Pls bring Q chief back! I grew up listening to him. He is an awesome musician pls bring him back! Much respect to Harmonize for doing this! Love from kenya!
Harmo may God bless you. Happy are the pure in heart for they shall see God. Wish him all the best. May God remember him at the moment let QChief have what he may desire in life. Good luck and may God bless his family. Thanks Harmonize for your support
safi Sanaa kaka huo ni mgodi unaotembea mchukue chillah kaka Mungu atakulipa ila usisahau na watoto yatima wajane walemavu mwenyezi Mungu akuzidishie kila la kheri INSHA ALLAH
Hamo kwenye mambo ya ni dhamu kidogo hapo sijakupata vizuri mana ungezingatia maadili ya dini usingevaa heleni mkuu japo mimi mkristo uisilam haupo hivyo, pia kumpa mtu kitu nakumpa kitu mbele ya watu hajakaa njema sana. Next time fanya kimya kimya na Mungu atakujazi#GOD IS ONE#praise the lord
Mkuu hakuna mtu aliemlalamikia mtu hebu isome vizuri post. Kutoa kila mtu anajia zake ila kutoa kwa kiimani si lazima sana kila mtu ajue. Mimi mwenyewe nilishasaidiwa sana hata wewe ulishasaidiwa sana ila walikutangaza Kama wamekupa sio vibaya ila sio nzuri sana kiimani lakini asante
God bless you harmonise Qchief was one of my best Tz artists Mungu atazidi kuinua ukiinua wenzako n tell him this is a second chance God has given him he should be careful n take note of where he went wrong
Achana kuushirikisha uislam na upuuzi wako ety mtto wa kiislam ni uislam upi unamruhusu kijana wakiislam awe na muonekano wakishenzi km wako..umevaa hereni umebadilisha muonekano wa nyewe..mambo yote unayo jinasbisha nao hayaendani na dini yetu tukufu ya kiislam..tafadhali km umeamua kufanya mambo yenu yakijinga usi uhusishe na uislam kabsa!!..Mungu hadhihakiwi hata cku moja! Badilika bwana mdogo
Kaz yake ndo inamtaka awe na muonekano huo kwanza bora hta na yeye anamkumbuka mungu hta kama ana fanya mambo ya ajabu ko usifikie hatua ya kumuona mwenzako hafai ila ww ndo unafaa sidhan kama dini yako tukufu inafundisha hvo na kama inakufundisha hvo basi hyo sio dini ya kimungu bali ni dini ya kibaguzi badiliken
Big up Diamond amewainua wasanii kama Harmoniza,lava,mbosso ili nao wakifanikiwa wainue wengine anasema.kila siku napenda Harmo anavyofanya amefuata nyayo za boss wake
Hio ngoma ilootengenezwa na S2kizzy itakua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila Hermo unazingua...... wewe mtaani kuna balaa zito la Wasafi Festival wewe unatuletea Q-Chief. MONDI kasema alitaka atambulishe wasanii ways lakini kutokana na Luke balaa la Wasabi festival atasubiri mpaka iishe. Wewe unamrudisha Legend. Acha tusubiri matokeo
Pamoja na mambo yote, nakukubaligi kwenye speech na hua unajua kuendana mazingira, mada pamoja na wahusika au hadhira unayokuanayo kwa wakati huo, big up!
Harmonize roho safi sana ❤I love him very much anakumbuka na kuappreciate kazi yamalegends konde boy 4 lifee!!!!! Endelea nahio roho God bless
Pls bring Q chief back! I grew up listening to him. He is an awesome musician pls bring him back! Much respect to Harmonize for doing this! Love from kenya!
Ye
Shayona Patel ain’t nobody can bring his ass up except himself.
big up harmonize uendelee na moyo huo huo
upo vizuri brother sema kwenye shukrani za kwanza zingeenda kwa mwenye Mungu ndo muweza wa yote.
Mbona kaanza hivyo rudia kusukiliza tena
Big up sana kwa Harmonize Tuzidi kumsupport Q chief nimefurahi sanaa
Harmo may God bless you. Happy are the pure in heart for they shall see God. Wish him all the best. May God remember him at the moment let QChief have what he may desire in life. Good luck and may God bless his family. Thanks Harmonize for your support
safi Sanaa kaka huo ni mgodi unaotembea mchukue chillah kaka Mungu atakulipa ila usisahau na watoto yatima wajane walemavu mwenyezi Mungu akuzidishie kila la kheri INSHA ALLAH
Nakukubali sana Harmonize ,nakuombea ufike mbali sana .
