Mapishi ya donuts za kuku |Chicken doughnuts COLLABORATION 2019
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- ✔Shrimp bites/Vitafunwa vya kamba from Aroma Of Zanzibar
Kiswahili: • VITAFUNIO VYA KAMBA ( ...
English: • SHRIMP BITES ( RAMADHA...
✔Potatoes bajia/Badia za viazi from Farhat Yummy
Kiswahili: • Jinsi Ya Kupika Bajia ...
English: • How To Make Quick And ...
___________________________
✔ingredients
1/2 kg minced chicken
1 large onion
mixed papers
1 tbsp curry powder
1-2 tbsp cumin powder
1 tbsp black pepper powder + coriander seeds
1 egg yolk
1 tbsp garlic and ginger paste
1/2 cup coriander leaves
1/4 cup all purpose flour (plus more when needed)
1 tbsp corn flour
chilli powder
salt to taste
For coating we need
1 cup breadcrumbs
2 eggs for
oil for frying
_______________
✔Mahitaji
nyama ya kuku alosagwa nusu kg
kitunguu maji 1
pilipili hoho kiasi
curry powder kjk 1
bizari nyembamba kjk 1 mpaka 2
pilipili manga na giligilani ya unga kjk 1
kitunguu saum tangawizi kjk 1
kiini cha yai 1
majani ya coriander nusu kikombe
unga wa ngano robo kikombe (na zaidi ukihitajika)
corn flour (unga wa mahindi mwepesi sana) kjk 1
pilipili ya kuwasha ukipenda
chumvi kiasi
Pia tutahitaji
chenga za mkate kikombe 1
mayai 2
mafuta ya kuchomea
_____________________________
✔Shuna's Kitchen
__________________________
For more updates please join my social media family ❤
✔instagram: @jifunze_mapishi 👉 / jifunze_mapishi
✔Facebook jifunze mapishi 👉 / shunaskitchen
__________________________________________
✔For business enquiry only : shunaskitchen@gmail.com
__________________________________________
✔More videos to watch - Shuna's Kitchen
katlesi za nyama/Mince potato chop: • Katlesi za nyama - Min...
katlesi za samaki/Potatoe and tuna kebab: • Katlesi za nyama - Min...
kachori/Potato balls: • Kachori za viazi - Pot...
Jinsi ya kutengeneza manda za kufungia sambusa/Homemade samosa wrapper: • Jinsi ya kutengeneza m...
Jinsi ya kutengeneza manda za kufungia spring rolls/Homemade spring rolls wrapper: • Jinsi ya kutengeneza m...
Jinsi ya kutengeneza sambusa za viazi/Vegetables samosas: • Sambusa za viazi kwa k...
Jinsi ya kutengeneza mikate ya mofa/Muufo bread: • Mikate ya mofa - Muufo...
Jinsi ya kupika mikate ya ufuta/Sesame bread: • Mikate ya ufuta - Sesa...
Jinsi ya kupika chapati za kuchambuka bila kukanda unga sana/No knead soft chapatis: • Jinsi ya kupika chapat...
Vipopoo vya nazi/Mini sweet dumplings in coconut cream: • Vipopoo/Vitobwesha - M...
Jinsi ya kuandaa shawarma ya kuku/Chicken shawarma: • Jinsi ya kuandaa shawa...
Jinsi ya kupika maandazi ya iliki malaini/Cardamom fried bread: • Jinsi ya kupika maanda...
Rolls za chapati na kuku/Chicken Chapati rolls: • Chicken Chapati Rolls ...
Jinsi ya kupika fish sticks/Fish stick kebabs : • Fish sticks - Tuna sti...
Jinsi ya kutengeneza masala ya chai/Tea masala powder: • Jinsi ya kutengeneza m...
Banzi za samaki na cheese/Tuna and cheese buns: • Jinsi ya kupika banzi ...
Mchuzi wa nazi wa kuku/Chicken breast in coconut milk: • Mchuzi wa nazi wa kuku...
