea kama binadamu??
😂😂 acha kuvunja utamaduni wa watanzania Amin tu😂😂
Weeee kuweza, pk anaongea ivi kweri?
Si wampe chakula kwanza ndio waendelee na interview aongee vizuri
😂we ungempa
Acheni uongo na kukuza mambo...... Kaongea neno gani mbona hatujaskia chchte?
Instead of filming it, feed it for Gods sake!!! This goes without saying. If it actually spoke, where’s your humanity?? Don’t laugh but respond to its needs. Mbona wazungu tunawatreat vizur, afu tunapoteza utu kwenye vitu vinavyotuhusu wenyewe?! Ofcz it’s a cat, but this is symbolic
😂😂😂 hiii Nchii Ukifa Na Mawazo Umejitakia Mwenyewe😂😂😂
For God sake kwani Haki za wanyama Tanznaia hakuna Mbona ni kama mnamdhalilisha mnyama
Ila watanzania wanaroho mbaya sana huyo ni kiumbe wa Mungu jamani😢😢😢
Jameni huyu ni paka tu!!?? Why cant someone ampeleke kwa vet. Mpelekeni kwa vet. She/ or he looks very sick.
Badala ya kumpa chakula mnamrekodi binguni mtapasikia tuu kila jambo lina maana kwa mungu
Wacheni zenuu huyo paka ingekua uzunguni anepelekwa veterinary services akasaidiwa but Africans kwa kuamini uchawi tuu, paka ahitaji kusaidiwa mnasema anaongea mbona hajadhuru mtu?😢
Akili bongo hamna baada wa mlishe chakula wamekalia kuamini ujinga tu it so sad 😢
Ndo ushasema uzunguni hapa ni bongo
Kwakweli watu wa dodoma mnaniangusha sana... Sasa paka anamaumivu mnasema eti anaongea. Muache ushamba😊😊
😂😂😂😂
Kuongea Gani Kwa hivyo bana, paka anaugulia maumivu ya kukata roho ndio kuzungumza Gani Sasa huko. Kiumbe hana hatia anauawa
Story ni paka anaongea lkn wanaohojiwa ni wanadamu.
Bora hata wange mpatia chakula kuliko kuUpload content isio na mashiko.
Hata we umeskia akiongea kweli ama ni story ya jaba 😅😅ati paka anaongea
🎉😂😂😂
🎉😂😂😂
🎉😂😂😂
🎉😂😂😂
Mwenyekiti nimempenda sana kaongea point sana
Elimu kitu cha msingi sana , Tanzania ni ujinga na umasikini ndo utatumaliza
Ujinga gani sasa au umekurupuka kuongea tuu
Pole bro😂😂
Elimu,umaskin vinahusiana nn hapo sasa!yaani wee mwenyewe vitu ulivyo andika ndo vinakuhusu sasa!jinga sana wewe
Ujinga na umaskini unakumaliza wewe mwenyewe na ukoo wako usitujumuishe sisi wengine mwehu wewe
Mi naona watu tu ndio wanoongea uyo paka ata sijamsikia hakuna ukweli wowote hapo
Wasafi media ila Sio wasafi kiakili sawa kaongea ila anakufa Kwa njaaa..........
Ila Tanzania tuelimike Tanzania is fill of myth and funny illusion we are never logically 😂😂💯🙌...
Kila kukicha ni kushangazwa na hiki na kile.
