LIVE🔴 : RIPOTI YA LEO - JAN 22,2025

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 27

  • @PaulinaSindaMagige-r9c
    @PaulinaSindaMagige-r9c 10 วันที่ผ่านมา +5

    Hii simulizi imepenya ndani ya Moyo wangu dah😢😢😢

  • @MariamKaijage
    @MariamKaijage 10 วันที่ผ่านมา +3

    Pole Kwa kufiwa na familia yako. Hawana hatia Mungu atuongoze jamani mapito yako wanaadhibiwa wengine

  • @gracesuguta
    @gracesuguta 10 วันที่ผ่านมา +1

    Umependeza sana Veronica!

  • @DeruDeru-p4t
    @DeruDeru-p4t 10 วันที่ผ่านมา +2

    Waganga waganga mungu anawaona waongo sana alaaniwe amtegemeaye mwanadam wewe aron mtafute madamu muombe msamaha harafu yule madam mbona alikuwa mwelewa sana ungemweleza tu ukweli kwamba mm nikiwa na ww sifru ❤kabisa nataka kuwa na watoto sasa tunafanyaje? Anghali wewe umli umesogea ! Asikie madam anasemaje kiukweli kayatimba ukome kabisa jifunzeni vijana hapo

  • @Ayshernasolo
    @Ayshernasolo 10 วันที่ผ่านมา +4

    Ndyoman Unambiwa waganga siwakuamini Aki😢😢

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 10 วันที่ผ่านมา

    Jamaan yaan tuko bze tunapambana na maishaa kumbe kuna ma x wamepeleka majina yetu kwa waganga pumbavu kabisaaaaaa 😢😢😢😢😢

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 10 วันที่ผ่านมา

    Aiseee make WA Aron na Mtoto wamekuja kulipia hatia ambayo haiwahusu kabisaaa😢😢😢😢😢

  • @كازينسليمانعبدالمنافسليمانالدو
    @كازينسليمانعبدالمنافسليمانالدو 10 วันที่ผ่านมา +3

    Madam anipeleke Hilo chimbo

    • @SalamaMatema
      @SalamaMatema 4 วันที่ผ่านมา

      @@كازينسليمانعبدالمنافسليمانالدو mwenyewe namtafuta madam vero atupatie no yake

  • @vailetadam3366
    @vailetadam3366 10 วันที่ผ่านมา +1

    Dah!!

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mmmmh makubwa hatariiii na nusu

  • @khorima
    @khorima 10 วันที่ผ่านมา +4

    Huu ni uchawi mbaya sana! Ina maana huyumganga amefanya mambo halafu akapoteza identity, balaa sana hiyo huyu atateseka sana! Kupoteza familia ghafla aisee yaani huyu ni Madam hakuna mwingine kabisa!!!

  • @khorima
    @khorima 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mind you, simsifu madam ila naelezea hali halisi ya maisha yetu! Yule fundi i mean uncle wa Aaron pia sio mshauri mzuri maana amemuingiza huyu kijana kwenye malaana yasiyo na lazima maana ndio alibuni mpango wa fumanizi! Mbaya sana hii aaron amefanya vibaya sana kimktalia madam kwenye kurudisba mali walipoachana
    Na alisema wazi kwamba jasho lakr halipotei bure sio?
    Stay tuned

  • @annadaudi1769
    @annadaudi1769 10 วันที่ผ่านมา +1

    Vero jamani please sio kulalua ni kurarua!

