mlikurupuka sana.!! tatizo imani zimekuwa haba.!! nyinyi ndio wakuowaongoza viongozi wa kiserekali ktk mambo ya ki imani lkn leo imani zenu zimekuwa chini mnashindwa hata na viongozi wa serekali.!! mtihani huu.!!
A.aleykum enyi ndugu zangu waislam. Hivi huyu kiongonzi anamfuata Allah au anamfuata rais mm nashindwa kuelewa kwani Allah ameisha elekeza Kwan uislam umekamilika
Kilichosabibisha ufungwe msikiti MH RAISI WETU ANAIMANI KUBWA KULIKO HUYA JAMAAA HATUFAI KABISA RAISI MGUFULI NI KIONGOZI AMBAE KWA UMAKINI WAKE HAIJAWAHI TOKEA
Alla atuhifadhi na janga hili
Alhamdulillah
'Hatuwez kufunga nyumba za ibada' while ulifunga🙄Alhamdulillah msikiti umefunguliwa....TAKBIRRR
Huyu Shekhe Ni Bendera Mnashindwa Na Watu Ambao Si Waslam Wanajua Umuhimu Wa Ibada Yeye Mwenye Imani Yake Anapelekeshwa
Tatizoo Viongozi wa Bakwata mnakurupuka sana sasa aibu inawakuta, endeleeni kuendeshwa hisia zenu...
mlikurupuka sana.!! tatizo imani zimekuwa haba.!! nyinyi ndio wakuowaongoza viongozi wa kiserekali ktk mambo ya ki imani lkn leo imani zenu zimekuwa chini mnashindwa hata na viongozi wa serekali.!! mtihani huu.!!
Tatizo mumeiweka dunia mbele
Duh hataree muislamu hukaa kimya tuu kutokana na ulimwengu wa sasa ulivo ila mtihani sheikh, makufuli hem islimu..
Mpaka Raisi aseme, napata mashaka na masheikh Kama hawa
Viongozi wa dini mlikurupuka sana (nadhani mnashindwa kumwelewa mh rais wetu)
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrr
Mashekhe dunia hao wanataftasifa kwa raisi tokeni
alhamdu lilahi
We mnafiki sana ila Allah yupo
Yaani kuna mashekhe wanataka sifa tu kwakua juzi magufuli aliwapakazia ndio haoo wanajitoa kimasomaso
Vipi Kiblatein Ambao Wameufunga Viongozi Wa Msikiti?Wameufunga Bila Hata Kufungiwa Bali Ni Maamuzi Ya Uongozi Wa Msikiti
ALHAMDULILLAH BADO MSIKITI WA QIBLATAIN NAPIA IFUNGULIWE
Kiblatein ule uongozi wa msikiti umeufunga ule msikiti sijui kwasababu gani
Dongo La Mhe Rais Limewaingia Hahahha Maguful Noma Sana
Wekeni siasa mbele .. nyie mnafanya hili jambo ni dogo .. الله يستر عليكم
Huyu nina alie mpa ushekhe wa mkoa yan hapo mwanzo ulisema vip huu unafiki
A.aleykum enyi ndugu zangu waislam. Hivi huyu kiongonzi anamfuata Allah au anamfuata rais mm nashindwa kuelewa kwani Allah ameisha elekeza Kwan uislam umekamilika
sichangii chochote maana ntakamatwa
Ally 😁😁😁😁😁😁😁😁
Nami sisemi kitu mana mhhh
Ally Ndambwe 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kilichosabibisha ufungwe msikiti MH RAISI WETU ANAIMANI KUBWA KULIKO HUYA JAMAAA HATUFAI KABISA RAISI MGUFULI NI KIONGOZI AMBAE KWA UMAKINI WAKE HAIJAWAHI TOKEA
Unavyoona ww, kamtowa babu seya kawaacha mashekh wetu wa muamsho
th-cam.com/video/wV7-SfjOZl4/w-d-xo.html