TAMAA MBAYA | latest 2023 SWAHILI MOVIE | NEW BONGO MOVIE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Katika maisha kila mtu ameandikiwa kupata kwa aina yake, kufanikiwa kwa kupata mali au mahusiano huendana na baraka za mtu binafsi, pale Tamaa inapotumika katika kufanikisha umiliki wa jambo, madhara yake huwa ni makubwa mbeleni! Tazama Filamu hii ya TAMAA MBAYA hakika utajifunza jambo kubwa katika maisha!
.
Usiache ku Subscribe channel yetu hii ili usipitwe na filamu zetu tunazoziweka.
Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
th-cam.com/video/Fu1K5aTTj10/w-d-xo.html
Napenda Sana move zako mungu akujaliee kwa mafunzo mengi unayotupatia
Napenda sana ❤❤❤❤
Umasikini mbaya sana, NAKATAA UMASIKINI KWA JINA LA YESU KRISTO
BRO ADAM POKEA UBUNIFU ZAIDI KWA JINA LA YESU na pokea neema ya wokovu una moyo wa tofauti katika movie zako
Ameen napokea🙏🏻🙏🏻
Siwezi muacha mpenzi ninae mpenda kwa tamaa ya pesa subutu tunapambana mimi na yeye tupate zetu na sio kumuacha kisa boss anapesa Ongeleni sana kwa kazi zuli nawapenda wote umo ndani ❤❤❤❤
Asante mno
Dah!!!!funzo kubwa kweli... ahsante sana kwa kazi nzuri kakangu...
Shukrani sana🙏🙏
Wow nice one sijawai tazama filam hadi mwisho lakini hii imeweza good job
Shukrani sana, usiache ku subscribe zipo nyingi sana.
Mko makini sana na story zenu yaani sinamafunzo sana unakuta umemaliz lkn warudish nyuma ile utazame Tena good job Adam na wengne much love from kenya❤❤❤❤❤
Thanks a lot
Good work hilo ni fundisho kwa watu wenye kipato wanaowadharau wasio na kipato bigup sana na hongereni sana mungu awabariki katika kazi zenu
Kweli kabisaaa
Nimekuwa ni mfuatiliaj mzur sana wa filam zako kaka kusem ukwel unajua san kutunga story aswa zakuelimisha jamii mwenyezi mungu azd kukuongoza naiman utafika sana mbali kaka big up sana
Shukrani sana, asante kwa kuona hilo. Barikiwa na endelea kutu support kwa kadri utakavyoweza.🙏
Filamu nzuri yafundisha nyingine ya huzunisha na kufurahisha hongera sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante sana
@@AdamLeoStudios 💓💪🏻☝🏻💥
Aisee broo umetisha yaani Mambo ni moto..story imeetulia kwa imepangika big up sana broo
Shukrani sana🙏🙏🙏🙏
Filim hii ni nzuri sana. And the actors mainly the guy who acted as a Boss did it to his best. But Asante sana kucheza movie hii nzuri.
Am sorry for my poor Kiswahili only that am studying Swahili language and soon i will be perfect.
Ooh! Nimeelewa. Asante sana🙏🙏
Kiukwli filam zako zitubudisha sana
Asante mno.
Filamu ya mafunzo kweli.haina hah a utharau wenzio eti kwa sababu uko na hera kesho yako huijui.mbele ya mungu tuko sawa hakuna aliye zaidi juu ya mwingine.kazi nzuri adamu.mungu abariki kazi yako
Kabisa kabisa aisee.
Much love adam 🎉🎉 ila wadada muache hizo roho zenu ngumu mtu
Kuwa bc na huruma na mwezako ila loooooh😢😢😢 kweli pole adam wanawake viumbe wa ajabu just😂😂😂❤
Umeona eh, asante kwa kutazmaa
Asanteni nyote mnaoendelea kutazama filamu zetu, Usiache ku subscribe channel yetu ili usipitwe na kazi zetu mpya. Vilevile unaweza kutazama filamu zetu kali nyingine kwa kutembelea kurasa hizi
th-cam.com/video/VOlBqrp48qw/w-d-xo.html
th-cam.com/video/0tNDm3L0CCM/w-d-xo.html
th-cam.com/video/Va7TqjDkX9g/w-d-xo.html
Musikae sana mutuletee nyengine
Usijali, tunawaletea hivi karibuni.