Hamo kwenye mambo ya ni dhamu kidogo hapo sijakupata vizuri mana ungezingatia maadili ya dini usingevaa heleni mkuu japo mimi mkristo uisilam haupo hivyo, pia kumpa mtu kitu nakumpa kitu mbele ya watu hajakaa njema sana. Next time fanya kimya kimya na Mungu atakujazi#GOD IS ONE#praise the lord
Msanii nikioo cha jamii ivyo nisahihi kwa mazingira yake ya kimziki.iwe funzo kwa wangine
Kwa mtu anayelewa "Public relations " hiyo iko poa kibiashara, hata marehemu Mengi amefanya sana
Nikweli ndugu unapotoa mkono wa kulia wa kushoto usijue
Mbona wabongo hamkosi lawama ?? Kwani kumpa mtu kitu mbele ya Ni dhambi? Mbona yesu pia aliponya watu hadharani!! Hii Ni fursa kwa wengine kuiga
Mkuu hakuna mtu aliemlalamikia mtu hebu isome vizuri post. Kutoa kila mtu anajia zake ila kutoa kwa kiimani si lazima sana kila mtu ajue. Mimi mwenyewe nilishasaidiwa sana hata wewe ulishasaidiwa sana ila walikutangaza Kama wamekupa sio vibaya ila sio nzuri sana kiimani lakini asante
Big up Harmonize Umebalikiwa busala Mungu zaidi kukuinua Q chief kila MTU Mungu amempa wakati wake acha kulia wakati wako upo Mungu amekuandalia
Big up harmonize ..if mnawatambua kisanii wasanii wa bongo flava Tia like
Allah barik rajab mungu akuzidishie moyo huwoo huwoo . AMIN
Harmonize is a gentleman. 👍👍👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥. Nampenda sana. Mungu amubariki. Twangoja harusi yake na Sarah ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
wcb mnastahili sifa kubwa sana jamani its touching lakini maisha lazima yaendelee support good music return of q-chilla
Mashaallah hormonize mungu azidi kukuongezea barka tele🙏🙏
Harmonize unaakili sana na moyo Mashallah mungu akuzidishie inshallah 🙏🏽
Safi sana kijana Harmonize
Waliyoyatabili chari yote
Jina la "Mungu" huanzwa kuandikwa kwa herufi kubwa.
Hana Akili ya dini ana Akili ya shetani ajichora tattoo ati mimi kijana wakislamu
Thanks Harmonize please bring my favorite artist back in stage
Kama unamkubali Harmonize gonga Like.
Kabisaaaa
Harmonize Allah azidi kukubariki
Chaparaba, pasua mawimbi Harmonize,, walauskatishwe tamaa, cz,, wanaokupondaleo ndowadau wakesho,,, hats Diamond alitokaivoivo kwa Bobjunio,, ndomaana WCB ikapatkana👏👏👏👏🙌🙌🙌 ongezabidii ili nawe usaidie nawengine
Daaah ndo maana nkuelewa sanaa "konde boy🙏🏻" Allah akulinde inshaallah🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Harmonize mungu akubariki kwa kila jambo lako,huo ndiyo umoja unaotakiwa kwa sisi watanzania
Ongera sana harmo kwa moyo huo utafika mbali saaana mungu yupo pmj nawe
Umeona heeee ongera sana hamonaize
Mungu hako pamoja na wajinga so wacha kulitumia jina la Mungu...isipo stahili
Mtoto wa kiislamu umevaa hereni🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Na umepaka mpaka wanja daaa🙌🏿🙌🏿🙌🏿 na nywele full kubadili rangi kama mrembo,,,
Sunaaa
God bless you harmonise Qchief was one of my best Tz artists Mungu atazidi kuinua ukiinua wenzako n tell him this is a second chance God has given him he should be careful n take note of where he went wrong
ninyi waislam mnaomponda mwenzenu muislam dhambi ngap mnafany au mmeona heren za jamaaa tu,!!! kila goti kwake litapigwa ktk jina la yesu semen Amina♡
Fala ww
hussein Fatime boya wewe hujielewi
@@costantinejoseph4907 asiejielewa ni ww fala mkubwa ww
God bless you Hamonize....Konde Boooooy!