Kuku wa sekela/ Sekela grilled chicken: • Kuku wa Sekela - Sekel...
Maandazi ha ufuta/Sesame fried bread: • Maandazi/Mahamri ya uf...
Mapishi ya vitumbua kwa kutumia unga wa mchele/ Rice flour mini cakes: • Mapishi ya vitumbua kw...
Jinsi ya kupika jicho la mke mwenza/Egg tuna kebab: • Mapishi ya vitumbua kw...
Viazi karai/Spicy fried potatoes: • Viazi karai - Spicy fr...
Muhogo wa nazi na samaki/Cassava in coconut cream: • Muhogo wa nazi - Cassa...
Uji wa shurba/Shourba/Oats and meat soup: • Uji wa shurba - Oats a...
Maharage ya nazi/Red kidneys beans in coconut milk: • Jinsi ya kupika mahara...
Uji wa ngano nzima:Whole wheat porridge: • Uji wa ngano - Whole w...
Mishkaki ya nyama/lamb skewers: • Video
Vibibi vya tui juu/Pancakes with coconut sauce: • Vibibi vya tui juu / r...
Jinsi ya kupika pilipili ya kukaanga/Hot chilli paste : • Jinsi ya kupika pilipi...
Chicken pockets: • Chicken pockets - Pock...
Jinsi ya kupika mikate ya bwana/Baked sesame bread: • Mikate ya bwana
#chickendoughnuts donasizakuku #shunaskitchen
MashaAllah Donus kebabs nzuri
Shukran JazakaAllah Ramadhan Kareem
Mwamke hodari mashallah kwa kupika napenda sana mapishi yake❤❤❤
Asante Maryam
Asante sana tunaomba recipe ya kalimati za cheese unamwagia kwa juu
Safi kabisa allah akuongezee zaidi ujuzi inshaallah
Wow mashaallah shukran insha'Allah kujaribu iyo 😘♥
Mashallah mapishi mazuri nimependa sana mapishi yako Allah akubarik
Shukran my dear
MashaAllah zote nzuri, n tamuu 😋💐👏🏼🙌🏽👌🏽. Shukran
This so beautiful and looks so delicious Ma Sha Allah. 🥰🥰😘😘
Thank you so much boss lady 😍
Mashaallah
Mashallah nampenda sana huyu anty batsman namm niwe mbunifu km ww
Nimependa
Masha Allah Jessi Omaha Allah Nitajaribu tnx
Shukraan sana habibty nitajaribu inshaallah😙 napenda mapishi yako nikijaribu huwa sikoseii .....mashaallah😚
Asante sana habibty
@@ShunasKitchen natamani niwe nakutumia picha uone nikijaribu
Mashallah yummmy yummmy 😋😋😋👌🏻
Thank you my darling 😘
Mashallah mamy nzuri Sana 😋👌
Jee naweza nikatumia hata nyama ya ng'ombe??
Ukiziweka katika freezer siku yakuchoma unaziacha ziyayuke au unachoma zikiwa frozen?
Mashallh nice 😍
Hadi rahaa kwa kweliii!!
Asante sana
Assalam alykum hbbty! MashaAllah, hv oregano inatumika kwnye kupika aina gan ya chakula?
Shukran sis kwa mapishi mazuri
Huhu nimeipenda hyo 😋
mashallah..yamyam.shukraan habbty😍😍😍
Afwan dear
MashaAllah nimeipenda sana recipe ya donas za kuku
Asante sana habibty
woooow I like all your foods yummy😋😋😋😋
Woow mashallah kwhy kuku haivishwi anawekwa viung moja kw moja? Kehy kwnye mafuta anaiva vzur?
Mashallh mungu akubarik
Mashallah mate yanatoka
chenga za mkate zinauzwa supermaket??