Boss nafasi Kama zipo Mimi Niko tayali
,
Adam ni bong la muigizajii
Uko vzr sana kijana wangu,nakuaminia cku zote huwa hukosei bn.Keep it up bro.
Thanks! Tuko pamoja.
Hongera adam kwa kaz zur sichachelewa kabisa
Shukrani sana, baki na sisi upate filamu nzuri na bora.
Adam nakukubali San muvi zako zinafundisha San Mung azid kukuimarisha Zaid kweny kipaji chako
Ameen🙏🙏🙏
Ama kweli nakukubali sana kwa filamu zako tamu endelea kaka utafka sana mbali
Shukrani
Eee hiyo video ni noma kweli wee ❤❤❤
Shukrani
Usiache kutazama shortFilm nzuri ya MAAMUZI MAGUMU hapa👇👇
th-cam.com/video/s0-pKGpqX4Y/w-d-xo.html
Daaahhh zuu amecheza freshy hapo kwa mda wa 1:19:55 🤣🤣🤣🤣boss kimaro akauwa kenge aty"nimeskia moyo umelia ngaa💥💥ngaa 💥💥"noma sana mzae...real time reality...congrats content moto moto👍
Shukrani sana aisee.🙏🙏
Nimefulai sana ongeleni mungu awabaliki kwenye kazi zenu
Asante sana
Much love u Adam ❤❤❤
Thanks❤️❤️❤️
❤😂🎉🎉😢 ongera sana movies zako zinafundisho kweli,mungu akubariki kwa kazi zako❤❤❤❤
Ameen
Nimechelewa kuitazama hii ila hongera sana Adam Mungu akupe nguvu uzidi kutupa mafunzo #TAMAA MBAYA
Asante sana, filamu yetu nyingine ya KIHORO hii hapa, unaweza kuiangalia th-cam.com/video/ZEUOcc9dgcg/w-d-xo.html
Funzo waah hongeren
Asanteni
Duuuuu, huyo bos kama kinu cha vitunguu swaumu kafupiiii🤣🤣🤣🤣lkn Ana mbwembwe kamq Mc 👌👌👌Pole Adam hiyo ndio pesa bwana inaongea
Yaani wewe acha tu aisee.
🤣🤣🤣🤣🤣 Jameni eti kinu cha vitunguu swaumu 🙆♂️
🤣🤣🤣
😂😂😂afu mkali balaa
Adam sure kwakuwa mvumilivu mwisho hula mbivu. Zuu nice game liwe funzo kwa kila mwenye dharau kama hizi kutojali masikini.👍👍🙏
Kabisa kabisa
Unahusika katika kumaliza bando langu kaka🔥
Shukrani sana.
ASANTENI NYOTE, MNANIPA NGUVU YA KUENDELEA KUFANYA VIZURI ZAIDI. NINA WAAHIDI KAZI ZINAZOFUATA ZITAKUWA BORA ZAIDI.
BOSS
Kazi mzuri sana
Aise we jamaaaaa uko vizr sana unafikiri sana
I gonna join you jamaa yangu Nakuja tuungane tupige kazi nyingi Zaidi
Karibu @Clifford
Hongera Sana kwafundisho
Shukrani sana
Kali brow
Shukrani
Kali sana nmeikubali
Shukrani.
Mmmh kazi nzuri sana
Asante sana kwa kweli.
Asanten sana kwa movie mzur yenye mafunzo makubwa hapa dunian
Shukrani sana, usiache ku Subscribe ili usipitwe na kazi yetu mpya.
