Kuisha kwa tiketi ni kununua mtu alafu na yeye akalangua msitake kudanganya watu hapa, wananchi tulio wengi hali zetu tunazijua sisi wenyewe mitaani. Maana mashabiki wa simba baazi tuna waungisha mitaani wanunue jezi mpaka tiketi tuna waungia ili wanunue
TANOOOO 🖐🏽 Oya INAUMA IO
Good achana nao wacha wajaze uwanja sie tunajaza makombe
God hajawai kujua kuongea huwa anapiga kelele tu
Mbona kelele huyo yanga
Sasa kujaza uwanja ndio hojaa?
Kwani game ya Alhal si mlisema tiket sold out mechi inaendelea mapengo matupu.
Hahahaaa!
Mnalazimisha nyir utopolo chura wa jangwani😊
Hamna kitu apa😂
Ila binamu unakera daah tanoooo
Wache wajaze watu sisi tujaze makombe 🏆 🏆 🏆 🏆 🏆
Mashabiki wa yanga mnapatashida yanini kubishana mashabiki wa Simba hao wasiojielewa hapo hatakadi ya Simba hana
Kuisha kwa tiketi ni kununua mtu alafu na yeye akalangua msitake kudanganya watu hapa, wananchi tulio wengi hali zetu tunazijua sisi wenyewe mitaani. Maana mashabiki wa simba baazi tuna waungisha mitaani wanunue jezi mpaka tiketi tuna waungia ili wanunue
Kweli tano inauma😂
Pumbavu wewe umeshakula 6 ujue uto
ni halali tiket ziishe maana tiketi 5000 maana watu wengi wa simba hawana kz sasa watapata wapi pesa madunduka bhna
utoporo wanalazimisha watu wao mitaani mbona mlisema hamuwezi kuingia Mitaani?
this is worst interview you have ever done,next time kuwa serious na bando letu,usituletee tena haya makelele uliotuletea leo