Zuwena - Marijani Rajabu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • mPenzi Zuwena - Marijani Rajabu
    ZILIPENDWA_
    Stream & Download ZILIPENDWA_ On 👇🏻
    • Dawa ya mapenzi - Mbar...
    Rudisha kumbukumbu nzuri kupitia nyimbo hii kali na nyinginezo kibao zaidi kutoka kwa wasanii mahiri walotamba enzi hizo.
    Email: zilipendwaplaylists@gmail.com
    kumbuka ku_LIKE na ku_COMMENT bila kusahau ku_SUBSCRIBE.
    • Les Wanyika - Shauri y...

ความคิดเห็น • 57

  • @sharifahmed7346
    @sharifahmed7346 หลายเดือนก่อน +2

    Zuwena ama maisha kweli hayarudi nyuma. Sauti nyororo ya marehemu Marijani Rajabu , ALLAH Amrehemu greetings from Adelaide South Australia

  • @gabrielnitereka5832
    @gabrielnitereka5832 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nina miaka 74, naikumbika nyimbo hii.Jamani kweli waimbaji wa siku hizi wangejifunza kutokana na nyinbo kama hizi, sauti, mdundo, maneno, ya kuzua hisia

  • @FatmaSalum-nq1ud
    @FatmaSalum-nq1ud ปีที่แล้ว +5

    Me nimezaliwa 89 I'll hizi nyimbo no nzuri maneno yk ni matam

    • @SaidKawela-qy5wv
      @SaidKawela-qy5wv ปีที่แล้ว +2

      Mimi wa 87 lakini washa mdogo wangu hizi ngoma ni noma

    • @bensonwaema9285
      @bensonwaema9285 ปีที่แล้ว

      Wimbo wenye utamu na wingi wa mawaidha.Kweli mtunzi ni gwiji na mkumbuka mwenda zake ....MDJ Eddy Fondo.VOK.

    • @allydaud612
      @allydaud612 2 หลายเดือนก่อน

      Hizi ndio zilikua nyimbo za maana kabisa

  • @NicholasOumaOgutu
    @NicholasOumaOgutu หลายเดือนก่อน +1

    ❤ the music cool and educative RIP Rajabu

  • @user-ss4jp2oh8s
    @user-ss4jp2oh8s ปีที่แล้ว +5

    jabali la mziki nchiniTanzania wakati huo. kweli kila wakati na mambo yake.

    • @zuhuranjeri1663
      @zuhuranjeri1663 10 หลายเดือนก่อน

      Hakika ❤Mbosso reminds me so much of Marijan.Tanzania music deserves an Accolade 🎉

  • @paulwanjohi5357
    @paulwanjohi5357 3 หลายเดือนก่อน +1

    I first heard of this classic when still in primary school in 1979 through my dads transistor radio.Ever since as i age it has continued to re vibrate always taking me back to my formative years.How time flies

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mkongwe,Gwiji wa muziki wa enzi wa muziki mbashara hayati Marijan Shabani...muziki wenye ujumbe

  • @wilsonkinyua2154
    @wilsonkinyua2154 7 หลายเดือนก่อน +2

    Am 54 and I loved this song so much earliely 1980 still a touching song

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 2 หลายเดือนก่อน

    An Iconic figure in popular dance music in Tanzania who seems to have been forgotten by the current generation!!

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 7 หลายเดือนก่อน +2

    VIJANA wa sasa ndio wanaoleta uhanisi 😢😢😢 VIJANA wengi wameharibika kuliko zamani 😢😢😢😢

    • @BonaTesha-f9p
      @BonaTesha-f9p หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wazeee mlikua mnatuandalia mafunzo mema kweli kupitia sanaaa hiliii, ila sio sasa sana ilio jaaa matusi mwaka huuu 2024.

  • @niariramrutu197
    @niariramrutu197 หลายเดือนก่อน

    Alipenda sana ZUENA, JE WEWE WAMPENDA WAKO KIASI GANI, ELEZA WAZI

  • @williamsagala7081
    @williamsagala7081 7 หลายเดือนก่อน +2

    Siku za nyuma kabla Dunia hahijawa gunia,,, timeless music,,,,, 🎷🎵🎺

  • @onesmusakwabi4966
    @onesmusakwabi4966 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo zama za kale paliishi mziki.

