Kwakweli bora gwajima awe mbunge wa kawe tu cz tumemchoka halima mdee kila siku yeye ni kesi mahakamani tuuuuu sasa mbunge gani hana anachokifanya zaidi ya makesi kesi kila siku akaaa mie kura yangu nampa gwajima bn
Sasa hiyo ndo shida ya kuleta chaguo la mkubwa badala ya chaguo la wananchi. Alieshinda kwa uhitaji wa wananchi ni mwingine alieletwa ni mwingine hapo sijui huwa ni demokrasia ipi inayotumikaga
Kumbe mange kimambi anaongeaga ukwel afu uyuu gwajima alisemaga hataki ubunge Wala urais ni kujidhalilisha pia uyu magu kasema jimbo la kawe limelala Kuna jamaaa uku anasemaga maendeleo hayana Chama cjui mkweli Nan
Anaefanya miradi ya maendeleo kwenye nchi sio mbunge ni Serekali inayokusanya kodi. Watanzania lazima muwe waelewa. Tatizo la CCM tangia waingie madarakani walitangaza kuwa hawatapeleka miradi ya maendeleo kwa wapinzani na hata hotuba zao za Kampeni wanasema hivyo. Watu wa aina hii tusiwakubali maana wanagawa Watanzania. Kama unakusanya kodi kwa Watanzania wote bila kujali vyama kwa nini uwe na mtoto wa tumboni na mgongoni. CCM sio wa kuwakabidhi nchi maana kuna nini au kuna siri gani wanataka kuifanya. Mwenyekiti wa kijiji CCM, Diwani CCM, Katibu Kata CCM, Mbunge CCM,Mkurugenzi awe CCM. Kwa akili finyu tu kuna hila inatengenezwa na msishangae Tanzania kuwa koloni la CCM maana wanapokezana vijiti katika uongozi wao. Mtu anaishi Bara inakuwaje apelekwe Zanzibar kugombea Urais tena kanchi kadogo kenye watu 1.5m uchaguzi siku mbili. Mimi sikai Kawe lakini ningekuwa naishi pale ningempa kura Halima Mdee kukwepa kutengeneza Taifa la watu wanaodharaulika. Hivi mtu mwenye akili timamu unapangiwa mpaka mda kwa kwenda choo.
CHAGUA JPM 2020-2025 Tunaleta fly over zingine kwenye maeneo yafuatayo:- ■Chang'ombe-mataa ■Kamata-mataa ■Magomeni-mataa ■Mwenge-mataa ■Tabata ■Fire-magomeni ■Morocco ■Makutano ya barabara ya alhassan mwinyi na united nation ■Makutano ya alhassan mwinyi na kinondoni Ref:Ukurasa WA 76 ilani ya uchaguzi ya CCM 2020
@@timothmziray4709 soma kwenye ilani umeorodhesha miradi mbali mbali kila mkoa una miradi yake inayotekelezwa hapo nimeongelea mkoa nao tokea mm ukipata muda na ww kapitie uone miradi iliyopangwa kutekelezwa kwenye mkoa wako sio unakuja na mentality yakupinga pinga tu boss ww ni raia na naamini unajielewa na unajua haki zako na wajibu wako kwa taifa na una uhuru wa kuchagua na kuamua nani akuongoze sio lazma CCM niliyo itaja hapo kama unaona hakiko kwenye misimamo yako chagua chama chako unachoona kitakuletea hayo maendeleo
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
KUBWA JINGA WW HUNA SHUKURANI MPINGA MAENDELEO.MITUC YOTE YA NN?MDOMO KAMA KUMA IMEZUNGUKWA NA MAVUZI HUNA WAZEE KWENU? KWAHIYO WW UNAWEZA KUMFIRA BABA YAKO.JIHESHIMU.MTUMZIMA HOVYO.
Mzee huyo mchungaji ni msanii alisema kazi ya ubunge au uwaziri atajidhalilisha sio saizi yake angalia asije akakutia aibu ni sawa na mtu ukidhamini maasai, atakuachia shuka mzee🤪🤪
Nikweli mwaka huu halima mwaka huuu chali
Ataisoma na
🔥🔥🔥🔥Dr Gwajima Oyeee
Hawa watu ni matajiri wakubwa tunaomba tujue Siri ya kutaka kuwa wabunge?
