WAJIBU WA MWANAMKE KWA MUME WAKE // BI DEBORAH URIO DAY 17
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Karibu katika mkutano huu na mfululizo wa masomo mbalimbali kwa ajili ya watoto, afya ya akili (kimwili na kiroho), malezi na mahusiano pamoja na mafundisho makuu kutoka katika Biblia Pekee yenye ujumbe mkuu usemao #yatoshajangwani. Tutakuwa mbashara kuanzia 11 mei hadi 1 juni 2024, kila siku kuanzia saa 11:00-2:00 usiku.
#pizzoonlinetv #atapekahamanetevent2024 #yatoshajangwani #sdachurch #sdasermon #mahusiano #sda #family #live #livestream #livestreaming
Karibu sana.
Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
Ubarikiwe. Sana. Mtumishi. Wa. Mungu. Kwa. Mafundisho. Mazuri. Kwa. Kuliponya. Kanisa
Aminaaaa
For me bi Deborah Urio is a best❤
And she is a blessing to many
Asante kutufungua masikio mtumishi wa Mungu.
Mungu atukuzwe sana
Ubarikiwe
Amina
Barikiwa sana mama urio
Amina
Ndio mama endelea kutupa vitu wanawake wa kisasa hawatutii kabisa
Mungu atusaidie kwakweli
Na ninyi hamtupendi vilevile
Kumekucha 🤗😁
@emmadora7848 kumekucha kumekucha 🤗
@@pizzoonlinetv ndio hawatupendi ,watupende waone kama hatuwatii na kuwaheshimu