Afazali umeongea wew mimi nilisemaga yule mashavu hajui hiphop kazi kujisifia watu wakanibishia muziki gani mwanzo mwisho anajisifia kama anaimba taarabu amna rapa pale yele ni aisha tuu
@@noelpeter2130 anaskika?😂 Anaskika wapi Mzee Ebu acha zako bana😅 huyu tunamjua tu sisi tunaofatilia zaidi hip hop lakini wengi hawajui, hao marapa wanaojua kuandika Sana wengi bongo hawajui kutengeneza mziki mzuri wengi wanaegemea kuandika tu. Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kujua kuandika na kutengeneza ngoma Kali chidi Benz juzi tu hapo katika kuongea ukweli kwenye interview
@@noelpeter2130 baadhi yenu wabongo Bado mpo zama za kina Nas na Jay Z mbaka leo ndo shida, hao wenyewe marekani game ya rap ilishawatema muda Sana lakini walikubali kwamba sio wakati wao Tena lakini huku watu wanafosi Dizasta vina aonekane Bora wakati muziki wake unasikilizwa na watu wachache Sana impact yake Wala sio kubwa kwenye game, angalia Lunya ambae anapigwa vita Kila siku ndo rapa wa kwanza kupata madili makubwa bongo madili ambayo wakina Fid Q walishindwa kuyapata zama zao, kaangalie trending Saivi ngoma yake ndo ngoma pekee ya hip hop inayoshindana na wasanii wa kuimba kwenye chart Iko namba Tano. Hao mnaowasifia wanajua kuandika Sana wapo wapi Saivi? Kubalini tu uwezo wa jamaa kwa Sasa
Lunya is next level, mnao mdisi young lunya ukweli ni kwamba rap zenu hazina nguvu kushindana nayeye, lunya ni star kwa maana iyo mnatafta kiki kupitia yeye ili tujue kua na ninyi mpo, huo ni ushamba, mziki wake ni watofauti na nyie ndomana yupo top level, VIEWS, SUBSCRIBERS hata mauzo toxic huwezi kua kama lunya, japo kakukuta kwenye game! Funga bakuri hujui ku rap, unaongea kwenye beat tu!
Toxic ebu wa sameeh🙏🙏🙏 😅😅😅 🔥🔥🔥🙌🙌Me nlisema wanao mshabikia young kunya n mashabiki mandaz hawaijui HIP HOP me mwenyew haniwez atanishinda kwa mashabiki mandaz wanashabikia mavaz anayo vaa eny mashabiki wa young kunya mmeisikia HIP HOP HOP ilivyo na Radha
Daah Bro Sikutegemea Kama Ichi Kitu ulicho Kifanya Kama Kwako Itakuwa Ni Simple Like That Alafu Ngoma Kali Kinoma Na Umenyoosha bro Hii Ndio Maana Halisi Ya Hip Hop Na Wewe Ndio Rapper So Big Up Sana My G
Nimerudia tena kusikiliza😁😁😁, Jana na leo..... Tuliorud leo tena like hapa wazeeee😊
DIZASTA ni hatari kabisa.....very real and OG💯
KAMA UNAKUBALI TOXIC KAMMALIZA YOUNG KUNYA ...GUSA LIKE APO 😂😂
Hawezi kumzima afu watu wanafki sana dah
Young Kunya tenaa😂
Young Kunya😂😂😂
🔥 🔥 Toxic umetisha.....mashabika wa rap ndo tunacho kitaka game iwe on Air kwa dis track na nyimbo qali
Oya wazee walioludia ihh Ngoma kama me tujuane kwa like hapa😊😊😊
Nimeirudia huyu toxic ety meeh 😁🤣🤣🤣
