ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Ila kikosi Cha Simba saiv kinatishaa km unaamini iloo gonga like
Ishallah Mungu azidi kuweka wepesi mbele yenu wanasimba. Mungu yupo pamoja nanyie ❤❤❤
Mungu ibariki Simba yangu ❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥💯
Mungu bariki Simba🦁💪♥️
EEE Mungu wape nguvu na afya wachezaji wetu ❤❤❤
Mungu ibarik simba yetu
Inshallah🤲🤲🤲🤲ushindi kwa uwezo wa allah
Mungu ijaaliye simba ushindi
Inshaallah mungu isaidie simba iweze kushinda
Ubaya ubwela 🦁💪
mungu ibariki simba yetu
Nawatakia kila lenye heli katika mchezo wa kesho naipenda timu yangu SSC 🦁
MUNGU ibariki Simba
Dua njema kwa timu yetu ya Simba
Mungu ni mwema kikos kimefika salama
Wangapi wanasema mnyama anashinda leo.. like nikuunge kwenyegrupu letu la simba
Kila la kheri Mnyamaaaaa
Mung u naomba ibariki simba
Kesho kazi kazini wanamume itabidi wale 4 bila tabora
TABORA 0 - 3 SIMBA SC
Ayoma tv 📺, mimi namtaka yule mwandishi mdada ambaye huwa anamhoji Ahmed Ally
Tabora kazi wanayo😂
Naipendaa simbaa jamaniii
Ila siku hizo video sio nzuri
Kila la kheri Simba Sports Club tunawategemea wapambanaji wetu Mungu akawe upande wetu 🙏🙏
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys ikawe Kheri🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
Msichezee na refa tuna wajua sana sana mtalazimisha ushindi
Kayoko Yuko wapi?
Umbea tu
ubaya ubwera
Tabora 0-4 simba
Mh! Ngoja tusubir hicho kisasi😂😂
Wazee wa kazi, wazee wa kukulazimisha kupigwa.
🏆🏆🦁❤️❤️❤️💪💪💪🙏🙏🙏
Ushindi mnooo kesho tutawaonyesha maana ya ukubwa nn
Tutamfanya vibaya tabora kesho 😂
Mbona tayali tumewapiga tatu tabora kabla ya mech keaho?
Piga nyuki
Piga 8 hao nyuki
Na iy gar vp simba waliipakia kweny ndeg au imekuj na derev pek yk
Apana lilitangulia na ni ili waende nalo manyara keshokutwa
Simba piga ao warina asar
❤❤❤❤❤
Tulia uone UBAYA UBWELA Hiyo kesho
Ubaya ubwera utaendelea
👏👏👏👏🦁❤️❤️❤️💪💪💪💪🙏🙏
Hivi tabora inapatia wapi kiburi
Hao wazeee jamani
Ubaya ubwela
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
ishar itashind
Kuna jamaa kajjchanganya kumgusa Shomari kala ngumi za fasta
Kibu denis sjamwona
𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑎𝑤𝑒𝑗𝑢𝑢 𝑦𝑒𝑛𝑢 𝑠𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑛𝑔𝑢𝑣𝑢 𝑚𝑜𝑗𝑎
Mungu wabariki wachezaj wote wa simba tujaalie ushindi mnono
Ila kikosi Cha Simba saiv kinatishaa km unaamini iloo gonga like
Ishallah Mungu azidi kuweka wepesi mbele yenu wanasimba. Mungu yupo pamoja nanyie ❤❤❤
Mungu ibariki Simba yangu ❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥💯
Mungu bariki Simba🦁💪♥️
EEE Mungu wape nguvu na afya wachezaji wetu ❤❤❤
Mungu ibarik simba yetu
Inshallah🤲🤲🤲🤲ushindi kwa uwezo wa allah
Mungu ijaaliye simba ushindi
Inshaallah mungu isaidie simba iweze kushinda
Ubaya ubwela 🦁💪
mungu ibariki simba yetu
Nawatakia kila lenye heli katika mchezo wa kesho naipenda timu yangu SSC 🦁
MUNGU ibariki Simba
Dua njema kwa timu yetu ya Simba
Mungu ni mwema kikos kimefika salama
Wangapi wanasema mnyama anashinda leo.. like nikuunge kwenyegrupu letu la simba
Kila la kheri Mnyamaaaaa
Mung u naomba ibariki simba
Kesho kazi kazini wanamume itabidi wale 4 bila tabora
TABORA 0 - 3 SIMBA SC
Ayoma tv 📺, mimi namtaka yule mwandishi mdada ambaye huwa anamhoji Ahmed Ally
Tabora kazi wanayo😂
Naipendaa simbaa jamaniii
Ila siku hizo video sio nzuri
Kila la kheri Simba Sports Club tunawategemea wapambanaji wetu Mungu akawe upande wetu 🙏🙏
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys ikawe Kheri🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
Msichezee na refa tuna wajua sana sana mtalazimisha ushindi
Kayoko Yuko wapi?
Umbea tu
ubaya ubwera
Tabora 0-4 simba
Mh! Ngoja tusubir hicho kisasi😂😂
Wazee wa kazi, wazee wa kukulazimisha kupigwa.
🏆🏆🦁❤️❤️❤️💪💪💪🙏🙏🙏
Ushindi mnooo kesho tutawaonyesha maana ya ukubwa nn
Tutamfanya vibaya tabora kesho 😂
Mbona tayali tumewapiga tatu tabora kabla ya mech keaho?
Piga nyuki
Piga 8 hao nyuki
Na iy gar vp simba waliipakia kweny ndeg au imekuj na derev pek yk
Apana lilitangulia na ni ili waende nalo manyara keshokutwa
Simba piga ao warina asar
❤❤❤❤❤
Tulia uone UBAYA UBWELA Hiyo kesho
Ubaya ubwera utaendelea
👏👏👏👏🦁❤️❤️❤️💪💪💪💪🙏🙏
Hivi tabora inapatia wapi kiburi
Hao wazeee jamani
Ubaya ubwela
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
ishar itashind
Kuna jamaa kajjchanganya kumgusa Shomari kala ngumi za fasta
Kibu denis sjamwona
𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑎𝑤𝑒𝑗𝑢𝑢 𝑦𝑒𝑛𝑢 𝑠𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑛𝑔𝑢𝑣𝑢 𝑚𝑜𝑗𝑎
Mungu wabariki wachezaj wote wa simba tujaalie ushindi mnono