Alisoma Kiasi chake. Kwani kwa muone wako wewe kusoma ni hadi ufikie Degré ya PHD au kama hiyo ndio akili Yako basi ujaelewa maana ya kusoma. Kusoma nikujuwa kuandika na kusome Yale ambayo utaambiwa usome basi na kubwa pia kujuwa Lugha Hayo ndio maana ya masomo halisi
Kiboko ya Mabishoo C.E.0 micharazo, Star anayeshine bila Dili za matangazo.🎉🎉🎉🎉🎉
Brother blue 💙 nakukubali sana man unaga maringo salute sn
Bado uwezo wako tumeuona brother, akili haijifichi ..big up brother
Ukisha kuwa Star ndo ugumu wa maisha yenu unaonekana ila pale before mnakuwa hamuuwoni,
Salute sana BusyBabbiLon
Mr Blue na Joslin walisumbua Sana hawa Jamaa
Mr Blue G.OA.T
KUMBE HUJASOMA😂😂
We umesoma
Fweza 😂 muhimu ..ila anaweza kusoma hata sasa hivi akiamua.
Njoo mtaan kwangu uone wasomi hawana michongo😂😂
Ajasoma anakuzidi Kila kityu ukoo wenu
Alisoma Kiasi chake. Kwani kwa muone wako wewe kusoma ni hadi ufikie Degré ya PHD au kama hiyo ndio akili Yako basi ujaelewa maana ya kusoma. Kusoma nikujuwa kuandika na kusome Yale ambayo utaambiwa usome basi na kubwa pia kujuwa Lugha Hayo ndio maana ya masomo halisi