Team IYAMBA LYETU TV, tunawasalimu nyote. Kwa kweli tunawapa mkono wapole kwa ndugu yetu WILLIAMS UNDJI BATANGALWA kwa msiba mkubwa huo wa kumpoteza mama mzaazi. Kristu mfariji mwema kila wakati. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa amani 💔 😢😢. Je mazishi imefanyika? Tupo pamoja kwa shida hilo. Mungu awajalie nguvu.
Mbona Kivu kaskazini Wazalendo wanapigana bega kwa bega na FARDC, ijapokuwa kuna mazaifu fulani. Sasa kwanini ndugu zangu wa Fizi wanapenda kujitenga n'a FARDC nakufikiri Sawa kazi yao nikulinda Fizi pahali ya Congo. Wajikaze kujifunguwa n'a kuhusiana n'a Wazalendo wengine n'a FARDC. Kwa hiyo njia ndipo watasaidia Raisi kuijenga inchi. Huo mugawanyiko ni uzaifu mkubwa sana na haufai kwa inchi Yetu.
Team IYAMBA LYETU TV, tunawasalimu nyote. Kwa kweli tunawapa mkono wapole kwa ndugu yetu WILLIAMS UNDJI BATANGALWA kwa msiba mkubwa huo wa kumpoteza mama mzaazi. Kristu mfariji mwema kila wakati. Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Apumzike kwa amani 💔 😢😢. Je mazishi imefanyika? Tupo pamoja kwa shida hilo. Mungu awajalie nguvu.
Mzee wa mbici alisha enda wapi sikuminzi hatumusikiye sauti haiko bien svp
Wakongo ni watu wasio na uzarendo kwa nchi ni wasaliti sana🇹🇿
Wamfungue yéyé ngoma nzito, hasiye ndunguze apana
Sauti sio njuri svp
Weye njo auna akili weye siyo congolais
Inchi iko mu desordre yakushindikana Mwenyezi Mungu njo utusaidie, Congo hatuna gouvernement
tupe abari mbichi baba
Mbona Kivu kaskazini Wazalendo wanapigana bega kwa bega na FARDC, ijapokuwa kuna mazaifu fulani. Sasa kwanini ndugu zangu wa Fizi wanapenda kujitenga n'a FARDC nakufikiri Sawa kazi yao nikulinda Fizi pahali ya Congo. Wajikaze kujifunguwa n'a kuhusiana n'a Wazalendo wengine n'a FARDC. Kwa hiyo njia ndipo watasaidia Raisi kuijenga inchi. Huo mugawanyiko ni uzaifu mkubwa sana na haufai kwa inchi Yetu.