SIRAAJA MMUNIRA | SHARIF KOBA AMSIMAMISHA MUFTI KWA MARA YA KWANZA | MAULIDI MUZDALIFA 2020

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 135

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 3 ปีที่แล้ว +16

    Kwa mtume raha sana Allah atujaalie mapenzi kwa mtume na atukutanishe nae peponi

    • @abuusaalimalmasasiyyu9421
      @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 ปีที่แล้ว

      Wallah wanaofany uzushi hali ya kua wajua kua n uzushi watafukuzwa kweny haudh ya mtume swala na salam ziwe juu yake hawatokunywa maji yake limethibit hilo kwa nyie hamtokutanishw nae kwa kufany mambo ambayo hamkuamrishw na sharia yake

    • @jumaayyoub2519
      @jumaayyoub2519 3 ปีที่แล้ว

      @@abuusaalimalmasasiyyu9421 je wewe unauhakika gani kama tayari ushafaulu na utakunywa kwenye haudhi ya mtume acha uchache wa elimu kama hujui sema ufundishwe kwani sote tunatafuta pepo na sio wewe unaapa kabisa eti mutafukuzwa kwenye haudhi ya mtume acha ujinga nenda ukasome.

    • @abuusaalimalmasasiyyu9421
      @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 ปีที่แล้ว

      @@jumaayyoub2519 mm cjasema nina uhakika na wala sijajithibitishia kubwa ila imethibit kwa mzushi kufukuzwa kweny haudh sas wew kama unafany bidaha acha ucje ukaja fukuzwa ukajuta cku ambayo haina toba kuna hadith ktk suala hilo la huijui sema

    • @nyotanjemaingarayo5384
      @nyotanjemaingarayo5384 3 ปีที่แล้ว +1

      Subhanallah kupeana nasaha ni vyema lakini SI vyema kuhukumu kwani hiyo ni kazi ya Allah kubwa tumuombe atupe husni hatma. Na pepo iwe makazi yetu amiin.

  • @maalimothman472
    @maalimothman472 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah akubarik ustdh. Koba

  • @ademckrkc
    @ademckrkc 2 ปีที่แล้ว +2

    MAŞALLAH TÜRKİYEDEN SELAMÜNALEYKÜM

  • @hassanmaftah5309
    @hassanmaftah5309 3 ปีที่แล้ว +5

    Doooo 🙌🙌🙌🙌

  • @braqutourssafaris4672
    @braqutourssafaris4672 3 ปีที่แล้ว +3

    Swaluu alaaa nnabii..

  • @asharamdan363
    @asharamdan363 4 หลายเดือนก่อน

    mashallaaah ❤️ mashallaaah ❤❤

  • @massoudsultan6149
    @massoudsultan6149 3 ปีที่แล้ว +1

    MAASHALLAH ALLWA BARYYQ

  • @ajmilee4204
    @ajmilee4204 3 ปีที่แล้ว +6

    Hafla nyngn ukikosa utatamani ulie😤😭😭😭😭

  • @zainulmustofa2958
    @zainulmustofa2958 3 ปีที่แล้ว +1

    MasyALLOH SubhanALLOH

  • @yusufharoub4669
    @yusufharoub4669 3 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah

  • @ciakilewo4207
    @ciakilewo4207 2 ปีที่แล้ว

    Sharif komba ni Fundi🔥💯💯May ALLAH grant you Jannat Firdaus my brother ALLAHUMMA AMIIN💪

  • @ramsogwaramsogwa559
    @ramsogwaramsogwa559 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah amrehemu alhabibi zingizi

  • @ashurahassan1293
    @ashurahassan1293 ปีที่แล้ว

    Allahumma swallii a'layh

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 ปีที่แล้ว

    Wapenzi wa mtume muhammad s a w

  • @faudhiaayubu5674
    @faudhiaayubu5674 3 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah

