Hahaha!wazee wa ubaya ubwela tafteni wadogo wadogo zaidi yaani under 15waje wamkabe chama,na mkienda na ulimbukeni msimu ujao mnaenda kusajili wazee watupu!!Siri niwaibie nyie makolo kuwa na timu Bora ni kuwa na uongozi Bora unaojuwa mpira Wala siyo umri wa mchezaji,mkiwa na mentality ya umri wa wachezaji mtakuwa mnabadili wachezaji mnabaki pale pale,Leo ronardo ana miaka 40kasoro miezi isiyo zidi 8 ila uwanjani ana balaa hata kijana wa miaka 20 hamfikii
Dube. Chama. Huezipeana wachezaji wako kwa team bora kisha nawewe utake kuwa bora. Yanga wanatumia mbinu ya Bayern munich na Barcelona. Wananunua wachezaji wazuri kutoka kwa timu za ndani ya nchi sababu watakua mbele kwa uzoefu tayari kuadopt.
mwangu mchome wewe ni mtu na nusu haupo kama machawa akina GB64 na kisugu, hawa hawaajielewi na hawaufahamu mpira wanaongea ki uchawa wewe naa mzee saidi ni watu wa mpira kweli.
Anaemfagilia mchome na madini yake like apa
Mlisema mzeee Leo kakomesha saaana hallo Yale magori katisha aise
Chama wa Moto kongole kwake🎉🎉🎉🎉
Jamaa Yuko vizuri sana
Hongera Kaka mchome ulikuwa unashangilia
Nikajua nimemuona peke yangu
Chama yupo. Vizuri sana bado simba wakikutana na yanga lax chama apige bao
Chama asist 4 Goli 1 mpigieni makofi kwa like nyingi hapo!!!!
Dube yupo vizuri sana
Asante chama umewaziba mdomo
Naomba namba ya mchome mapovu huyu ni mwamba kweli kweli siyo mnafiki nipeni namba za simu za mwamba huyu
huyu mchome atawakera sana na bado mpaka waseme tu.
Lakini kwann mchome kafurahia sana goli la penat . Kashangilia kwa nguvu nimemuonaaa😂😂😂😂
Ana betti😅
Naomba namba ya huyu mchome nampenda huyu mkaka nyie anavo ongea to mashallaa
Boa noite querida.
Chama is man of the match 💚💚💛💛🇹🇿🌻
Asantee Mchome🙌
Hahaha!wazee wa ubaya ubwela tafteni wadogo wadogo zaidi yaani under 15waje wamkabe chama,na mkienda na ulimbukeni msimu ujao mnaenda kusajili wazee watupu!!Siri niwaibie nyie makolo kuwa na timu Bora ni kuwa na uongozi Bora unaojuwa mpira Wala siyo umri wa mchezaji,mkiwa na mentality ya umri wa wachezaji mtakuwa mnabadili wachezaji mnabaki pale pale,Leo ronardo ana miaka 40kasoro miezi isiyo zidi 8 ila uwanjani ana balaa hata kijana wa miaka 20 hamfikii
Mchomi nakukubali sana
Umekua Bambo kaka😂😂😂
Bado hamjasema yaan badooooo mpaka mseme 😂😂
Kazi juu yakazi
Waambie
Nakubali
Chama aliongerewa Sana eti ni mzee leo hii kawafunga mdomo
Totofei ana mikosi mkata miuno
Gonga like za mchome hapa jamaa anajua boli sana hana unafiki
Ki ukweli nampenda Alli kamwe yaani anavyoengea tu kwa kweli he is good hongera kijana wetu
Kelvin musonda au kenedy musonda?
Wambia wajue
@scope hebu angalieni quality ya video zenu tafadhali
Naomba mamba ya mchome huyu ni mamba kweli kweli siyo mnafiki
Mchome mapovu uko vizuri sana
Mchome umeongea ukweli.