MashaAllah
Mashallah allah akuzdshe
Ameen asante sana my dear Sabah :)
This is a must try for me. Thank you for the recipe your videos are always on point
Thank you so much dear :)
Mashaa Allah pambeeee shuna’s nimependa👌😘
Asante sana :)
MashaAllah nzuri sana
Asante sana
Mashallah 😋 😍 u sana. May Allah bless u
Thank you Amal :)
Nzuri sana my dear
Asante sana Raheema :)
Masha allah ajaab
Assalam Alaykum...Habibty Naomba Kukuuliza Kwa Nyumbani Kuku Namsaga Kwa Kifaa Gani?Shukran Kwa Mapishi Yako Mazuri Allah Azidi Kukupa Afya Na Nguvu Mamy Ili Tuzidi Kufaidika😘😘
Kama una food processor (machine ya kusagia vitu vikavu) unaweza kusaga mwenyewe. Au mgandishe awe barafu halafu mpare na kibati cha kuparia chipsi, ile sehem ya kuparia chipsi..akiwa na barafu anaparika vizuri
Mashallah, sooo yummy!!
Thank you
kuku ukimchemsha jee af ukamtia viungo???
Mashllah recipe nzuri sana.
Asante sana boss lady 😍
Masha Allah shukran
Nice thank you
What if u dont have a cornflour?
Hyo kuku unasaga kwenye blenda
Maaashaallh
Sooooo👌yummyyyyy😗😍😍😍
Thank you so much :)
Masha Allah thanks for sharing
Asante sana :)
Nimependa sana
This is great & yummy I must try
Kweli zinanukiaa Sana😢😢😢 swaum hii looh😂😂😂
😃😃😃
Shukran
Afwan dear
mashaallah
Amazing!!!!!
Thanks for sharing your heart of cooking with us.
You are welcome Layla. Thanks for watching :)
Yummy! A must try I luv your collaboration Keep it up gals
Thank you Maryam :)
Jee naweza tumia nyama ya ng'ombe ya kusaga aunty shuu...barikiwa
@@siyumbakulwa769 ndio unaweza 🙂
Mashallah nzuri sana
Assalam alaikum ukikosa kuku nyama inafaa au haifai
Asanteni
Assalam aleykum Habibty, me naomba kuliza kisha donge cha supu ni nn kwa jina lingine?
W msalam dear kidonge cha supu ndio wanaita hivyo sana kwa jina jengine maggi cube
Shukran Habibty. Allah akubarik.
Asanteni sana ❤️
Karibu
Asante sis ila nitafanyaje kama sina corn flour
Sio lazima kuweka corn flour
Thank you for the recipe
You are welcome sis
Thanks soo much all of u
You are welcome my dear
ila mm nauliza swal, km huna cornfour je unawza kutia unga wa ngano.t???
ndio unaweza
shukran
Shukran habibty ila huwezi kutumia nyama ya kusaga??
Afwan dear. Unaweza ila zitakua beef doughnuts 😋
Corn flour niunga wamahindi eeh?
Ndio, ule mwepesi sana 🙂
Ukitumia keema robo, kiini utatia kimoja pia?
Ndio
Salaam naweza kupika nyama kiasi kwanza ndio katika kuivyaa isiwe mbichi ndani....
Sijawah kufanya ila unaweza kujaribu, nijulishe zitakuwaje
Kama hauna corn flour what substitute can you use?
add 1 or 2 tbsp of bread crumbs or you you can skip it. Thanks for watching
Asante sana
Mashallah i love u shun'us kitchen😙😙😙😙😙😙❤
Shukran my dear 😍
asnt sn
Na kuku nisipo msaga atakuwa mapande mapande donuts zitakuja
Nitafanya Inshll sat
In shaa Allah asante sana
Hahaha. Eti najua hampendi naivae gloves..
😃😃😃
Nipendq
Kama sina unga wa mkate natumia nini?
Unaweza kusaga cornflakes ukapata unga wake, au tengeneza chenga za mkate kwa kutumia mikate ya boflo
Ukitumia bread cramp jeee instead y kutumia unga wa ngano
MashaAllah
Shukran
Jee naweza nikatumia hata nyama ya ng'ombe??
Ndio unaweza 🙂
Mashallah
MashaAllah