Ila boss mtoto nimemkubali sana
Hahahhaha nomaah sana,
Wauuuuuu hongera sana Adam kazi njema sana
Shukrani sana
Kazi zuri xana brother nakupendaga😍
Asante sana shukrani
Adam napenda kazi Yako sana
Shukrani
Masha Allah hadi raha ningepata mume kama ww akhaa na nenepa bla hata ya kula maneno tu mazuri
Jamani haahahaha
Mmmmm mtihani kweli Adam ushaachwa asee pesa iziii
Yaani we acha. Unaachwa kizembe sana.!!
Hapa nimejifunza sanaaa Asante watayarishaji wa hii movie
Shukrani sana.
Afwan
🙏🙏
ADAM LEO keep up bro make umekuja na kasi ya kufufua bongo movies basi ifanye iwe kama bongo flevor
Najitahidi🙏
kweli kaka iko kidogo tu watu wanatafuta mtu wampa ndomana wengine wanahalibu ndoa zawatu ili wakae wao nice movies
Kweli kabisa
Good work may God grant you guys more skills
Thanks a lot🙏🙏🙏
Nice story so amazing
Thank you so much
@@AdamLeoStudios much love kaka from Kenya 🇰🇪 I love 😍 soo much your movie
Great work MUNGU Akupe maarifa zaidii
Amen🙏😉
Tamaa si yote mbaya kwa sababu moja mimi nakupenda na ona mambo safi sana ❤❤❤❤👌
Asante mno
Kiukweli imeweza 🥰🥰🥰 congrats 👌👌👌💯💯💯
Asante sana kwa kutazama filamu zangu.
Jamani kimaro pole mwaya mapenzi upofu
Kwelii kabisa
Nakubari papa
Asante sana.
Hongeren sana kwa movie nzuri na yenye kufunza hasa kwa maboss wote wanao wanyanyasa masikin kwasababu ya mali zao
Umeona eh..!!🙏🙏
Ongeleni sana
Asante sana.
Kwel tamuu nmeipenda na inafundisha hongereni wote mloshiriki
Asante sana, barikiwa.
Pole sana boss kimaro iyo ndo adabu ya kunyanyasa wenzako bg up broo Adam
Shukrani sana umeona roho mbaya haijengi.
Umeona eh, roho mbaya haijengi.
Kaka kama kuna filamu yako poa nilipenda sana ni yenye mke wako ataki kukuongelesha but anaongea na marafiki vizuri manze iyo filamu imenifunza sana sikuzote nitakuwa makini nilije nikawekeliwa ujauzito yenye sijuhi🤣😂🤣😂🤣😂🤜🤛ongera sana
Asante sana bwaba Erick, ubarikiwe.
Hamu, m pia niliipenda sana
Shukrani sana.
Ndo ipi iyo
@@AdamLeoStudiosinaitwaje iyo move
Movie kali kinyama naomba namimi nafasi wazeeee
Sawa tutakupa.
wow👍👍yani movie nzuri sana ns yenye mafunzo mengi sana,hongereni wahusika wote but the 4 of you;boss, husband and the wife na brother to wife big up🙏🙏❤❤❤❤
Shukrani sana Lydia kwa uwepo wako, tunakuomba usisahau ku Subscribe channel yetu na kutufollow instagram @adamleotz ili usipitwe na kazi zetu mpya.
Sisi Ni Watoto Wa Uswazi Never Huwezi Kutuwekea Mipaka Unyama Sana Adamu👋
Mia sana damu yangu.
Daaah nakukubali sanaaa jaman mungu akutunzeee nawapenda❤❤❤❤❤
Mimi pia
Salute to u Adam ...kazi nzuri sana haki
Shukrani sana
Wanawake ukipata mwanaume mwenye anakupenda mheshimu Wacha ku
MtesA
Kabisa kabisa dada, sababu upendo wa kweli kwa wanaume wa sasa ni mdogo sana.
Lkn wanaume wakitendwa hulalamika sana lkn ss haku
Umeona ehhh!!