  • @bilalyabdul1850
    @bilalyabdul1850 3 ปีที่แล้ว +1

    Jazzaqallahu khair

  • @wamanja5572
    @wamanja5572 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah Allah

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 ปีที่แล้ว +2

    Hivi mnadhani uislamu ni mchezo mchezo tu wa kuimba qasida, kuzikiri na kupiga madufu? Uislamu dini hii haitekelezwi kwa kutafuta kitu mbadala. Kama wakiristo wanapiga ngoma na mziki sisi tuimbe na kupiga dufu na zikiri. Hapana. Uislamu umekamilika. Hata kama unapenda ngoma basi hakuna namna utaifanya ngoma iwe dini hata kw akumtaja mungu huku unapiga ngoma. Turudini katika dini sahihi. Mungu alishatunyima mziki na ngoma ndio basi tena hakuna namna. Tusimlazimishe mungu

    • @khalidabdulla6545
      @khalidabdulla6545 2 ปีที่แล้ว

      Uwo mziki upo wap apo au nd jazba tuh

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 2 ปีที่แล้ว

      @@khalidabdulla6545 Khalid hujauona mziki na ngoma hapo. Allah akuongoe

    • @tariqamran7923
      @tariqamran7923 20 วันที่ผ่านมา

      Unafundisha watu ambao huna elimu ya kuwafundisha... Kasome kwanza

  • @komboissa2016
    @komboissa2016 3 ปีที่แล้ว +1

    Maaalim koba hujawahi kuniangusha allah akujaze kheri nyingiii

  • @zainabubashiry3182
    @zainabubashiry3182 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashalllah

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 ปีที่แล้ว

    Allahumma swalli wasallim alayh

  • @ismailimustapha5293
    @ismailimustapha5293 3 ปีที่แล้ว +2

    ﷺﷺﷺﷺﷺﷺﷺ

  • @AliAthmanAsghar
    @AliAthmanAsghar 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashalla

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 ปีที่แล้ว +1

    💕💕

  • @adenmikoba7506
    @adenmikoba7506 3 ปีที่แล้ว +1

    mashallah

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @babedyzo3892
    @babedyzo3892 3 ปีที่แล้ว +1

    Doooh nivit

  • @yusufharoub4669
    @yusufharoub4669 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatar sana

  • @kitwanaabuu809
    @kitwanaabuu809 ปีที่แล้ว

    We koba koba koba koba bababa

  • @nurfatykabeke8244
    @nurfatykabeke8244 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah jamaa zangu kupita darasani muhimu sio kila kitu bidaa tukio km hilo wakati wa mtume lishafanyika wakati swahaba mmoja alipomtungia mashairi ya kumsifu mtume na kumuimbia mtume akamsikiliza na kulikubali hilo mtume na kiliunga mkono halina mashaka akavua kitambaa alichovaa shingoni akamvisha swahaba yule bidaa ipo wapi hebu twambieni mbona hatukufahamuni nyie mbn munaifanya dini kuwa ngumu kwa mtakavyo nyie tusipo msifu mtume wetu tumsifu nani hebu twambieni

    • @kamaluissackkalonkano1348
      @kamaluissackkalonkano1348 2 ปีที่แล้ว

      Shukran kwa ufafanuzi akhy

    • @mohamediabdirashidi1099
      @mohamediabdirashidi1099 2 ปีที่แล้ว

      Rudi darasan acha porojo huyo swahaba nani na ilikua kipnd gani? Kuna swahaba gani watukufu zaidi ya makhalifa hawa wanne wenye daraja na hawakufanya hayo maulid? اين توجد هذا
      قال الله تعالى فإن تنعزعتم في شيء فردوه الى الله ورسوله
      Elm mhim sana sana lakin na kumuomba Allah taufik yake na kujiepusha na هواء النفس

