Mmeingia choo Cha like mmeshikwa pabaya..ttzo lenu Khalid kasida zenu sio za ushindani nyepesi mno ni za kujibembeleza wenyewe na boss wenu Basi nyinyi hamna kasida za kazi.unakaa na mtu mzito unapiga kasida Kama upo harusini..hii aibu kwa swifu..
Amjui tuin watu weng wa umu tuin mbili tofaut lakin khalid kaswid inaeleweka kila mtu anawez kuimb mkubw mtoto mzee khalid wapo wizur islah zama zao zime isha wat wa visiwan kiukweli wanajua bara aliyekuw anatu okoa ni islaah lakin sasa hawana jambo hata ukimleta mtu yoyote kutoka bara hawez akatoka hkalid anauwezo mkubwa sana
Khalid amewaka kipindi kizr tu madrasa nyingi bara ziko hovyo Kwan wenzie kina sifa ya zenji muumin dakshi Zainu na nyengine zilikuja bara wakakuta watu wako sawa
Na ndo Mana kila siku Hassan nenga anasema nyinyi bado kidufu mnapenda tu ukubwa kumbe mwalimu kasema kweli .kupigwa uwanja wa nyumbani aibu aisee.watafuteni wataamu waliinue darasa ilo kwa Hali iyo mtagongwa Sana mashekhe Sana,,islaba ao so watu wazuli kwenye gemu ya watu wawili.
Acha unafiki wa kutaka kugombanisha watu kwa kutaja jina la mtu ikiwa unajua unayemtaja ni kiongozi wa swifa je lengo lako kuonekana mjuzi wa habari au?
Asalam aleykum kihaki khalid amepigwa bila ubishi naomba dufu na qaswida sasa katika karne hii limebadilika sana kwa ushauri khalid madilisheni mfumo lasivyo mtaona watu wanawapinga hali ukweli unaonekana labda niseme hao islaa amuwawezi haswa kwenye jamvi la piga nikupige .BADILIKA
Islah mtu kazi hapotezi majamvi Ayo sisi swifa tuna muelewa vizuri tu..kasida y kwanza tu islaha kamaliza shughuli..mbwana kaeni chini badilikeni acheni mziki uo baridi fanyeni kazi changamkeni la sivyo mtapigwa Sana mashekhe dufu siku hizi limebadilika sio ilo la kwenu la kizamani.
Khalid mmetutia aibu swifa.mnataka tu ukubwa lkn kiduhu bado Sana under ground ..ushauli wetu shekh omari mmadi tafuta wataalamu wakutungie kasida na miziki iyo twini yenu ya ovyo Sana kasida slow na miziki imepoa Sana Haina sterio,mmetuvua nguo mabwana sisi tulimtuma mtu wetu kuja kuangalia Ayo maagano lkn pia tumeona kwenye midia mmefeli ndugu zetu badilikeni changamkeni.
Duh?? Hi comment Mimi nimetuma kitambo Sana bado ndugu zangu mnatoa povu.kumaanisha nyinyi wabovu Mana mngelikua mnajua walau kidogo tu Basi msingeliongea kitu,,kubalini tu islaha kakunyambeni tu na mkubali tu kua nyinyi khalidi mziki balidi bado Sana bado.jipeni matumaini ivo ivo kma na nyinyi mnajua lkn ukweli kwa uko kwenu zanzibar madrasa zinazojua mbili tu kwa tatu safina nnajaah.zafina pwida na ghazali ya kidingi Basi mliobaki wabahatishaji tu..toeni povu lkn ukweli ndio uo.msiforce ukubwa ndugu wakati uwezo mdogo.