Boss kimaro safi saana
Confidence 💯
Limeosha hilo
Really like your movies. They are a typical of current society and really have advises in them.
Thanks a lot brother
Kazi nzuri n inafundisha hongera
Shukrani sana🙏
Haki nimependa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Asante
Hongera kaz, nzur mxikate tamaa ipo vizur
Asante sana🙏🙏🙏
Ndo maisha ya wafanyakaz wanawake mliokuwa kwenye ndoa muwe wavumilvu huku nnje jua kal😔😔😔😔
Kabisa kabisaa...😁
Kazi nzuri,Adam,Kimaru,Zuri na wahusika wote
Asante sana, usiache ku subscribe kwa kazi zetu zijazo.🙏
Shukrani..
Aka jatoto ni nomaa sana l enjoyed the movie
Thanks
Kama umeona sir jay like hapa
Like zoteee
Adam nakupenda sana kazi zunu nzuri sana ongereni wausika nyote
ShukrAni sAnA🙏🙏
Wow good work
Thank you so much 😀
Ufudu huyooo ,👏👏
Ufudu noma😂😂😂
Ufudu ni mkali
Good job broo God bless you and your work 👍
Thank you.🙏🙏
Maboss washenz kweli 🤔🤔😏
Kuliko maelezo.
KAZI nzuri, uhusika kamili
Shukrani mnoo
Kazi zandani wenzio zimetujengea nyumba unaxizarau
Kabisa kabisa
Kwa kweli movies zako Adam ni 🔥 I love it
Shukrani sana.
@@AdamLeoStudios afwan
Pole sana Kaka umasikini duuuu
Umasikini mbaya sana
Safi sana Adam unanifundisha congole
Shukrani sana🙏🙏🙏
umaskini unabowa hadi unafanya kazi ambayo ina mateso masimango da kelo♨️♨️
Yaani tabu tupu, ila ndiyo hivyo Mungu anatupambania.!
Kali sana ✌
Asante sana🙏
aisée hadi kwako ochana miguu tutafute pesa kwa bidi sio kwa maicha haya jamn
Umeona eh
Kazi nzuri kaka adam. Mungu akubariki
Amen, asante sana🙏
Asante adam leo
Shukrani sana🙏🙏🙏
Mambo ni fire, kali sanaaaaaa,
Asante sana Nuru manyotaa.
Gd move 100 %
Thanks aisee🙏🙏
Mashallah kazi nzuri sana Mungu awaepushie hasad🤲
Amin inshallah🙏
Boss Adam asanti kazi
Hahahah huyo boss sasa😂😂😂
Fear women 🙌big up brother Adam
Thanks a lot
Imeweza😅😅🖐️boss kimaro anataka kulia🤣🤣🤣🤣
Hahahah kachokaa.
Adamu umenifunza kwa kweli Hawa Wana wake hapanaa
Yaani we acha tu kwa kweli.
Aise hii filamu iko sawa sana Bhna
Asante sana🙏
Adamu mzuri jmn
Asante jamani🙏
Much love u Adam ✨
Asante sanaa
Sir jay
Hatari
Hii movie imenichekesha nilipo kumbuka wakati niliendaga kwa mdogo wangu kuomba kula naye kumbe hakuwa na kitu yakula akasema sisi tulikosea wapi jameni 🤣🤣🤣🤣🤣aki mumenikumbusha mbali
Hahaha asante, tumekuwa tukitoa filamu zinazogusa kwa jamii kwa namna moja ama nyingine, asante kwa kuwa unazitazama. Usiache ku Subscribe ili usipitwe na filamu zetu mpya.🙏
Big up Adam ni funzo tosha kabisa ubarikiwe sana maisha kuna kupanda na kushuka wa kwanza atakua wa mwisho nawa mwisho atakua wa kwanza. sauti imesikika maboss👂👂? au Adam aongeze volume?
Hahahha itabidi niongeze volume...!!
Kabisa
🙏🙏