Tupo hapa apa lunya lbda akaombe msaada Kwa kitengo kidg 😅
Alaf tukisha kupa
Co kurudia tu nimekuj tena cku pili niickilize vzur kubabake
@@Heisfeisalmwema hili goma m2 kakalishwa mzee,😆😆😆
Kaka umetisha ira mbuzi ni kuma2
MWILI MDOGO ILA SOUND YA BUFA📌📌 nipeni likes zangu sasa😂
Alaf upeleke wapi 😂
Toxic sound ya bufa
Noma hii love from kenya Nairobi
Kama umesikiliza zaidi ya mala mbili like hapa 😂😂
Mwanangu huyu toxic hapana😁😁😁😁😁mashavu makubwa
@@mkingaboy550 😂😂 meeh
Kitambo naanza fatilia ngoma zako aseee fire
TOXIC umenena ukwel! Haipingwi MBUZI anazingua parefu💯💪
Afazali umeongea wew mimi nilisemaga yule mashavu hajui hiphop kazi kujisifia watu wakanibishia muziki gani mwanzo mwisho anajisifia kama anaimba taarabu amna rapa pale yele ni aisha tuu
😂🤣😂🤣😂🤣 aisha mashauzi yule na adija kopa adija kopa hamfikii kwa taarab
Mashavu anajua sana sema sifa zimezidi kuliko mbuzi mwenyewe kwa kondoo
Usijiite mkali wa rap,
Kinachofanya uskike sio kujua bali ni kujuana na watu 2:13 👏👏👏👏 Big Thinker
Captain wareys from zenji nungwi dah asante kwa kutusaidia alikuwa anabowa sana mbana puwa
Mwanaume anajisifu kama kapaka Meka up si ujinga kaka umemwambia ukwel
Kwanza kamdisi mwanetu killer
Mwisho Wa leliiiiiiiiiiiii😂😂😂Unajua mpka unajuaaaa kaka 🙌🙌🙌🙌
🔥 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Mimi nilisha sema toxic ni better sas hapo alete kam kweli yeye mwamba
Noma 🔥🔥🔥
Ukikaa katikati yao ndo utasikiliza vizuri na kugundua hii distrack nikali kiasi inaonekana kama ya sekunde selathini ❤❤❤
Kabisa.!
😂😂😂 Fid Q ashasema huyu dogo sio mbuzi na huu moto sijui kama ataujibu
Toxic mpoteze kabisa uyu boyaaa
Oooyaaaahhh noma sana Fuvu punch zote kali hamna Ooomaaaiiii
Na siku lunya akimdiss dizasta vina atakua amekwisha kabisa
Uyu toxic tu kamvuruga hivi 🙌😁
Kule hawezi amuulize Raptcha ad Leo kapotea😅😅😅😅
Simshauli hata kidogo bwana mbuzi😅😅
Hakika buda
Vina Next level
@@emmanuelmchomvu2676 wapi huko bro
Noma.Noma .Nomaaaaaa sanaaa lunya kaa rada...one love Toxic hili dude noma, Meeeèeh
"Tuwe makini na wanaume wanaosema hawarudii boxer"✌🏾✌🏾
Humu ndani umefanya matusi ile mbaya itanibidi nitulize fuvu ili kumaster haya matusi🔥🔥🔥
😂😂😂😂
From Kenya ila nakubali sound ya bufa!! Young Kunya mpelekenii chooni sio studio🔥🔥🔥
Oyaaaaaaaaa toxic Nina buku lako apaaaaa njoo ufateeeeeeeeeeeeee maana nimeirudia hii ngoma Mara 100 "Kama unajiweza nijibu nitoe part 2" 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Oaaa huyoo Lunya alikuchukulia poah kukutaja mweny session 6 😅😂😄kumbe kauchokoza motoo🔥🔥🔥Toxic mwanang tumsubr ajibuu 🤫Part two tunamnyoosha kam dakk 5 hv💪💪💪
Kali sana bro.