Kwa hiyo ulikua unataka mtu maskini ili akajilipe kupitia uongozi?
Kwa sababu hawawezi kutuibia kama kweli ni matajiri.
kweli ni mkweli sana. R.I.P MZEE WETU.
Gwajima namkubari kaliamshe kweli dude ili kawe yetu irudi ccm
Hapa ni ✌✌✌✌✌💪💪
Rest in Peace JPM
Kama na ww umegundua gwajima anahofu ana tetemeka Tujuane hapa 🤣🤣
Na Mimi nimeona
Nileteeni Gwajima×3 utatu mtakatifu
Mh Apo ni Mdee tuu
Machozi ya uliokata majina yao. Yasingeenda bule
Safiiii
Hahahhah ushasahau magu alivokuwa anakukandia .
Nomaaa magu😍
Hey Sister Munira, habari samahani wewe ni blogger au unafanya vlogs?
Hapo kwenye kusema ukweli mzee umetudanganya nawewe hahaha,gwajiboy nimuongo balaa
Kwakweli bora gwajima awe mbunge wa kawe tu cz tumemchoka halima mdee kila siku yeye ni kesi mahakamani tuuuuu sasa mbunge gani hana anachokifanya zaidi ya makesi kesi kila siku akaaa mie kura yangu nampa gwajima bn
Jambaz 2
2020 October 28 ✔✔✔
Haya
Sasa hiyo ndo shida ya kuleta chaguo la mkubwa badala ya chaguo la wananchi.
Alieshinda kwa uhitaji wa wananchi ni mwingine alieletwa ni mwingine hapo sijui huwa ni demokrasia ipi inayotumikaga
Ni kweli kawe imelala barabara za mitaa mbaya yaani pako ovyo sana
GWAJIMA ATAISHIA PABAYA HATAPATA HATUMPI TUMUHUZUNISHA NDANI YA HIZI WIKI MBILI ZILIZOBAKI ATAISOMA NAMBA, MDEE OYEEE
Uyo gwajima takataka uyo
Gwajima ananyoosha mikono🔥🔥
Gwajima mwenyewe msenge anafirwa na makufuli
Kumbe mange kimambi anaongeaga ukwel afu uyuu gwajima alisemaga hataki ubunge Wala urais ni kujidhalilisha pia uyu magu kasema jimbo la kawe limelala Kuna jamaaa uku anasemaga maendeleo hayana Chama cjui mkweli Nan
To hell with this party
Gwajima hana issue aisee
Hawezi kushindana wakati amemshinda kwa kura au atashindana vipi
Ccm sera zao zote ni matope matupu
Anaefanya miradi ya maendeleo kwenye nchi sio mbunge ni Serekali
inayokusanya kodi. Watanzania lazima muwe waelewa. Tatizo la CCM tangia
waingie madarakani walitangaza kuwa hawatapeleka miradi ya maendeleo kwa
wapinzani na hata hotuba zao za Kampeni wanasema hivyo. Watu wa aina
hii tusiwakubali maana wanagawa Watanzania. Kama unakusanya kodi kwa
Watanzania wote bila kujali vyama kwa nini uwe na mtoto wa tumboni na
mgongoni. CCM sio wa kuwakabidhi nchi maana kuna nini au kuna siri gani
wanataka kuifanya. Mwenyekiti wa kijiji CCM, Diwani CCM, Katibu Kata
CCM, Mbunge CCM,Mkurugenzi awe CCM. Kwa akili finyu tu kuna hila
inatengenezwa na msishangae Tanzania kuwa koloni la CCM maana
wanapokezana vijiti katika uongozi wao. Mtu anaishi Bara inakuwaje
apelekwe Zanzibar kugombea Urais tena kanchi kadogo kenye watu 1.5m
uchaguzi siku mbili. Mimi sikai Kawe lakini ningekuwa naishi pale
ningempa kura Halima Mdee kukwepa kutengeneza Taifa la watu
wanaodharaulika. Hivi mtu mwenye akili timamu unapangiwa mpaka mda kwa
kwenda choo.