  • @criminal03mostwanted71
    @criminal03mostwanted71 2 ปีที่แล้ว

    Ivi nyie masufi mnaakili kweliiiiii

  • @meena-ol6fo
    @meena-ol6fo 3 ปีที่แล้ว

    Achana kabisa mahabba ya mtume hayo

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 3 ปีที่แล้ว

    Koba ves

  • @juxjemc5768
    @juxjemc5768 3 ปีที่แล้ว +3

    Bwana koba una sifa yaaan unajua mpak watia hasira 😂😂🙏🙏 maashallah

    • @najmaawadh1359
      @najmaawadh1359 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣cheza na mabaha ya mtume

  • @ngwalimahingika4873
    @ngwalimahingika4873 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndo kilichobaki hicho kwa jamii yetu ya Kiislaam Tz kutoa kipa umbele kwa mambo ya kipuuzi tu

    • @jumamomba9502
      @jumamomba9502 3 ปีที่แล้ว +1

      Vip ni upuuz ilhali anasifiwa bwana mtume محمد

    • @sawdaasawdaa7903
      @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuliko kwenda kwa upuuzi wamiziki bora izi bana kwawanao muda aceni kuhukumu ati kakataza kusifiwa kama nabi isa nabi isa amesifuwa kuwa yeye ndito Mungu apo MUTUME MUHAMADI S.A.W hajasifiwa uungu ni u wonderful tu wake wadifiwa ata przsidentu anasifiwa kama presidenti ata biyarusi sasa akipewa eshima zake mutu mukubwa kama MUTUME bila kumwita jinalamungu sikosa amekata tu kumupacika uungu kama nabi isa( yesu) hakukataza bali alitahazarisga kufuru kama zakinaswara alivyopoteta nakupacika kiumbe ca Allah kufuru nyingi.asalaam alykum .

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 ปีที่แล้ว

      @@sawdaasawdaa7903 uislamu umekamilika sheikh hakuna bora hiki kuliko kile.

    • @salumbweta7731
      @salumbweta7731 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mohamedhaji2200 inaonekana hukusoma fiqh ungesoma usingesema ayo maneno

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 3 ปีที่แล้ว

      @@salumbweta7731 Fiqhi ya kupiga ngoma sijasoma kweli

  • @umayanasir8052
    @umayanasir8052 2 ปีที่แล้ว +1

    Hi kaswida koba umevurunda sauti zawitikiaji haziko standad

  • @abuusaalimalmasasiyyu9421
    @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 ปีที่แล้ว +2

    Bidaha kazz kweel allah awaongoze muache bidaha na mfuate sunna za mtume swala na salam ziwe juu yake

    • @waladulikhlaas7870
      @waladulikhlaas7870 3 ปีที่แล้ว

      Tuacheni na bidaa zetu...na nyinyi tafutaeni zenu muanzishe

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 3 ปีที่แล้ว

      Suna za mtume nani maana mitume ni wengi

    • @abdulqadirseif9377
      @abdulqadirseif9377 3 ปีที่แล้ว +1

      Achana na bidaa zetu..fanya bidaa zako wewe

    • @abuusaalimalmasasiyyu9421
      @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 ปีที่แล้ว

      @@abdulqadirseif9377 m cfany bidaha kwa sabab n upotovu na upotovu ni motoni kama alivotuambia mtume wetu kwa hyo kama waamin mtume kakataza bidaha bas acha upate saada

    • @abdulqadirseif9377
      @abdulqadirseif9377 3 ปีที่แล้ว

      @@abuusaalimalmasasiyyu9421 hii kujibu ni bidaa tu..halafu unasema hufanyi

  • @ahmaditara8535
    @ahmaditara8535 3 ปีที่แล้ว

    کان رسول الله صلى الله علىه وسلم ىکلف نفسه فى امر الدعوه فوق ما کلفه الله

  • @khatibismail8145
    @khatibismail8145 3 ปีที่แล้ว

    Twayeeeeb

  • @chikuibrahim5230
    @chikuibrahim5230 3 ปีที่แล้ว +3

    Bid'aa juu ya bid'aa

    • @jumahashimu7396
      @jumahashimu7396 3 ปีที่แล้ว

      Hujui kitu

    • @chikuibrahim5230
      @chikuibrahim5230 3 ปีที่แล้ว

      @@jumahashimu7396 kip ww ukijuacho!!

