Kwa nini habari ya maridhiano waulizwe CHADEMA tu hawatafuti maoni kutoka kwa viongozi wa CCM angalau tulinganishe wenyewe tupate ukweli. Naona wanahabari wa kizazi hiki ni makanjanja tu wasio na weredi!😊
Chadema ni chuo kikuu cha siasa Tanzania. Uki hitimu hapo ww ni mwanasiasa Bora kabisa . Hata walio Feli chadema wakaenda CCM , Leo ni mawaziri,naibu WAZIRI ,wakuu wa mikoa na wilaya .... Kwa kifupi, CHADEMA ndio chama bora cha siasa tanzania .
Heche ukimariza kuhojiwa na waandishi wa Habari naomba kuwasiriana naww mm ni mtanzania ni mzariwa wa hapa naomba mniongoze napenda niombe uraia wa nch za nje hapa bongo nimepachoka mafisadi wanatufanya watanzania tuishi maisha ya tabu kwenye nchi yetu mafisadi makubwa hawa
East africa yamekuwa manafiki sana hata kwa page yao ya twitwer wanaishambulia sana CDM wanazusha maungo yasiyokuwepo ni moja ya majitu yanayochangia kukandamiza wapinzani
Hongera kwa majibu mazuri yenyemantiki tena cdm wanajielewa sana,cdm ndiyo ukombozi wetu sisi watZ, sisiraia wanchihii tuungejuhudi zawapiganaji wenzetu wapendahaki,
Usicheke mwandishi wa habar kama ni uzuri unauona ww unaongelea nn kuhusu CCM kwamba wanauzuri furani kuhusu nini zungunzia miaka 60 ya Uhuru tuko wap mpaka sasa
Heche ni mwanasiasa mzuri sana na amewafunika waandishi wanafiki wa eastafrica radio
heche yuko vizuri sana
Kwa nini habari ya maridhiano waulizwe CHADEMA tu hawatafuti maoni kutoka kwa viongozi wa CCM angalau tulinganishe wenyewe tupate ukweli. Naona wanahabari wa kizazi hiki ni makanjanja tu wasio na weredi!😊
Chadema ni chuo kikuu cha siasa Tanzania. Uki hitimu hapo ww ni mwanasiasa Bora kabisa . Hata walio Feli chadema wakaenda CCM , Leo ni mawaziri,naibu WAZIRI ,wakuu wa mikoa na wilaya .... Kwa kifupi, CHADEMA ndio chama bora cha siasa tanzania .
Heche ukimariza kuhojiwa na waandishi wa Habari naomba kuwasiriana naww mm ni mtanzania ni mzariwa wa hapa naomba mniongoze napenda niombe uraia wa nch za nje hapa bongo nimepachoka mafisadi wanatufanya watanzania tuishi maisha ya tabu kwenye nchi yetu mafisadi makubwa hawa
Huyu ni HECHE, huyu ni Kiongozi 💪✌️✍️🙏
Excellent respond from honorable JHON HECHE
Hongera My Heche umeonesha ukomavu kisiasa
Hongera Heche, u.ejibu hoja zote vizuri
Hongera waandishi wanafiki umewamaliza kiherehere nadhani hawathubutu kufanya mahijiano nawe tena,uwezo wao mdogo sana
East africa yamekuwa manafiki sana hata kwa page yao ya twitwer wanaishambulia sana CDM wanazusha maungo yasiyokuwepo ni moja ya majitu yanayochangia kukandamiza wapinzani
MH heche kwelikabisa majibu yako mimi yamenilizisha viva commander viva mh heche mungu akubariki wewe nakizazichako milele, eemungu tusaidiye utuepushe nawatu wenyeroho mbaya wabinafusi
Hongera kwa majibu mazuri yenyemantiki tena cdm wanajielewa sana,cdm ndiyo ukombozi wetu sisi watZ, sisiraia wanchihii tuungejuhudi zawapiganaji wenzetu wapendahaki,
CCM mnawaziwasi na Chadema tunahitaji katiba mpya Tume Huru!!
Safi sana heche umejibu vizuri ubunge ni wako huna mpinzani atakaye simama mbele yako
Nilishawahi kusema Heche anafaa kugombea urais kwenye chama cha Chadema na akapita bila shaka.
Maswala ya ngorongoro mbona est africa radio humjadili ,
Kwanini CCM hawataki tume huru ya uchaguzi uoga wa nini
Usicheke mwandishi wa habar kama ni uzuri unauona ww unaongelea nn kuhusu CCM kwamba wanauzuri furani kuhusu nini zungunzia miaka 60 ya Uhuru tuko wap mpaka sasa
Ninyi watu wa habari hamko sawa maana mambo ya taifa hamyasemi