chief wa rumanyika,safi sana nimependa unavyo muuliza Rado na yeye anaelezea /kujibu maswali kwa ufasaa na utulivu wa hali ya juu hakurupuki ,sasa soggy ningetamani ungefanya remix ya hicho kibanda cha simu ili kuwaonyesha watoto wa digital kwamba tumetoka mbali alafu huwe amini niyayo hii track na video yake na huwa naisikiliza na kuwawkea watoto wangu na kuwambia tumetoka mbali sana tulikuwa tunambipu mtu kwa hela ahahahahah
Chemchem mwan kiraka rado much respect sana
Rado kirakaaaa
Daaa ebana we mie mfipa kumbe wafipa tunatisha sana sana kwenye muziki
Soggy umesimama vizuri Mjini Fm Big Up
Rado vp tena nijina lamwanangu huku.zanzibar
safi nawakubali
Awesome interview
Nimefurai sana mchizi rado the master kulud kwenye game.
Usiulize Baaaabu... Pigia mstaaaari.
Daaaa baucha record..daaa ebana maisha haya sio poa
Nomaaa mnooo
Kiraka toka kino
Usoo wa mee na man upepo 🤛🏿🤛🏿
Safi sana soggy,kimbunga, soggy mwambie rado namsalimia mimi tall bati, niko inje ya inchi.
chief wa rumanyika,safi sana nimependa unavyo muuliza Rado na yeye anaelezea /kujibu maswali kwa ufasaa na utulivu wa hali ya juu hakurupuki ,sasa soggy ningetamani ungefanya remix ya hicho kibanda cha simu ili kuwaonyesha watoto wa digital kwamba tumetoka mbali alafu huwe amini niyayo hii track na video yake na huwa naisikiliza na kuwawkea watoto wangu na kuwambia tumetoka mbali sana tulikuwa tunambipu mtu kwa hela ahahahahah
Soggy mwambie Rado chemchem sana
Niatariiiiii
kumbe kwenu n sumbawanga rado mana wafipa asili yao n sumbawanga
Radooo
Bab kubwa kifaa Rado
Daaah Rado wee hivi watengenezaji wamidundo yahivo wamepoterea wapi kipindi Hicho weacha2
Tosh ni mnyama sana
Rado mnyama,mi mwanao kush gang hapa
1 lv pindi la kijanja watoto wa 2000 hawawezi elewa hii kitu🖐️ na enjoy sana nikichek pindi...Unyama
Noma sana.. pindi lakiume.
Chem chem
ChemChem 🔥🔥🔥
Naelewa sanaaa pindiii hili appreciate
Bro yupo real sana
Heshima sana
Oya muiteni fanani mzee wa HBC mchawi wa rap aliezimika ghafla
Kwa heshima sana
Mwamba kabisa
Hip hop imetulea ikiwepo wewe bro Soggy tangu kitambo ukija na Paul James kwa Big Kibamba,Kimbunga,Rado HESHIMA SANA
Chemchem