    • @jumahashimu7396
      @jumahashimu7396 3 ปีที่แล้ว +1

      @@chikuibrahim5230 kasome ndugu yng

    • @MrSJAmiri
      @MrSJAmiri 3 ปีที่แล้ว +1

      Bidaa ni nini? Na bidaa hapo iko wapi? Nenda kasome

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 3 ปีที่แล้ว

      Umefata nini huku

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 ปีที่แล้ว +2

    Viongozi wengi wa Dini Tanzania ni wanafiki. Watu wanasingiziwa kesi mko kimya, Watu wanatekwa Tanzania mko kimya, Watu wanapigwa Tanzania mko kimya, Watu wanapigwa risasi mko kimya, Watu wanauwawa mko kimya, mambo wanayofanyiwa vyama vya upinzani mnayaona mko kimya, mambo wanayofanyiwa ndugu zetu Zanzibar mnayaona mko kimya. Ningekuwa sijafunzwa adabu ningesema "SHUT UP" lakini siwezi. Viongozi wa Dini kama mnazo busara kaeni kimya mkapige kura kama Watanzania wengine endapo mna vitambulisho. Acheni kuwavuruga Watanzania wakati wa uchaguzi wakati Makanisa yenu na Misikiti imewashinda imegeuka ya uasherati, ngono, na kuuza madawa ya kulevya. Zamani Watanzania walikuwa wanawasikiliza sana viongozi wa Dini lakini siku hizi watu wamekuwa wakichambua nani Sheikh na mchungaji anayesema kweli kuhusu Maisha ya watu. Bila "UHURU na HAKI" hakuna kitu kinachoitwa amani. Acheni kusoma vitabu vya Dini mkiwa mumevigeuza. Bahati nzuri sana viongozi wengi wa Dini hawana maumivu yoyote maana sio walipa kodi. Rushwa mlizopokea na unafiki wenu utawahukumu. Mwisho wote kasomeni Safania @

    • @abuusaalimalmasasiyyu9421
      @abuusaalimalmasasiyyu9421 3 ปีที่แล้ว

      Akhy wew mche allah unafik upo moyoni we watuumu unafik jambo ambalo alijuae ni Allah lkn pia we unajuaje kama hao masheikh hawafany jitihada zozote za kuwatoa? Kwan n shart wakifany jitihada watangaze? Soma din yako uinasue nafsi yako utakuja kuulizwa na sio kutuhumu watu mambo ambayo hutaulizwa

    • @jumamomba9502
      @jumamomba9502 3 ปีที่แล้ว

      Umsema kweli

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว

      Wamekuwa maadui(wanahusudiana na kufanyiana fitna, chuki na husuda nk yasiompendeza Allah S.W) wao kwa wao na wanaowaongoza/Waumini wao. Leo kumezuka kundi kubwa la wanaojiita Mitume, Manabii, Masharifu (Waganga Washirikina) na Viongozi wa Serikal na Mabungei wanaosema watamtumikia Mungu na wanaapa Wakishika vitabu cha Mungu (Wanamdhihaki Mungu), wayatamkayo na wayatendayo tofauti!!!

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว

      Kweli KIAMA kimekaribia. InshaAllah atujalie tuupate mwisho mwema.

    • @mohamedmkiluwa6971
      @mohamedmkiluwa6971 3 ปีที่แล้ว

      Sauti Nzuri iliyotulia Mashaallah

  • @samamussakibwana5703
    @samamussakibwana5703 3 ปีที่แล้ว +1

    Masharllah

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 2 ปีที่แล้ว

    Maashallah

  • @aminakombo2969
    @aminakombo2969 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah