Usijidanganye, ni hela nyingi sanaaa.. maana zambia kwacha 100 ni kama 12,000 za bongo... hela ya zambia iko juu kuliko ya bongo wala kenya... we utakua umechanganya na zimbabwe.... yani ukiwa na zambia kwacha 10,000 ujue una 1,200,000 ya bongo hapo na chenji zake
Million mia 600 Kwa kwacha pesa ya kawaida sana hata wewe unaweza Yani Kwa Zambia hayo anayosema nikweliiiii Yani ukitaka kujenga Zambia hata nyumba 100 unaweza simpla hujengaji wao sio kama bongo
Mungu akubariki utukumbuke na sisi Kama mungu alivyokujalia.
Hongera pacha
Nimekupongeza sana allah akujalie kheri sasa unacheza mpila kama furaha
Hongera kaka mungu akulinde
Congratulations mr chirwa well come to konkola you are blessed
Safi sana chirwa
My men my boss ilike youu
Safi Sana chores wanyooshe wasio kujua
Nimejifunza Kitu..jamaa Anadeal Na Vitu vya Maana,simu ya Kawaida Ila mali za Kutosha.
Duh kweri hilo ni somo
Anaheshima sana kiukweli
Aaaaaaaah hapo sasa
Sawa anatoa somo ila sio.kila.kitu uteme huku
Of kozi kutangatangaza hivo unaweza kuletea.watu.wivu bila sababuu
600kwacha au
Muhaya huyu😂😂😂😂japo jamaa anajielewa sana wachezaji waache bata wawekeze
Watakuonesha kwelii 😅😅😅😅 chirwa inspired 👑
Aoe Sasa kesha kua
Noma uyu jamaha
Mtangazaji umetunyima mengi mnoo kwa huyo jamaa, ongeza research
✅✅👋
jamaa ni Tajiri sana
Muhaya
vatu,vanavachukulia poa
😅😅
na kiswahili kafundishwa na nani huyu sasa ziadi ya mayele
Anasema hajisifu hapo anafanyaje?
milioni 600 za Zambia
Uki convert hakuna hela
Usijidanganye, ni hela nyingi sanaaa.. maana zambia kwacha 100 ni kama 12,000 za bongo... hela ya zambia iko juu kuliko ya bongo wala kenya... we utakua umechanganya na zimbabwe.... yani ukiwa na zambia kwacha 10,000 ujue una 1,200,000 ya bongo hapo na chenji zake
@@jafariomary75 Wacha utani
Mpongeze sio et zambia kujenga laisi weng wa zambia uko uko na hawana nyumba
Kumbe wa zambia kama ni kama wacongo
Wacongo no kula bata tu
Uyu sio mzambia
@@eskalade486mzambia huyo
Umiliki wa ardhi umekaaje
Iyo ndio mtiani sasa ni bora asingesema kwasasa watamfatilia ili wapate kula
Million mia 600 Kwa kwacha pesa ya kawaida sana hata wewe unaweza Yani Kwa Zambia hayo anayosema nikweliiiii Yani ukitaka kujenga Zambia hata nyumba 100 unaweza simpla hujengaji wao sio kama bongo
Kwacha 1 kwa sasa ni sawa na 128 shillingi za Tanzania.
Hapo ni kama million 20 ya tz
Uongoooo
@@mtanzaniamwenzangu181 huwezi kunielewa kijana wangu we Bado mtt mdogo sana mm nimeongea hivyo maanisha izo kwacha mm naishi nazo Kila siku
acha uongo wewe kwacha 1 kwa sasa ni 125 tsh sasa kama ni 600,000,000 kwacha huku si 13bilion??? au ww hesabu unafanya za wapi??
MKAMBA LANDENIKO ICHIBEBA TUFWEKO BWINO BA CHIRWA
Balelenda ati balikwata amayanda 15 pa Dar es salaam Tanzania huku ku ocean side
@@justinekashililika6329ok bakamba naufwako bwino Kashi balikwata lupia sana