MAMBO KUMI KATIKA MTANANGE HUU. 1.Kwanza maagano yalikua mazuri pongezi kwa khalid kuandaa mtanange huu. 2.Farhan anaimba sana na anasikika anachokiimba,islaah tanzania wana usasa katika qaswida kelele zipungue. 3.Khalid kapiga dufu zuri,islaah wana vionjo vingi vya kimjinimjini,kwa waungwana wanaweza kukataa fujo hizo. 4.Kuchanganya mwanamke na wanaume kuimba karibu karibu tunawapa mawahabi point ya kuzungumza. 5.Islah wamecheza sana kuliko khalid. 6.Tupunguze kuchanganya vionjo vya nje vya vichekesho vinaharibu qaswida (usiseme hivyooooo) 7.Qaswida zetu zitoe funzo au ujumbe makhsusi. 8.Uchezaji wa fujo haupendezi. 9.Makofi si katika mila ya uislamu,labda mtuambie sasa tunapiga qaswida kwaya. 10.KAMA MMEKWAZIKA NISAMEHENI , UKAMILIFU NI WA ALLAH
Islaah🔥🔥
Majungu yametawala sana pigeni dufu la heshma bwana
bin walid🔥🔥
Aufderhar Highway
Mmeingia choo Cha like mmeshikwa pabaya..ttzo lenu Khalid kasida zenu sio za ushindani nyepesi mno ni za kujibembeleza wenyewe na boss wenu Basi nyinyi hamna kasida za kazi.unakaa na mtu mzito unapiga kasida Kama upo harusini..hii aibu kwa swifu..
Islah amna jambo
Amjui tuin watu weng wa umu tuin mbili tofaut lakin khalid kaswid inaeleweka kila mtu anawez kuimb mkubw mtoto mzee khalid wapo wizur islah zama zao zime isha wat wa visiwan kiukweli wanajua bara aliyekuw anatu okoa ni islaah lakin sasa hawana jambo hata ukimleta mtu yoyote kutoka bara hawez akatoka hkalid anauwezo mkubwa sana
Khalid amewaka kipindi kizr tu madrasa nyingi bara ziko hovyo
Kwan wenzie kina sifa ya zenji muumin dakshi
Zainu na nyengine zilikuja bara wakakuta watu wako sawa
Na ndo Mana kila siku Hassan nenga anasema nyinyi bado kidufu mnapenda tu ukubwa kumbe mwalimu kasema kweli .kupigwa uwanja wa nyumbani aibu aisee.watafuteni wataamu waliinue darasa ilo kwa Hali iyo mtagongwa Sana mashekhe Sana,,islaba ao so watu wazuli kwenye gemu ya watu wawili.
Acha unafiki wa kutaka kugombanisha watu kwa kutaja jina la mtu ikiwa unajua unayemtaja ni kiongozi wa swifa je lengo lako kuonekana mjuzi wa habari au?
Nawapenda Khalid hadi naumwa hawajawahi kukosea,nawaambie kina fulan kumpiga chura teke haumkomoi unamzidishia mwendo tu
Asalam aleykum kihaki khalid amepigwa bila ubishi naomba dufu na qaswida sasa katika karne hii limebadilika sana kwa ushauri khalid madilisheni mfumo lasivyo mtaona watu wanawapinga hali ukweli unaonekana labda niseme hao islaa amuwawezi haswa kwenye jamvi la piga nikupige .BADILIKA
Ama akitaka akae nae sawa asimame kwenye mstari wake asitake kushambulia sana wakat tune yake ni ya chini
hii iludiwe dar es salaam
Muhimu.... Labda khalidi atarekebisha makosa yake
Islaa chali pwapwaaaa
Katika watu hawaikubali islaha mi mmoja wapo... Ila hii jamvi islaha hajafa hata kidogo... Ila ni maono yangu tu
Tutajipanga tena tem kha
Khalid hamn kitu kabisa Islaah ni moto wa kuotea mbali
quality mbovu kabisa
Kazi iyo mjinga we
Islaah 💥 Wamoto . Khalid mnadufu la 2010
Khaleed amuweziii islaaaah
Hatar
Halidi moto
Ndugu zetu Khalid hili halina ubishi mmegongwa na islaha Safi kajifunzeni Tena.