Wenye wanahojiwa ndio mapaka, mwenye amelala ndio binadamu
Umesema kwelii
yani siku mtu mweusi akiendelea kifikra mumpige mawe huyo ibilisi. badala ya kumpa paka maji na kumpeleka kwa dr wa wanyama au muangalie mtamsaidia vipi maana ni kiumbe ambacho kinahitaji msaada mnaanza na imani za kishirikina dah! SO SAD
MUNGU SIO WA STAILI HIYO JAMANI...HUO NI USHIRIKINA PYUA., KAPIGIKA UKO NA WENZIE WAKAAMUA WAM BWAGE HAPO KWA UMBO LA PAKA...SIO PAKA HUYO,,asanteni
Safi san nilikuw naitafta comment yenye akili kama hii nikwel uyo sio paka nawashangaa hao wanaosema apewe chdkula Mimi Nina uadui na pka alishawah kunikimbiza atar oak sio wazur nimtu uyo
Kuongea kwa wanyama pia ni moja ya dalili za kiam si mngempa chakula mnamrekod tu 😢
Poor Cat 🐈 is hungry 🤤 omg 😱 uneducated people
Seriously humanity is lost ........instead of helping ur doing stupid stuff like this 😢 oh for God's sake
Maskini nchi hii ina watu wa ajabu, leo tunaongopa eti mzungu alitutawala kwa bunduki, ni uongo, mijitu haina hata akili mnyama wa watu anateseka kwa maumivu mitanzania mipumbavu inashindwa kujua hilo
paka yuko hapo alafu mnakazana kumuuliza balozi kama paka anaongea, kwann msimuulize uyo pakaaaa mweneywe,,, na nyie kweli mnapost habari kama iziiiii 🤣
😂😂😂nomaa
😂😂et jaman kituo kikubwa cha kuaminika kinaleta habar kma hii
@@zamdayusuph858 😅😅😅
@@neema_mollel 😅😅😅
Huyo paka wa mumwagie mafuta ya Mwaiposa wataona maajabu zaidi ya hayo
Kazi tunayo,Hadi waandishi wa habari wanatumia muda na garama Kwa ujinga huu
Kwakweli
Hiyo ni Habari na wamefanya hivyo ili kuvutia waangaliaji mtanadaoni
Huyo mzee Emanuel ndiye paka anayeongea?kwa sijasikia paka akiongea
Kweli.. Ujinga UnawezeshA Hongereni Watoaji taarifa Wapuuzi
What a nonesense!Mtu anaenda kureport kbs paka anaeelekea kukata moto probably njaa au certain illness na watu wanamuangalia wakidhani anaongea instead kumsaidia either kupeleka kwa daktari wa wanyama au kumpa huduma ya kwanza ili kuokoa maisha yake🏌🏿♂️
Paka Ameitisha chakula.Jibu nikumpa chakula sio kicheko.labda ni malaika kaja kama paka.HABARI NDIO HIYO😢😢😢
Basi wangelimpa chakula KWANZA Akala paka mwenyewe kachoka hivo atakuongea ataweza. Sengine MTU huyo wamemgeuza paka sasa wameshindwa jinsi ya kumludisha ki ubinaadam
Hiki chopo kishtakiwe hakijajali haki za wanyama
Majiya upako hayo yamafanya kazi uesu yupo kaazini
Saidiya iyo paka.yaani na izi technology ila bado upumbafu unazidi
Huyo paka atakua ni jini ama amefungwa spika ya Bluetooth
😅😅😅 kwakweli
Paka ukimfuga Kwa kumsemesha anaiga mvumo wa sauti anakalili matukio na saa ila watz wamekariri ushirikina lakn paka ukimfundisha Kuna maneno anatamka kama taki Toka Nini nani mama huyu hata jina linaloendana na ulimi wake anaita .. Mungu mlinde huyo paka
Ila education kwa hii inchi sini for free 😢
Bad people , Government should arrest all of them . That poor cat was tall and nice where are The world animals we paid contributions to help animals from the worldwide?
Hii siyo maajabu ni vitu za kawaida kenya yetu watu wanajigeuza Ndege panya paka Ng,mbe na kila kitu sasa hii diyo inashagaza watanzania😂😂
Paka ashapigwa kachoka anakata ROHO mmnatudanganya Paka anaongea acheni upuuzi 😅😅
Sijaelewa huyo paka ndiy huyo mzee anaye hojiwa au?? Maan wanahojiwa watu na siyo paka
paka kaongea nn sasa apo achen akili za kimaskin
Wewe kama kazi huna acha kurusha ujinga kwa watanzania, msipende kiki za kifala
Maajabu Dunia imeisha
Mbeleni vyombo vya habari Tanzania zilikuwa za kuaminika kabisa ....sasa wako kama sisi wakenya tu...uwongo
Habari bila kumhoji paka ni takakata😂
😂😂😂😂
Duh
Khajuraho walakuwatabillah ujinga ulioje yaani paka badili yakumpa maji pia mwashindwa kweli hamna watu mpeni maji amekonda kwa njaa
😂🤣 Ila watu niwaongo sana hasa jambo likishikwa na wanawake ni uongo mtu TU yn paka anataabika na kukata roho eti anaongea hahaha 😂 watu bwn
Mimi namtaka huyo mwenye paka anipe dawa 😂
Paka asema ana njaa.badala kuumpa chakula mwacheka.mtapata laana wana Dodoma
Hii ni uchawi nimewai Hona mtu hakigeuzwa paka na anaogea kama binadamu😮
😂😂😂😂😂😂😂😂sasa mbon paka kachok na hata hajasema kit chochote maswal ambay umeoj kwa huyo baba ungemuoji paka mmekosa habar
Na mambo yote yanayoendelea nchin mnaturipotia paka anaongea
Tafdhali acheni kupumbaza
watu,hoji uyo paka tusikie
Apa wasafi wamepigwa apa hakuna mwandishi atawahalibia media akichokiandika kingine kinachofanyika kingine🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Mumpe chakula acheni dhana mbaya mumpe maziwa au maji lakini wa tanzania jamani mbona hamsomeki
Mi nilijua mwandishi utasema umefanikiwa kufanya mahojiano na paka huyo kumbe na ww myeyusho tu
Mnyama kuongea ni ktk dalili za kiama kimekarbia
Watanzania mnanichekesha na matangazo ya ajabu ya kitoto,mara wafu wanafufuka😂😂😂😂😂😂
Hakuna hospitali ya wanyama
Ndomana wenzetu kwa kwenye haki wakwanza wanyama
Asa maana ya chombo chako cha habari ni nini umeshindwa kumuuliza chochote na kutuzibitishia kwamba nikwwli anaongea au aongei auuu ndo walewale waandishi waongo
Mtangazaji unafeli wapi kwanini usimuulize paka mwenyewe alafu unatuandikia paka anaongea🤔 ovyo kweli sasa mbona hatujaona akiongea!