Ubarikiwe sana Harmonize#
Kwa umeskia Harmonize akimtaja Alikiba nipe likes za kutosha
JOSEPH RYOBA mbona ametaja wengi tu kwa nn umtaje huyo?
Kweny msiba wa Masogange Harmonize alikataa kumsalimia Kiba na huw hamzungumzii sana ko nashangaa kamtaja Leo kama ishara ya kumuelewaaa
Humble Harmo
we nawe waambiwa uchangie q chilla, unaanza kuomba like, utazila🤨
@@husseinmunga9591 😂😂😂
very nice
Mm nimekuelewa. Big up
Mungu akublik sana sichok kugufatiriy kiukwer unaupend tena hujion kama wengin
Q chief, Alikiba na Diamond Mungu awabariki Sanaaaaaa
Achana kuushirikisha uislam na upuuzi wako ety mtto wa kiislam ni uislam upi unamruhusu kijana wakiislam awe na muonekano wakishenzi km wako..umevaa hereni umebadilisha muonekano wa nyewe..mambo yote unayo jinasbisha nao hayaendani na dini yetu tukufu ya kiislam..tafadhali km umeamua kufanya mambo yenu yakijinga usi uhusishe na uislam kabsa!!..Mungu hadhihakiwi hata cku moja! Badilika bwana mdogo
Omary Iddy wewe unautakatifu gani acha roho mbaya wewe.
Kaz yake ndo inamtaka awe na muonekano huo kwanza bora hta na yeye anamkumbuka mungu hta kama ana fanya mambo ya ajabu ko usifikie hatua ya kumuona mwenzako hafai ila ww ndo unafaa sidhan kama dini yako tukufu inafundisha hvo na kama inakufundisha hvo basi hyo sio dini ya kimungu bali ni dini ya kibaguzi badiliken
Are you a God???,,je kama mungu kisha change sheria mbinguni we umejua???
Kweli kabisa .
Allah atuhidi kwa pamoja
Kuma wewe kafungue msikiti wako
Nice
Mungu awaongoze kwa kweli Uislamu ni kushikamana na kusaidiana kwa kila jambo
May God Bless you more with your family
🇰🇪 I love Qchilla..... Savimbi Bby. (Mboni) Miziki yako yenye Manufaa kwa jamii ipo top na itaendelea kua top milele💖💖💖💖💖
Konde boy nakubali sana daima nakuombea ufike mbali zaidi ya hapo ulipo
Hongera
dallan nakupenda official audio youtube ...show me love pliz..😢😢
Big up Diamond amewainua wasanii kama Harmoniza,lava,mbosso ili nao wakifanikiwa wainue wengine anasema.kila siku napenda Harmo anavyofanya amefuata nyayo za boss wake
jackline lyimo nic
jackline lyimo Hongera kwa moyo huo bro Harmo
Harmo vip mzee mbona "kwa namna moja ama nyingine" zimekua nying sana
Nini maana yake hiyo
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
safi sana kaka
Kama umeskia harmonize kataja Ali kiba gonga like plz
Hongera sana rajb mungu akupe moyo uwo uwo
hongera sana harmo nami pia nilikuwa moja Wa shabiki wale chilla yes back we miss you talent voice it's better to reply my comment
Chief is back God is awesome
Mashallah bro keep it up Allah Akuzidishie uwe hiyo hiyo
Mungu ni mwema kwa wema
good
Nakukubali harmonize a.k.a Mr. Kwa namna moja au nyingine.
Jazakallah kheiran Hamonize lakini hapo kwenye maadili ya kiislamu umenoa...hope umenielewa braza.
Mliokua mkiunda watu wakumuangu mondi sasa mondi kamtengeneza mwenye anaekubali like zimiminike waaaaaaasssssssssaaaaaaaaffffffiiiiiii
Hio ngoma ilootengenezwa na S2kizzy itakua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila Hermo unazingua...... wewe mtaani kuna balaa zito la Wasafi Festival wewe unatuletea Q-Chief. MONDI kasema alitaka atambulishe wasanii ways lakini kutokana na Luke balaa la Wasabi festival atasubiri mpaka iishe. Wewe unamrudisha Legend. Acha tusubiri matokeo
Mh
muziki kazi sio kazi muziki karibu qch wcb
Pamoja na mambo yote, nakukubaligi kwenye speech na hua unajua kuendana mazingira, mada pamoja na wahusika au hadhira unayokuanayo kwa wakati huo, big up!