HII NI NGOMA KAMA ILIVYO TARAB
Khalid shughuli Yao islah kakimbia aliona ataaibika huku bara
Khalidi kapigwa mpaka kama ngoma unachezeaa islah weee
Ixlah moto
Jamni ISLAAH wamoto nyie Achen majungu
Wote humu mnaropoka hamjui dufu ni nini
Islah mtu kazi hapotezi majamvi Ayo sisi swifa tuna muelewa vizuri tu..kasida y kwanza tu islaha kamaliza shughuli..mbwana kaeni chini badilikeni acheni mziki uo baridi fanyeni kazi changamkeni la sivyo mtapigwa Sana mashekhe dufu siku hizi limebadilika sio ilo la kwenu la kizamani.
Kama demu
Halid mot ww
Khalid mmetutia aibu swifa.mnataka tu ukubwa lkn kiduhu bado Sana under ground ..ushauli wetu shekh omari mmadi tafuta wataalamu wakutungie kasida na miziki iyo twini yenu ya ovyo Sana kasida slow na miziki imepoa Sana Haina sterio,mmetuvua nguo mabwana sisi tulimtuma mtu wetu kuja kuangalia Ayo maagano lkn pia tumeona kwenye midia mmefeli ndugu zetu badilikeni changamkeni.
Mfitinishaji... Ww sio wa swifa mnafik
Ujui dufu we darasa gan swifa nA KHALID TUIN ZINA FANANA
Ujui dufu nahis ujawa kuwaona live hawa watu yani swifa labda wawe mara 10 NDO wata weza at kupumua😅
Duh?? Hi comment Mimi nimetuma kitambo Sana bado ndugu zangu mnatoa povu.kumaanisha nyinyi wabovu Mana mngelikua mnajua walau kidogo tu Basi msingeliongea kitu,,kubalini tu islaha kakunyambeni tu na mkubali tu kua nyinyi khalidi mziki balidi bado Sana bado.jipeni matumaini ivo ivo kma na nyinyi mnajua lkn ukweli kwa uko kwenu zanzibar madrasa zinazojua mbili tu kwa tatu safina nnajaah.zafina pwida na ghazali ya kidingi Basi mliobaki wabahatishaji tu..toeni povu lkn ukweli ndio uo.msiforce ukubwa ndugu wakati uwezo mdogo.
MAMBO KUMI KATIKA MTANANGE HUU.
1.Kwanza maagano yalikua mazuri pongezi kwa khalid kuandaa mtanange huu.
2.Farhan anaimba sana na anasikika anachokiimba,islaah tanzania wana usasa katika qaswida kelele zipungue.
3.Khalid kapiga dufu zuri,islaah wana vionjo vingi vya kimjinimjini,kwa waungwana wanaweza kukataa fujo hizo.
4.Kuchanganya mwanamke na wanaume kuimba karibu karibu tunawapa mawahabi point ya kuzungumza.
5.Islah wamecheza sana kuliko khalid.
6.Tupunguze kuchanganya vionjo vya nje vya vichekesho vinaharibu qaswida (usiseme hivyooooo)
7.Qaswida zetu zitoe funzo au ujumbe makhsusi.
8.Uchezaji wa fujo haupendezi.
9.Makofi si katika mila ya uislamu,labda mtuambie sasa tunapiga qaswida kwaya.
10.KAMA MMEKWAZIKA NISAMEHENI , UKAMILIFU NI WA ALLAH
We jamaaa nimtu San umeongea point kubwa san kk hakun kitu ulichokosea kbs nakup %100 kwaulichooongea
KWANI FIKRA ZENU ICHO MNACHOKIFANYA KIMO KATIKA DINI JIPE MOYO IZO NI NGOMA TU KAMA NGOMA ZENGINE KATIKA UISLAMU HAKUNA MAMBO HAYA
Halid hii mume pigwa kamtudanganyi ata kidog
Khalid hamnakitu
Ujui dufu