CHAMA NI MTU NA NUSU HANA MSHINDANI KWA UPANDE WAKE❤
Triple C🎉🎉
Kachez na team gan
Amecheza na Simba game ya kwanza kashinda 5, game ya 2 kashinda 2 game ya tatu kashinda 1 😂😂😂😂😂😂😂
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Chama ni mzuri,waliomuita mzee.wapowapi ,ubaya ubwege mpo,mwamtaka tena eeeee
Chama katupa Raha sanaaaa
Dube. Chama. Huezipeana wachezaji wako kwa team bora kisha nawewe utake kuwa bora. Yanga wanatumia mbinu ya Bayern munich na Barcelona. Wananunua wachezaji wazuri kutoka kwa timu za ndani ya nchi sababu watakua mbele kwa uzoefu tayari kuadopt.
Huyo mwamba pembeni ndio bodgudy naona yuko makini hatari😂😂😂
Mchomi ananifurahisha 😂😂
AZAM VIUNO VYA FEI VINAWALA HADI LEO😂😂😂😂😂😂
Chama amepamba moto.
aisee mbona sauti haiko poa kwenu
Chama lazima angae vitalo O walikuwa pungufu ya wachezaji wawili
Hawa watu wanapenda mchezaji nasio timu
AZAM miuno😂😂
Tumuombe msamaha chama Jaman wote waliomtukan na kumbeza
😂kaka machine unajua bori
Azam wanaboa sana
Huyo kelvin musonda ni wa team gani??😂😂😂
Azam anazingua kweli
Anaitwa kened msonda sio kelvin msonda😂😂😂😂
Daima mbele nyuma mwiko
Mchome uko sahihi
Mchomeeeeeee
Ww unaweled na mpira
Kenedy msonda na sio Kelvin musonda nyie sio watu wa mpira
Hahahahah 😂😂
Et Kelvin musonda🤣🤣🤣
Kaka umekua makini sana kwa kuangalia mpira. Sasa nachokushauri vua hiyo jezi ya simba tupa mbali
ila azam....
Mchome km mchome jembe langu sanaaaaa
Huyo jamaa anaitika kama alikuwa hasikii vile
mchome unatisha bro
mwangu mchome wewe ni mtu na nusu haupo kama machawa akina GB64 na kisugu, hawa hawaajielewi na hawaufahamu mpira wanaongea ki uchawa wewe naa mzee saidi ni watu wa mpira kweli.
Mnafki tuu ww shabiki wa yanga tunakujua
Mtu akisema ukweli eti huyu yanga😃😃
Natafuta comment ya makolo😂
Sio kelvin ni kennerd msonda
Poaw kaka
Mchome acha kuwasifia hao utopolo unaowapa vichwa
Hay simba bora apo je umepat nn
Mchome anaujua mpira
Azam nikama psg
😂😂😂😂🔰🔰💚💚💚
Ndo maa dube alipaona mapema akasepa Azam utoto mwingi sana
😂😂😂😂uhakika,,APR wamejipigia huko
Yule jamaa akate tena mauno😅😅
@@mamboshepea8888 atakata mauno huko mtaani kwao akiwa anazungusha juice za ukwaju mana mashindano ndo bye bye 🤣🤣🤣🤣
Ukitaka kujua kama mchome ni Simba angalia Simba ya miaka nne ndio utajua alikua sana kindakindaki wa Simba.
Mbona midekooo
Kevin musonda,????
Mideko FC
Anaitwa Kennedy musonda sio Kelvin nyie washamba
Azam vp mbn wana mambo ya ajabu
Mwamb nimeambia kuwa ww unapenda kusema ukwel
Mbn haitoi saut
Kutumia chelsoo kwenye mgomba
Chainsaw sio chelso.....
@@halson827😂😂😂😂
Tulieni bado inanyesha tujue panapo vuja,
Huyo jamaa anaitika kama alikuwa hasikii vile