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 10 วันที่ผ่านมา +8

    Huzuni kweli, Ila Aaron uliyataka mwenyewe, machozi ya mtu hua haiendi bure,ukiumiza mwenzio ujue tu nawe utaumizwa kwani malipo Ni hapa tu duniani 🇰🇪

  • @neemamsalege6325
    @neemamsalege6325 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ukute jina alikuwa analijua aroni sio la kweli ana jina lingine

  • @khorima
    @khorima 10 วันที่ผ่านมา +3

    Aaron umeyataka mwenyewe! Ina maana Madam ameenda kwa mganga mkali sana na wamemuwekea mkosi mkali sana na ili asigundue, wametega kiasi kwamba akifuatia ili a solve, ionekane kwamba ni mwananke wake mwingne aliyemtupia hiyo nuksi na sio Madam, ila sasa Madam nae utamlaumu nini? Kwani ndiye aliyemtuma Aaron amtapeli?
    Vijana tutafute vya kwetu tuachene kabisa na wizi, dhuluma, u mariooo nk kama mwanamke humtaki, unamdanganya ili ule vitu vyake halagu iweje? In every action, there is equal and opposite reaction!
    Tena nadhani wameamua kumfanyia ukatili wa uchawi hatati zaidi baada ya kugundua pia kwamba Aaron haliwa na mapenzi ya dhati na ndiye aliyesuka mpango wa fumanizi na in fact madam ameathirika pia kwa ukimwi, akaamua kumaliza kabisa, Aaron yeye si alianza bwana?

    • @lovenessmjaka9754
      @lovenessmjaka9754 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mim naona madam hakuna alicho kosea na mpongeza madam kwa kazi nzuri sana

    • @khorima
      @khorima 10 วันที่ผ่านมา +1

      @ sana, sana! Aaron selfish sana na ndio tukifunze tusche kabisa kupenda miteremko na utapeli.....na alimeeleza kabisa jasho lake haliendi bure, sasa imagine kama haya yasingeliyokea ina maana aaron na familia wanaishi kwa raha kustarehe kwa pesa za masam sio haki kabisa!!

  • @violetludovick5382
    @violetludovick5382 10 วันที่ผ่านมา +1

    Malipo ya ubaya ni ubaya hata kaka sio maharishi mzuri

  • @complex7582
    @complex7582 10 วันที่ผ่านมา +1

    Aron haukuwa na akili sawasawa na ulikosa ushahuri mzuri,Madam amekufanyia mengi sana,ulishindwa vipi kuuza gari hali ya kuwa unajuwa mali zote ni za madam,ulitegemea akae kimya kweli

    • @khorima
      @khorima 10 วันที่ผ่านมา

      @@complex7582 balaa hii

  • @نجاةالعبري
    @نجاةالعبري 10 วันที่ผ่านมา +2

    We si mwamba acha madam afany yake

    • @carolinetalam5832
      @carolinetalam5832 10 วันที่ผ่านมา

      kabisa, ni turn yake kulia sasa

    • @EsterGodfrey-v9j
      @EsterGodfrey-v9j 10 วันที่ผ่านมา

      @@carolinetalam5832 😂😂😂

    • @EsterGodfrey-v9j
      @EsterGodfrey-v9j 10 วันที่ผ่านมา +1

      Afanye yake kwakweli 😢

  • @khorima
    @khorima 10 วันที่ผ่านมา +2

    Aaron umeyataka mwenyewe! Ina maana Madam ameenda kwa mganga mkali sana na wamemuwekea mkosi mkali sana na ili asigundue, wametega kiasi kwamba akifuatia ili a solve, ionekane kwamba ni mwananke wake mwingne aliyemtupia hiyo nuksi na sio Madam, ila sasa Madam nae utamlaumu nini? Kwani ndiye aliyemtuma Aaron amtapeli?
    Vijana tutafute vya kwetu tuachene kabisa na wizi, dhuluma, u mariooo nk kama mwanamke humtaki, unamdanganya ili ule vitu vyake halagu iweje? In every action, there is equal and opposite reaction!
    Tena nadhani wameamua kumfanyia ukatili wa uchawi hatati zaidi baada ya kugundua pia kwamba Aaron haliwa na mapenzi ya dhati na ndiye aliyesuka mpango wa fumanizi na in fact madam ameathirika pia kwa ukimwi, akaamua kumaliza kabisa, Aaron yeye si alianza bwana?