Dada Wa kazi ana tatoo mgongoni hahaha inaonekana hatoki kijiji. huyo mwenyewe nyumba ndo inaonekana ndio Dada Wa kazi na Dada Wa kazi inaonekana ndio mwenye nyumba hahahahaa
Sasa huu mchenzo unafundisha au unaonyesha zahiri mnavowachukia wapemba wakati huko ulikofanyamchenzo ndio namba moja kwa uchawi iyo simba wanga ipo pemba wacheni kuwachukiawapemba
Mkojan
Jaman mkopw kabxa
جميل جدا. فقط نطق كلمة المناطق الحساسه سيف
Mgeni kumpokea kumbe ni kujichongea,,, jirani mbaya sana hata hana utu
akina mama c tabia nzr kudanganyaa wadada. wa kaz tabia mbaya sana
Lilian Ramadhan yaani weacha mimi yalishanikuta ,mfanyakazi wangu alitoroshwa nimelala km alivyoambiwa huyo.walikuwa wanamdanganya mwisho wasiku kapanga nguo nipo kazini usiku katoroshwa.matokeo yake huko nako yakamshinda akarudi alikotoka kwao
Mwendelezo jamani
Duu inafundisha mko vizuri
mavazi mazur mashaallah
Mmevaa vizurii mashaallah
Habiba Khlifa vgjhfj
Habiba Khlifa mmm
Jamani mkovizuri nice cana
Nzur kwa kwel
Mmhh majirani
eti uyo kaka kanichekesha ujinga wa afrika wameweka mbele uchawi na wivu aaaa kweli siuongo
Nic
mashaallah mmevaa vizur
Kwani mwaarabu ni nini???
Na mfanyakazi maanayake nini wote si binaadam wanastaili kuigiza sehem inayomfaa
Au uwarabu ni unabii ????
La siunabii bali manyoya ka kondoo
Nicefilm
stories nzuri ma actors sio ila wamejitahidi
Dada Wa kazi ana tatoo mgongoni hahaha inaonekana hatoki kijiji. huyo mwenyewe nyumba ndo inaonekana ndio Dada Wa kazi na Dada Wa kazi inaonekana ndio mwenye nyumba hahahahaa
shima fuad nikweli kabisa
Takam
nmeipend
Sasa huu mchenzo unafundisha au unaonyesha zahiri mnavowachukia wapemba wakati huko ulikofanyamchenzo ndio namba moja kwa uchawi iyo simba wanga ipo pemba wacheni kuwachukiawapemba
Hi6
dada wakazi mualabu
Shida na uarabu uarabu nchini kwao so tz kama Huna uarabu hauna na dhikk
sauti je????
Las)
Sabaha
Jamani missing TACCI
nzur san
Nimependa mlivyovaa
Ashura Atanas namiminapenda ulivyopendeza
+Oritance Batungwa
Ashura Atanas khuyuytre
Jmn mbn kila cku unawatia ubayan wapemba
Trial
ujinga wa kiafrika ni huo, kueka uchawi mbele na wivu, uchozi. mtafika wapi na tambia kama hizo?????
Hapana lolote hapo wanauliza wamelegea tu
ikhlaas still am waiting 4 the reply
Fatma Alnabhani what reply?
😚
Cloudine T 6y
Cloudine T
bint jasiri
Ni urogi tu hata tuna ogopa kuja huko nyumbani
Wapemba wamekosa nn !!!
Kunaona wapi mlizi au Dada wakazi kua muwarabu
Makame Mufadhil kwani waarabu nikina nani
Kwan warabu wa nn na ww, mbona bado umtumwa kwa waarabu?
Iman Said pumbavu wewe unajua namaanisha nini?
dada wa kazi mwaarabu?
Fatma Alnabhani mwarabu ni mtu wakawaida ,fatu
Isaac Makokha, nafahamu ni mtu kama watu wengine lakini imenishangaza !!!
inaonekana mpka Leo huwajuw waarabu
Nimefahamu lakini ni ajabu mwaarabu kutumika kwa mtu kwa kazi za ndani, labda ni ndugu yake,nifahamuni.
Musije mnasema nimedharau watu,kuhusu ukabila sote ni hivyo hivyo, tumechanganya damu
jamani humcheza nizuli jamani
😂😂😂😂
sjaeipenda amba wapemba mkome
Basi najiomba mwenyewe msamaha ni jamii ya waarabu, kisha tu nimependa wewe ndugu yangu Zahor unisaidie kujua huyu dada wa kazi ni jamii gani?
Pw tu
Rafiki mwinzi wa yaya🤗😍😘
wapemba noma
hahahaa
Pw
Zare iko poa Girl
jifunzeni wamama