wasenge nin hawa watu baada ya wampe chakula wanakazana kumuhoji tu na kuchekacheka
Nimesubiri nisikie mpaka mwisho hakuna kitu kutumalizia bando zetu 😂😂😂😂😂paka anaongea mbona hatukusikia na mizee mingine kama ,,,,,😊😊😊
nimesubili kama atahojiwa nisikie kama anaongea sjamsikia hapo Ndo umebugi kutumalizia MBs Bule
Hawa ndio watu wutawakuta shingo ngumu wanaongelea vita vya Ukraine na Urusi, au 😂apalestina na waisraeli😂😂😂😂😂
Nchi ya Majuha na washirikina!
Report mwenyew anaonekana hamnazo😅
😢😢😢😢Duh
Wabongo miyeyusho
yaani nyomi lote hilo upuuzi mtupu 😂😂
Hiyo siyo haki wachawini wanadamuawa na wachawi piya ni wanadanu sito haki hiyo Haworth wote hawakusoma gurani
Wachawi ni wanadammu wanga ni wanadanu hiyo Simon haki kumuoneya hayawani Haworth binadammu hawana dongo wao mndiyo wachawi
Sa mbn watu ndo wanahojiwa wakati paka yuko hapohapo muhoj yeye
Huyo mwandishi nae uchwara mlengwa yuko hapo kwanini wasimuhoji wanawahoji watu?
we mwandishi ni fala badala umuhoji paka tumsikie wenyewe wewe unahoji watu na paka yupo.
Muandishi mwenyewe umekua muoga kuongea na paka tukaskia anaongea kweli au haongei hapo umeenda kutushudia nini sasa
Paka n huyo mtu unaongea naye
yani kitu kilichokupelekaapo ujakifanya zaidi yakutangatanga tu abaliyamsingi aujatuonesha ebu nenda kajifunze ndouludikazini usiweunatualibia mb zetu
Kwahiyo mwandishi wa habari ulienda kufanya nini hapo? Si ungesogea karibu na paka ushuhudie kwanza ndio utupe habari; pumbavu wewe
Kwanza nakufungulia mashtaka
Hamna Mtangazaji hapa
Huyu mwanahabari ni mpumbavu kama Paka 🐈 anauongea kwann usimsaidia anachotaka alafu tukamsikilza anaongea vipi we ni mjinga
Huyo ni mchawi, amejiugeuza. Ameshapigwa hapo..
Mbona sijasikia paka akiongea? Nasikia tu kelele za ya watu!
Dah msukule
Simpe chakula jaman mbona mna roho ngum
Sijamsikia akizungumza mwandishi maneno mengi hakuna ushuhuda.
Hahaha wasafi oyeeeee hahaha
Mchawi huyoo
Dah
Mpeni chakula huyo paka ,pumbavu nyie, watu wazima, media kubwa mnapoteza muda kutangaza vitu vya ovyo...! Huyo paka ana njaa na kiu ya maji
Muandishi nawewe hujielewi angalia vyakulipoti simumpe chakula huyo kiumbe
Sasa mbn sijaskia akiongea ata kidogo ila tanzania acheni basii
Hizo niimaniza kishirikini. Huyo ni paka kama paka mgempa chakula
Hii media inamambo ya kitoto