Ninyi wachambuzi hamna uelewa au hamja ifanyia utafiti idara ya habari na mawasiliano inatakiwa iweje. Inawezekana kukawa na 1. Mkurugenzi wa mawasiliano 2. Msemaji wa club 3. Mkuu wa protocol na matukio 4. Mkuu wa ubunifu na sanaa N.K Ko hapo watu kwenye idara wanahitajika wengi ila bajeti za idara na vilabu ndio kikwazo
Mimi manara hastahili kuwa yanga mana yupo kwa masirahi ya ghalibu sio yanga huyu ni mwehu kama alitutukana Kila tusi siwezi kukunjuwa asepe kitengo Cha habari kinahitaji vijana kama kamwe sio Hawa wazee miaka 50
ukweli rais WA yanga bwana hersi hakutenda haki kuongelea jambo hapo amemkosea Haji kwanza jambo hilo lingeongelewa hivo sio vizuri hata hivo asisau ipo siku itamfika sababu timu sio yake
Yule ni raisi wa yanga lazima aseme wazi na ana haki kutowa tahatuku hivi haji alivyo waita mazuzi wajinga Kila matusi aliwatukana yanga alikuwa anawatukana chumbani sikia yanga hawana hitajio la haji huyo hji ni mfanya kazi wa gsm
Siku alofanya manara press mi nilijua tu kakurupuka maana viongozi wote walikuwa sauz ye akakusanya wazee akawalisha akaita waandishi akajitangaza tafrani
Ninasema hivi manara anamchango mkubwa sana kwa timu yanga hio basi apewe hishima yake kwa club na hasa kwa nyakati hizi yanga wanavyojisogelea mafanikio makubwa bafani Africa kumpoteza haji italeta mashaka makubwa kwa jicho la Tatu nasema hivi tuangalieni nafasi kutokana na hadhi yake alokua nayo na si makelele ya watu wasiojua uongozi na mafanikio ya club
Sababu ya kufungiwa Haji Manara sasa iko wazi. Haji Manara anatisha kutokana na historia yake binafsi na historia ya wazazi wake ambao walikuwa wachezaji Maarufu kwenye klabu ya yanga. ukweli ni kwamba kikulacho kiko nguoni mwako.
Sio kweli Hana lamaana yanga ni yanga na haji ni Simba hakuna kikulacho sisi sio mazuzu heris yupo sahihi GSM ampeleke akatangaze vitanda sio yanga katutusi Kila aina ya matusi akwendeee
Hawa coastal union taarifa wanatoa kwa wazee au kwa viongozi maana sielewi msemaji anaposema wazee yaani kuna taarifa inapelekwa kwa wazee na viongozi that’s shame and error katika industry ya football in Tanzania
Hongera manara Kwa uungwana
hongereni sana wasaf mf kutujuza mengii🎉
❤
Apambane manala Ila mm siamini kama manala anaipenda yanga
Kwa usemaji na propaganda za mpira hapa nchini hakuna kama haji
Arudi Simba yanga tuna vijana na timu nzri
Ninyi wachambuzi hamna uelewa au hamja ifanyia utafiti idara ya habari na mawasiliano inatakiwa iweje.
Inawezekana kukawa na
1. Mkurugenzi wa mawasiliano
2. Msemaji wa club
3. Mkuu wa protocol na matukio
4. Mkuu wa ubunifu na sanaa
N.K
Ko hapo watu kwenye idara wanahitajika wengi ila bajeti za idara na vilabu ndio kikwazo
Kwenye maisha kumbuka chochote ambacho unakifanya yupo mwingine ambaye Mungu atamuinua na kuifanya pia
Aache uropokaj ndio maana katolewa nafas hyo
Mimi manara hastahili kuwa yanga mana yupo kwa masirahi ya ghalibu sio yanga huyu ni mwehu kama alitutukana Kila tusi siwezi kukunjuwa asepe kitengo Cha habari kinahitaji vijana kama kamwe sio Hawa wazee miaka 50
Ajiiii anapewaaa cheooo kikubwaa sibiriniii mtaonaaaa zandaniii rakiniii
Jitahidini mmboreshee io mic 🎤 moja mbovu inadondoka ovyooo😅
Nyie watangazaji ni wambea tena wambea maswali yote hayo ya nini anaweza akafanya kazi yoyote acheni umbea
Majukumu yake itakuwa ni mbwembwe kutembelea mgongo nk...😅😅😅
ukweli rais WA yanga bwana hersi hakutenda haki kuongelea jambo hapo amemkosea Haji kwanza jambo hilo lingeongelewa hivo sio vizuri hata hivo asisau ipo siku itamfika sababu timu sio yake
Yule ni raisi wa yanga lazima aseme wazi na ana haki kutowa tahatuku hivi haji alivyo waita mazuzi wajinga Kila matusi aliwatukana yanga alikuwa anawatukana chumbani sikia yanga hawana hitajio la haji huyo hji ni mfanya kazi wa gsm
Manara tulia wwee ni simba bwana
Maulid acha umbea
🤣🤣🤣🤣🤣 lakini ulikua Simba
Siku alofanya manara press mi nilijua tu kakurupuka maana viongozi wote walikuwa sauz ye akakusanya wazee akawalisha akaita waandishi akajitangaza tafrani
Ninasema hivi manara anamchango mkubwa sana kwa timu yanga hio basi apewe hishima yake kwa club na hasa kwa nyakati hizi yanga wanavyojisogelea mafanikio makubwa bafani Africa kumpoteza haji italeta mashaka makubwa kwa jicho la Tatu nasema hivi tuangalieni nafasi kutokana na hadhi yake alokua nayo na si makelele ya watu wasiojua uongozi na mafanikio ya club
Sababu ya kufungiwa Haji Manara sasa iko wazi.
Haji Manara anatisha kutokana na historia yake binafsi na historia ya wazazi wake ambao walikuwa wachezaji Maarufu kwenye klabu ya yanga.
ukweli ni kwamba kikulacho kiko nguoni mwako.
Sio kweli Hana lamaana yanga ni yanga na haji ni Simba hakuna kikulacho sisi sio mazuzu heris yupo sahihi GSM ampeleke akatangaze vitanda sio yanga katutusi Kila aina ya matusi akwendeee
KUMBE NYINYI NI WANAFQI KWA MIAKA MIWILI ALIOFUNGIWA HAJI NDIO IONYESHE KITU ALICHONACHO HAJI ANAZIDIWA NA KAMWE?
Haji mbona una nongwa 😂
Umri unachangia pia Kwa sababu Kuna code za maneno Huwezi kuzitumia kadiri unavyozidi kukua
Hawa coastal union taarifa wanatoa kwa wazee au kwa viongozi maana sielewi msemaji anaposema wazee yaani kuna taarifa inapelekwa kwa wazee na viongozi that’s shame and error katika industry ya football in Tanzania
Who is wazeeee
Mbona yeye haachi umeneja wa wachezaji?
Ukweli ni kwamba Manara kashushwa 🤣🤣🤣🤣
Watu woote wako na Ali kamwe hakuna mtu atataka kamwe atoke hapo meaning of professionalism ni Ali Shaban Kamwe
Acheni yenu,
Mropokaji mnampamba mpambapamba tu
Kwanza huyo sio Yanga
Aende kwenye timu yake
Fua jezi basi utakubali
Haji hatumtaki