Unachokifanya ni kitu cha maana sana, kwa moyo huo ulionao lazima utafika mbali sana, hongera, appreciation always pays
Manshallah
Big up sana konde boy endelea na moyo wa kusaidiana hivyo.
❤️ Unajua Sana brother konde G 💪💪
Amazing Sana
Hamonize upo vizuri sana.
Love u usijali mungu atakuwezesha kwa kilakitu
Umoja ni Nguvu🔥🔥🤝🎙️
Huyu Dogo Hataenda mbali.. Yaani kapata Baraka za wakubwa wake... The sky is the limit
"hatae" au ataenda😂😂
Kiswahili kigumu
Kama hujaona mick ya Wasafi TV ujue upande wa Wasafi Festival kuna Balaa Zitoh
Big Zhumbe huioni dizimonline..au hujui ya nani?😄
@@oscalaelias3114 Dizzim ni Wasafi TV??? Mbona Dizzim ilikua before coming of Wasafi TV?
Ipo angalia vizuri
Big Zhumbe ndo nashanga. kulikoni?
Umbea utakuumiza
Unarohonzuki mungu akubarik ishaallah
Seen
This is great brother Harmonize... stay blessed
Kumbe anawatoto wakubwa hivyo jamani mungu amjalie
Munaona wenzenu wanavaa vipuli nanyi munaingia akaah munakaa kama malimbukeni.. Hahaha haya gonga like kama unakubaliana namii 😀😀japo hata moja
mungu akawasimamie hakikaa nilimic uwepo wa qcheif
Waooo mungu atawasimamia pambana mzee
Pumbav unalia nini, umepoteza mwenyewe zar lishakuja tena jikaze sasa jikazeee
Muharam Haroub ana msongo wa mawazo 🤣
Muharam Haroub kabisaaa
Hongera kwa kuwkmbuka wakubwa wko
Safi sana Konde yur da best
Honqera hamo kwa kukumbuka fadhila za Q chief
Mungu akubariki harmonize kwa moyo huohuo nakukubali kinomaa
Daaa kazi unaipiga kweli mwana lakini sasa vipuli vakazi gani kaka toa vipuli bana
Harmonize mungu akubariki web kwa ujumla
Kwa namna moja au nyingne.... Nmemuona qchilla na harmonize...
Mungu azidi kukuinua
Hamornz
Kusaidiana mpaka kwa Press Confrece
Anapush nyimbo zinazotoka leo
Inaitwa Showbiz broo
hili sio jambo la kiki wala kujionyesha lengo niku inspire na wengine katika kusaidiana baina yq wasanii na watu wengine kwenye jamii
Lazima press maana ndio kazi zao... bila press atafanikiwa vipi
Gonga like kwao kma unawapenda
Hamo kwa kweli hata yale unafanya kwa wazazi wako ikla siku lazima uinuke kerp it up bro
Hivi kumbe hizi coment atazisoma harmo😂😂
Mlijaza mike mkajua anasepa wcb
Hakuna mic ya wasafi!!!
gonga like hap km unamkubali
Konde boy upo vizuri malanyingi nakufatilia kwe naona unandoto ya kuwasaidia watanzania wahali ya chini
harmonize utafika mbali sana
Ume ongea nae IZI RAIL?
i love u harmonize mungu akuzidishie una roh nzur sana
@@adamnssirisiri9338 hujui kuandika
Safi, good job lakini chila ebu uwe unajaribu kidogo kujikaza siyo kulialia mbele ya media we ni legend mzee
Safi sana kijana!
It's sound good......... That's really heart of you
Hamo uko Poa Sana God bls you
Good luck man
Mungu azidi kukubariki harmonize
Vua na Helen ET Kwa mtoto wakislam sivema kuongea ukiwa umevalia miwan hiyo michen namikufu mbona huvui ovyo kabisa
Hongera Harmonize.
Kweli kabasaa maashallah harmonize 💪💪👊
Kipala kaaa stafeli lililokosa vipele 😁
😂😂😂😂😂😂
😄😄😄😄😄😄😃
@Aneth Ndonde 😀😀😀 nimecheka ad siyo poa
Hahaha
Its tym 4 Harmonize to stand by his own
kazi nzuri kwa Upendo uliouonyesh
lkn kwan kuvaa helen ni maadili