Gambo na Lema walipoonesha ukomavu wa kisiasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2020
- Kilichotokea baada ya wagombea ubunge Jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya #Chadema Godbless Lema pamoja na Mrisho Gambo wa #CCM walipokutana katika ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa ajili ya zoezi la uteuzi.
#Uchaguzimkuu2020 #MrishoGambo #GodlessLema #JimbolaArushaMjini
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Ukomavu wa ki siasa..siasa so Vita.👏👏👏👏👏
Iwe hivi tanzania nzima
Hahahaha wataelewa Tu wale wanaopenda siasa za kurusha maneno machafu..
Tanzania ntakayoijenga Mungu akinijalia mbeleni
Ndo Tanzania tunayoitaka yenye upendo, Well done mfano mzuri japo Lema ndo mwisho wake kuingia Bungeni
MashaAllah
Poa sana
Masha Allah
Sanaa Lema uko vzuri
Wote wako VIZURI katika kuiombea Tanzania kua na UPENDO
Duh
Hivi kwa nini Mrisho Gambo umeacha ukuu wa Mkoa kwa ajili ya Ubunge mbona kama unajirudisha chini, Mkuu wa Mkoa ni kama Rais wa Mkoa hakuna boss zaidi yake.
Gambo humuwezi Lema labda uibe kura. Watu wa Arusha watasimamia kura zao mpaka dakika ya mwisho.
Saf hiyo
Mngefanya hivyo siku zote ingekuwa poa
Hii ndo Tanzânia yetu ya upendo
Kwa mala yakwanza lema kukubali mziki wa mrisho gambo.ameanza kujisalimisha
Nimeipenda hiyo!
Watz tunapendana ila kuna mtu anasababisha tuonekane kama maadui
Na hiii ndo Tanzania yetu
Hyo ndo siasa cyo vta
LEMA WATU WA ARUSHA WANASUBIRI UANZE KAMPENI WALUUNGE MKONO. CCM HAKUNA LOLOTE WASHAMBA TU. KAMA SIO KELELE ZAKO ARUSHA INGEJENGWA VIPI WAKATI GAMBO YAZI YAKE ILIKUWA KUTUKANANA NA WENZAKE OFISINI MPAKA MAGUFULI AKAMTUMBUA. ARUSHA KODI ZENU NDIZO ZIMEIJENGA ARUSHA HAKUNA CHA GAMBO WALA MAGUFULI.
Gambo chapa boya huyo mapema asubh
Lena amekubali Kuwait haingii tena bungeni