Wala hutumii nguvu asee👏👏
Kinachofanya uskike sio kujua, ila ni kujuana na watu✍️. Aaah noma🔥
Ajuane na watu na yeye tuone kama ataskika
@@Oldskulgemini9991 huyo hajuani na watu Ila anaskika
Unaona utofauti uo
@@noelpeter2130 anaskika?😂 Anaskika wapi Mzee Ebu acha zako bana😅 huyu tunamjua tu sisi tunaofatilia zaidi hip hop lakini wengi hawajui, hao marapa wanaojua kuandika Sana wengi bongo hawajui kutengeneza mziki mzuri wengi wanaegemea kuandika tu. Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kujua kuandika na kutengeneza ngoma Kali chidi Benz juzi tu hapo katika kuongea ukweli kwenye interview
@@Oldskulgemini9991 Ukiona hadi umefika kwenye kipengele chake cha kuComment, huko ndo kuskika sasa. Mbona unajifunga ndan ya maelezo😂
@@noelpeter2130 baadhi yenu wabongo Bado mpo zama za kina Nas na Jay Z mbaka leo ndo shida, hao wenyewe marekani game ya rap ilishawatema muda Sana lakini walikubali kwamba sio wakati wao Tena lakini huku watu wanafosi Dizasta vina aonekane Bora wakati muziki wake unasikilizwa na watu wachache Sana impact yake Wala sio kubwa kwenye game, angalia Lunya ambae anapigwa vita Kila siku ndo rapa wa kwanza kupata madili makubwa bongo madili ambayo wakina Fid Q walishindwa kuyapata zama zao, kaangalie trending Saivi ngoma yake ndo ngoma pekee ya hip hop inayoshindana na wasanii wa kuimba kwenye chart Iko namba Tano. Hao mnaowasifia wanajua kuandika Sana wapo wapi Saivi? Kubalini tu uwezo wa jamaa kwa Sasa
Toxic sio poaaaa... 🔥🔥🔥 Umeuaaaa mkaliii
Hii ndo rap Sasa,,,,unaupiga mwingi G🔥🔥🔥
Unyamaa sana hapa jamaa harudii
Mashavu kama chura muda wote shpapi shpapii
Oyaaaah huyu mnyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
All the way From Zenji#Marashi ya karafuuu....🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
nisaaa meeeeh😁😁 uyu jamaa anajua
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥🔥😂 big
Lunya Mshamba Tu.....Nakubalii TOXIC Salute 🫡
Kwishaaaa mzee 🔥🔥🔥🔥🔥
Mbuzi kagoma kwenda
Kweli mwana anajisifu sana
"TUWE MAKINI NA MWANAUME ANAESEMA HARUDII BOXER"😂😅
hii punchline noma sana 🙌
😂😂😂dah so poa
😊😅😅
Sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona nakupenda na mbuzi na mpenda
Rap imezaliwa Upya🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Meeeh mwambieeeh rapa mwenye mashavu kama kabugia tonge😂😂
Mbuzi mwanangu sana ila kwa hili nmempa kombe toxic kabla ya part2😂😂😂😂
Weeee jamaaa unajuaaaa sana
😂😂😂duh kaka si lunya ndo namsikia humu 😂😂 sema fresh 🔥🔥🔥🔥
We Ni Moto Toka Dakika Kumi Za Maangamizi Mm Ni Nyoosha Mikono
Kwli fuvu❤ a town tunakubal
Ichi kichwa Ni nomaaa Lunya Kayatimba Et Anasema baby Kama Abby Chems Unamleteaje UToxic Icho ki line kimemponzaa 😅😅😅
Aaaah kumamake upewe mauwa yako
mwanaume wa kweli huwa harudii kosa tuwe makini na mwanaume anayesema harudii boksa😂🔥🔥🚀
Hahahah
Mbuzi anawatesa ndmn mnam dis everyday, Young lunya endlea kuwapiga umo umo mpk wakae chini
Ndo Mambo tunayoyapenda haya
Oy weeee uyu jamaaa nizaidi ya chuma tishasana
Moto umeungua🔥
Unyama ni mwingi sana yani unajua sana 💯
Daaah hizo meee
Lunya is next level, mnao mdisi young lunya ukweli ni kwamba rap zenu hazina nguvu kushindana nayeye, lunya ni star kwa maana iyo mnatafta kiki kupitia yeye ili tujue kua na ninyi mpo, huo ni ushamba, mziki wake ni watofauti na nyie ndomana yupo top level, VIEWS, SUBSCRIBERS hata mauzo toxic huwezi kua kama lunya, japo kakukuta kwenye game! Funga bakuri hujui ku rap, unaongea kwenye beat tu!
