A Day in The Life of a Swahili Speaker

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 4

  • @LanguageCrushSwahili-p7f
    @LanguageCrushSwahili-p7f  29 วันที่ผ่านมา

    Hi all! Did you enjoy this video? If so, please leave us a comment, like, subscribe and share. Also, download the transcript and audio, read the subtitles with the help of a pop-up dictionary and stats while watching the video, all for free at Language Crush: languagecrush.com/reading/course/1853

  • @indiraconnolly2889
    @indiraconnolly2889 29 วันที่ผ่านมา

    Asante sana kwa somo hili, mwalimu! Kwa kawaida naamka saa moja baada ya kulala saa saba. Halafu, nafanya mazoezi ya Kiswahili na mazoezi mengine. Baada ya kufanya mazoezi, napata kifungia kunywa pamoja na mume wangu. Tunakula uji(?) pamoja na matunda na kinywaji moto. Kisha, ninavaa na napiga swaki. Halafu naenda ofisini kwa miguu saa mbili na kwa kawaida nafika kwenye ofisi saa mbili na nusu. Nafanya kazi hadi saa sita. Saa sita nakula chakula cha mchana pamoja na wafanyakazi wenzangu mpaka saa saba mchana. Baada ya kula chakula cha mchana nafanya kazi mpaka saa kumi na nne na nusu. Saa kumi na nne na nusu ninaondoka ofisini na narudi nyumbani. Kwa kawaidi nakula chakula cha joini pamoja na mume wangu. Kisha naoga na napiga swaki tena. Baada ya ninavaa nguo ya kulala natazama televisheni pamoja na mume wangu. Halafu, tunalala.

    • @LanguageCrushSwahili-p7f
      @LanguageCrushSwahili-p7f  26 วันที่ผ่านมา

      Nimependa ratiba yako, umeelezea vizuri sana ratiba yote kwa Kiswahili, ninajivunia maendeleo yako, pia saa 14 kwa Kiswahili unaweza kusema saa 8 mchana.

    • @indiraconnolly2889
      @indiraconnolly2889 26 วันที่ผ่านมา

      @ Asante sana kwa msaada wako, mwalimu! Video hizi zinanisaidia sana! Ninashukuru sana kwa kazi yako.