Zuwena - Marijani Rajabu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- mPenzi Zuwena - Marijani Rajabu
ZILIPENDWA_
Stream & Download ZILIPENDWA_ On 👇🏻
• Dawa ya mapenzi - Mbar...
Rudisha kumbukumbu nzuri kupitia nyimbo hii kali na nyinginezo kibao zaidi kutoka kwa wasanii mahiri walotamba enzi hizo.
Email: zilipendwaplaylists@gmail.com
kumbuka ku_LIKE na ku_COMMENT bila kusahau ku_SUBSCRIBE.
• Les Wanyika - Shauri y...
Zuwena ama maisha kweli hayarudi nyuma. Sauti nyororo ya marehemu Marijani Rajabu , ALLAH Amrehemu greetings from Adelaide South Australia
Nina miaka 74, naikumbika nyimbo hii.Jamani kweli waimbaji wa siku hizi wangejifunza kutokana na nyinbo kama hizi, sauti, mdundo, maneno, ya kuzua hisia
Me nimezaliwa 89 I'll hizi nyimbo no nzuri maneno yk ni matam
Mimi wa 87 lakini washa mdogo wangu hizi ngoma ni noma
Wimbo wenye utamu na wingi wa mawaidha.Kweli mtunzi ni gwiji na mkumbuka mwenda zake ....MDJ Eddy Fondo.VOK.
Hizi ndio zilikua nyimbo za maana kabisa
❤ the music cool and educative RIP Rajabu
jabali la mziki nchiniTanzania wakati huo. kweli kila wakati na mambo yake.
Hakika ❤Mbosso reminds me so much of Marijan.Tanzania music deserves an Accolade 🎉
I first heard of this classic when still in primary school in 1979 through my dads transistor radio.Ever since as i age it has continued to re vibrate always taking me back to my formative years.How time flies
Same to l see
Mkongwe,Gwiji wa muziki wa enzi wa muziki mbashara hayati Marijan Shabani...muziki wenye ujumbe
Am 54 and I loved this song so much earliely 1980 still a touching song
An Iconic figure in popular dance music in Tanzania who seems to have been forgotten by the current generation!!
VIJANA wa sasa ndio wanaoleta uhanisi 😢😢😢 VIJANA wengi wameharibika kuliko zamani 😢😢😢😢
😅😅😅😅😅
Wazeee mlikua mnatuandalia mafunzo mema kweli kupitia sanaaa hiliii, ila sio sasa sana ilio jaaa matusi mwaka huuu 2024.
Alipenda sana ZUENA, JE WEWE WAMPENDA WAKO KIASI GANI, ELEZA WAZI
Siku za nyuma kabla Dunia hahijawa gunia,,, timeless music,,,,, 🎷🎵🎺
, Be
Hapo zama za kale paliishi mziki.
Huu ndio muziki sasa. RlP Jabali
Hizo midomo ya bata Na hiyo Sauti ya Marijani
Vijana Wa Sasa mtakoma I say
Siwezi kujizuia. Nakumbuka enxi hizo vizuri sana
Daaa, ujumbe maridadi.
Nyimbo nzzuri naipenda sana vjui ni hii sauti au maneno anywayni nyimbo tamu
Good music kila kitu kimepangwa kuanzia sauti nidhamu ya uimbaji heshima na BUSARA ya maneno. Siyo kama muziki wa sasa ambao huwezi kusikiliza na familia yako
Nostalgia
Kila siku lazima niskze hii ngoma aseeeeh,,Marijani alikua balaa
Mbona hazifanani jmn
Tatuta Mr Paul song zuwena
Zilikwa kumbusho mzuri 1974
Hii nyimbo naomba iruduwe na daimond ❤❤❤❤
Sijui kama haya yanakumbukwa mashiri
Rajab music have total test in heart
Nostalgic memory
Good old days
Sichoki 😢
Nice
Good memory
Marjan rajabu
Sure music
Awesome ❤️🇰🇪.
😊😅😅
Ya kale ni Dhahabu
❤
zakale nizahabu
M1😊😊😊😊
Wasanii wa kizazi hiki wapigwe marufuku kupiga nyimbo za wazee wetu maana wanaziharibu.
Nakweli wanazi shusha haazi unatakiwa ziheshimiwe ili kuendelea kuchukua nafasi yake
Keeling kabisa
Kweli kabisa wanaharibu sana
Cyo kweli aliyefny cover hii track ni mr paul na sioni kibaya alicho hrbu kweny ile track
Nakuunga mkono ndugu. Huu wimbo umeimbwa na wasanii ambao wameuharibu.
HII PICHA NI YA NANI??
✓%