Toxic ebu wa sameeh🙏🙏🙏 😅😅😅 🔥🔥🔥🙌🙌Me nlisema wanao mshabikia young kunya n mashabiki mandaz hawaijui HIP HOP me mwenyew haniwez atanishinda kwa mashabiki mandaz wanashabikia mavaz anayo vaa eny mashabiki wa young kunya mmeisikia HIP HOP HOP ilivyo na Radha
Heeee heee heee We Fuvu wewe heee
Noma sana mzee🔥
Mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi mbuzi 😂😂😂 me nimekuita mara 5
THE TOXIC ripuaaa 😂😂😂 meehh
kali sana .maad respect from kenya
Pamoja sana toxic ya kwangu inakuja saa soon🔥🔥🔥
Ningeskiliza bila kukomment ningeonekana mnafiki , nice work really anaboa
@@Lillyac85 nakubali sana mwanang 🔥💯
Tatizo mzee wangu unauwezo mkubwa mpaka ukifanya kawaida inaonekana umepania sanaa.. 🔥🔥🙌🏽🙌🏽
Daah Bro Sikutegemea Kama Ichi Kitu ulicho Kifanya Kama Kwako Itakuwa Ni Simple Like That Alafu Ngoma Kali Kinoma Na Umenyoosha bro Hii Ndio Maana Halisi Ya Hip Hop Na Wewe Ndio Rapper So Big Up Sana My G
Umetisha san Bob! Mtwange mtoto mdogo uyo!
Usingemjibu msenge huyo
Mtu akiona umenyamaza sana anadhani umemugwaya....pia kamtaja toxi lwenye hii session 6
Beat Kali unaishia kweny ooh my ooh my 😂😂😂
Mkanyagie hajui kweli
Nakujua mzee wakukalisha .....af wasafi walikupa kago kitengo ukamkalisha
Mhhhhh ☠️☠️☠️ daaah mbuzi wamchongo afu mbovu, toxic nipo nawe brother 🔥🔥🔥
Hii ndo ile namba chafu mzee wa shpapi kaisoma aya tujibu sasa mwanetu oooooh my......😂😂😂😂😂
Nakubali kaka
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.... Mamakeeeeee.....💥💥.... Nomaaa sanaaaa umetisha
lets da rap game take over...... mbuzi ingia studio idd ya kuchinja ipo njiani na toxic fuvu ndo amepewa kisu. .
We ndoume uwa sa a mshua 👊
😂😂😂😂 MAHAKAMA YA MBUZI
Umetisha dadek
Toxic 💥💥💥⚡
Kuna Urapcha ndani 🔥🔥
Pya mwana Sana tu adi 254 tunaiskia # @ B.RWANTED 🇰🇪
Nimekuja kuangalia msiba wa mwanetu lunya hii toxic🥲🥲
Toxic best Freestyle na pia Muandishi,,, Big up
Uyo young lunya hamna kitu pale
Umeua mzee wangu TOXIC
Huyu atengweeeee
Noma sana, nasubiri ajibu kama ana uwezo...tugonge part two
Maharaja ya kokein, rapa anajiita wa kimataifa kisa nyimbo zake znapgwa mikocheni
Huyu jamaa huwaga simkubali ila hapa salute umeuaaa mzeee
Jamaa unajua sn tangu Kibasila kk
Amini kakaa Kidevu apaa
Oyaa kidevu vp kk
Frexh
Kibasila pale nje na kingo
🔥🔥 Dem wangu alichopenda ulivyosuka kwenye session 6
Achia ngoma la mapenzi ...Mfano wa loves never die, Nitakinai and jinai ila liwe na dakika 4 kuendelea kaka...Ila hii Diss kali
Sioo poaa mtoko wakoooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tuwe makini na mwanaume ambaye harudii boxaa😂😂😂😂
Qmmk 😂😂
Anajinyea brake hakuna
Wazee hili goma tulirudie tena na tena 🔥🔥🔥🔥
Fuvu 🔥🔥🔥🔥🙌💣
Asee ni fire 🔥🔥🔥 uyu toxic
Brother 🙌🙌🙌... kama vip msa MEEEH...🤣