  • @BonaTesha-f9p
    @BonaTesha-f9p หลายเดือนก่อน

    Huu ndio muziki sasa. RlP Jabali

  • @lewinmukui70
    @lewinmukui70 ปีที่แล้ว +4

    Hizo midomo ya bata Na hiyo Sauti ya Marijani
    Vijana Wa Sasa mtakoma I say

  • @hafidhmuhsin1623
    @hafidhmuhsin1623 3 หลายเดือนก่อน

    Siwezi kujizuia. Nakumbuka enxi hizo vizuri sana

  • @user-db8lv3dy3w
    @user-db8lv3dy3w 2 หลายเดือนก่อน

    Daaa, ujumbe maridadi.

  • @user-bj2xs3tc7h
    @user-bj2xs3tc7h 3 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo nzzuri naipenda sana vjui ni hii sauti au maneno anywayni nyimbo tamu

  • @mohamedshineni2122
    @mohamedshineni2122 3 หลายเดือนก่อน

    Good music kila kitu kimepangwa kuanzia sauti nidhamu ya uimbaji heshima na BUSARA ya maneno. Siyo kama muziki wa sasa ambao huwezi kusikiliza na familia yako

  • @jndolo3381
    @jndolo3381 ปีที่แล้ว +5

    Nostalgia

  • @VonsoAlmeida17
    @VonsoAlmeida17 5 หลายเดือนก่อน

    Kila siku lazima niskze hii ngoma aseeeeh,,Marijani alikua balaa

  • @sirasymarcko367
    @sirasymarcko367 ปีที่แล้ว +3

    Mbona hazifanani jmn

  • @jacobongere6668
    @jacobongere6668 ปีที่แล้ว +2

    Zilikwa kumbusho mzuri 1974

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 7 หลายเดือนก่อน

    Hii nyimbo naomba iruduwe na daimond ❤❤❤❤

  • @flaviankitowa5439
    @flaviankitowa5439 3 หลายเดือนก่อน

    Sijui kama haya yanakumbukwa mashiri

  • @jamesmaina3655
    @jamesmaina3655 ปีที่แล้ว +1

    Rajab music have total test in heart

  • @richardgatungu3759
    @richardgatungu3759 3 หลายเดือนก่อน

    Nostalgic memory

  • @georgeodhiambo4384
    @georgeodhiambo4384 3 หลายเดือนก่อน

    Good old days

  • @user-gs5cn7cy5c
    @user-gs5cn7cy5c 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sichoki 😢

  • @rajabumwero731
    @rajabumwero731 ปีที่แล้ว +2

    Nice

  • @williammwangi4955
    @williammwangi4955 ปีที่แล้ว +1

    Good memory

  • @mashakajuves7911
    @mashakajuves7911 ปีที่แล้ว +2

    Marjan rajabu

  • @jamesmaina3655
    @jamesmaina3655 ปีที่แล้ว +1

    Sure music

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba7930 11 หลายเดือนก่อน +1

    Awesome ❤️🇰🇪.

  • @paulmureria6178
    @paulmureria6178 2 หลายเดือนก่อน

    😊😅😅

  • @abbassalum1864
    @abbassalum1864 8 หลายเดือนก่อน

    Ya kale ni Dhahabu

  • @paulmureria6178
    @paulmureria6178 2 หลายเดือนก่อน

  • @khamisomar52
    @khamisomar52 9 หลายเดือนก่อน

    zakale nizahabu

  • @BAVONNYAHINGA
    @BAVONNYAHINGA 4 หลายเดือนก่อน

    M1😊😊😊😊

  • @user-ns1tn4sl8l
    @user-ns1tn4sl8l ปีที่แล้ว +9

    Wasanii wa kizazi hiki wapigwe marufuku kupiga nyimbo za wazee wetu maana wanaziharibu.

    • @RobartShello-qj4vr
      @RobartShello-qj4vr 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nakweli wanazi shusha haazi unatakiwa ziheshimiwe ili kuendelea kuchukua nafasi yake

    • @malitomalito
      @malitomalito 8 หลายเดือนก่อน

      Keeling kabisa

    • @user-od6wn9qt7d
      @user-od6wn9qt7d 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa wanaharibu sana

    • @zuberimohamed43
      @zuberimohamed43 3 หลายเดือนก่อน

      Cyo kweli aliyefny cover hii track ni mr paul na sioni kibaya alicho hrbu kweny ile track

    • @antonyjumah2138
      @antonyjumah2138 2 หลายเดือนก่อน

      Nakuunga mkono ndugu. Huu wimbo umeimbwa na wasanii ambao wameuharibu.

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 3 หลายเดือนก่อน

    HII PICHA NI YA NANI??

  • @josephjosephgeorge3195
    @josephjosephgeorge3195 ปีที่แล้ว +1

    ✓%