Kweli watanzania tunapoelekea pabaya,
CHAGUA JPM 2020-2025 Tunaleta fly over zingine kwenye maeneo yafuatayo:-
■Chang'ombe-mataa
■Kamata-mataa
■Magomeni-mataa
■Mwenge-mataa
■Tabata
■Fire-magomeni
■Morocco
■Makutano ya barabara ya alhassan mwinyi na united nation
■Makutano ya alhassan mwinyi na kinondoni
Ref:Ukurasa WA 76 ilani ya uchaguzi ya CCM 2020
Mimi wakijijini sijaelewa kitu.
Fly over ya mama yako
zitanisaidia nini mm wa mkoanii..barabara sio ombi ni lazima zijengwe
@@timothmziray4709 soma kwenye ilani umeorodhesha miradi mbali mbali kila mkoa una miradi yake inayotekelezwa hapo nimeongelea mkoa nao tokea mm ukipata muda na ww kapitie uone miradi iliyopangwa kutekelezwa kwenye mkoa wako sio unakuja na mentality yakupinga pinga tu boss ww ni raia na naamini unajielewa na unajua haki zako na wajibu wako kwa taifa na una uhuru wa kuchagua na kuamua nani akuongoze sio lazma CCM niliyo itaja hapo kama unaona hakiko kwenye misimamo yako chagua chama chako unachoona kitakuletea hayo maendeleo
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
HIZO AKILI ZAKO ZAKUSHIKIWA HUYO ALOKUSHIA AKICHOKA MIKONO UTA-RUN MENTAL, HUJITAMBUI HALAFU HUJUI HATA KATIBA INASEMAJE ATAWALE MILELE ILI IWEJE, UKIJATAMBUA UKANUSHE USEMI WAKO
Huruma duu askofu kuku
Gwaji midomo Kama amekula tapeli ilo piga supana
Tapeli mkubwa kabisa gwajima
Mabadiliko anza kwako mkuu
Gwajima nimkweli Yani wewe nimweee
Mmmh mchungaji umekonda ghafla 😂😂😂we subiri sadaka tu
Umeona eeeh 🤣🤣
Otea pole pole ameenda kumnong'oneza nn gwajima?
Nakuomba ujiombee mwenyewe huyo bishopu hafai kuwa mbunge hatumpi kula
uyoo mla kondoo
Hupati ngooo
Waislamu dini ya mashetani huyu ni msema kweli eti
Itv
Nani atampa kula uyo mpuuzi kabisa
Gwajima ni muongo alisema ubunge na urais ni vyeo vidogo sana hawez kugombea,kweli iko wapi mheshimiwa ?
Siasa hizo watu wanasemaga nimetendwa sioi au siolewi Tena lkn hata siku aipiti anasema huyu was mwisho
Uongozi unaombwa uongoze sio ujipeleke kizuri chajiuza
Temkeza matako
Ya kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.
Mdee ndio Kiboko ya maccm kawe
Kapata kiboko yake kawe
Mmesha jikaanga Kawe mtapoteza tena kama ilivyo kawaida
Makufuli anamfira Gwajima mara kwa mara ndiyo maana anamfanyia kampeni wanafirana hao wawili
SIO kweli...upuuzi mtupu
KUBWA JINGA WW HUNA SHUKURANI MPINGA MAENDELEO.MITUC YOTE YA NN?MDOMO KAMA KUMA IMEZUNGUKWA NA MAVUZI HUNA WAZEE KWENU? KWAHIYO WW UNAWEZA KUMFIRA BABA YAKO.JIHESHIMU.MTUMZIMA HOVYO.
@@hajjighanji5667 😁😁😁
Kashaacha kuuza unga ???!!!
Gwajima hatumpi...hafai .....
Ccm mnajua kuchagua wala kondooo hahahahha
Ccm kiboko yao
Hamna kitu hapo usanii mtupu
Mzee huyo mchungaji ni msanii alisema kazi ya ubunge au uwaziri atajidhalilisha sio saizi yake angalia asije akakutia aibu ni sawa na mtu ukidhamini maasai, atakuachia shuka mzee🤪🤪
Kawe ni Mdee tu gwajima akagwaji na kondoo wake
Mbunge mtarajiwa