Oya oya oya big up broo ubarikiwesana mtumishi wa bwana kwa kutuletea vitu hivyo. Umenikumbusha mbali kweli. Hizi zaitwa zilizo vuma na bado zavuma na zitavuma. Unajua vitu vizuri huwa kwa kawaida havifichiki. Mimi napenda sana mziki wako unajenga unainua unabariki. Endelea broo endelea usirudi nyuma. Mungu akutie nguvu akupe hekima na marifa uzidi kutunga nyimbo za kumsifu. Watubariki sana.❤❤❤ 😂😂😂
Bado hazijakamilika hizi nyimbo tupe mkaza lutu ,dzaenda kesi na staluu bado ziko nyingi hujatuekea hebu achilia vitu❤
My favorite songs,Ubarike sana man of God.
Amen 🙏
Nimetafuta sana nyimbo zako bro. Hongera 🎉
Asante
Oya oya oya big up broo ubarikiwesana mtumishi wa bwana kwa kutuletea vitu hivyo. Umenikumbusha mbali kweli. Hizi zaitwa zilizo vuma na bado zavuma na zitavuma. Unajua vitu vizuri huwa kwa kawaida havifichiki. Mimi napenda sana mziki wako unajenga unainua unabariki. Endelea broo endelea usirudi nyuma. Mungu akutie nguvu akupe hekima na marifa uzidi kutunga nyimbo za kumsifu. Watubariki sana.❤❤❤
😂😂😂
Asante sana
MkazaLUTU ifike
Itafika kwa nguvu za Mungu 🙏