Ande kofi alichokifanya kwa kibu Denis ni makusudi na kitendo cha kipuuzi sana,tunawaomba sana wachezaji wampira watambue kuwa ukimsababishia mwenzio majeraha ya makusudi unaigalim timu na family ya huyo mtu mana mpira ndo kazi yake ,sjapenda kwakwel
Mchezo wa mpira ni mchezo wa kugomgana,kwa walio cheza mpira wanaelewa hilo..kuna vitu vingine vinatokeaga na bila shaka huwez kuviepuka..uwanjan kuna vitu vingi
Nami nakubaliana na wanaosema rafu ya makusudi aliyofanyiwa KIBU iangaliwe na kamati ya saa 24, na mchezaji aadhibiwe kadri ya makosa aliyotenda. Alistahili KADI NYENDU
Hivi singida black stars leo walikuja kucheza mpira au kuchezea mpira na kumchezea mwamuzi kitu kidogo wanamkimbilia refa utadhani ni malast born simba sc nguvu moja ubaya ubwela from kenya 🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂
Ahadi ya milioni hamsini waliyotoa uto ndio unaona wancheza hivyo ngoja wacheze na vibonde wenzao utacheka mpira wao hutaamini hawa ndio waliowasumbua Simba..!
Babo Justine SIRITO MAKOI LEO Dada VAI MAKOI LOVE Babo Dada LUCY MAKOI LOVE Babo SIMBA 5 LEO ✈️✈️🛫🛫🛬🛬🚍🚍🇹🇿🇹🇿🚔🚔🇹🇿🇹🇿🚘🚘🇹🇿🇹🇿🚖🚖🇹🇿🇹🇿🚢🚢🛳️🛳️⛴️⛴️🚁🚁⛪⛪ 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
Ile kibu Denis kuvutwa mkono kuanguswa kwenye penalt box alafu mchezaji wa singida akamkanyqga kwa makusudi yaani maamuzi ya hovyo kuwahi kuyashuhudia kunako kuangalia kwangu mpira. Simba wanapaswa kuandikia bodi ya ligi malalamiko kuhusiana maamuzi haya hovyo. Singida sijui kitu gani walichokuwa wakilalamikia kila wakati kwa mwamuzi?
Fact mpira unaharibiwa sana watu wanashindwa kuplay fair sio kitendo cha kimpira na hakukua na haja yakufanya vile kwasabb mpira alikuwa kashauondosha kwenye hatari kama muamuzi angeliona lile kutoa penalti na direct wengesema wanaonewa
@sabrisaleh1767 kabisa ila siamini kama mwanuzi msaidizi hakuona lile tukio kwa sababu sio tukio la ghafla mpira ulikuwa unachezwa eneo lile kwa Dakika kadhaa. Tinu ya waziri wa serikali na wapambe wake wana ushawishi kwenye maamuzi ya mpira pia.
Wadada wanaovamia mpira, hawajui hata itikadi za timu. Hapo utakuta anashabikia rangi tu ya timu iliyoko uwanjani. Uliwahi kusikia wapi mnyama anatumia maneno ya kishogashoga hivyo?
Makolo bhanaa😂😂😂😂....hio point moja tutaipata tukikutana tena kiulaini kabisa😂😂😂😂😂.....tambeni pande zenu ...pande zetu hamtambi😂😂😂 mara nne mfululizo fanya mchezo nini...enewei Hongera penalt fc
Goli la simba lilokataliwa ni halali kabisa haya maamuzi kama vile waamuzi hawaoni kabisa. Mchezaji wa simba alicheza mpira ule wa kichwa kabla ya kumgusa Metacha Mnata.
Didn't know, Tanzania league is so tough like this.
Congratulations Simba for the big win.from Cameroon
Welcome my friend Tanzania is your second home say ubaya ubwela in advance 😂😂😂😂
Hongereni Sana Azam-Youtibe.
Mko fasta sasa kupandisha Highlights. Biiig BIGUPS... 👍
Camara❤❤❤❤❤ Simba player❤❤cocher Fadu thank you so much❤❤❤
Aksante sana Mungu Kwa zawadi ya ushindi wa timu yangu pendwa Simba SC ❤❤❤❤❤
Daah.. ila camara amejitahidi sana kudaka.. daah hadi raha.. simba nguvu moja.. ❤❤
Usilike comment yangu maana nimemfanyia singinda ubaya ubwela
😅😅😅 unini?
Ubaya ubwelaaa 🦁❤️
Ubaya ubwela❤❤
@@allymwashambwa5920uyanga
SIMBA ni jeshi la mtu mmoja,hongereni wachezaji wetu endeleeni kupambana hivyo hivyo❤❤❤#SIMBA nguvu moja
Ubaya Ubwela Tunamaliza 2024 Tukiwa Namba 01. Kwenye NBC Premier League ❤❤
Ande kofi alichokifanya kwa kibu Denis ni makusudi na kitendo cha kipuuzi sana,tunawaomba sana wachezaji wampira watambue kuwa ukimsababishia mwenzio majeraha ya makusudi unaigalim timu na family ya huyo mtu mana mpira ndo kazi yake ,sjapenda kwakwel
Mchezo wa mpira ni mchezo wa kugomgana,kwa walio cheza mpira wanaelewa hilo..kuna vitu vingine vinatokeaga na bila shaka huwez kuviepuka..uwanjan kuna vitu vingi
Afu hilo sio drafti
Camara man of the match
Spider man pin pin mussa Kamara❤
Ubaya ubwelaaaa❤❤❤❤❤
This is 🦁💪
Alhmdhulillah
Jaman ongera vijana,Hakika mwaka huu wetu.❤❤❤🎉🎉🎉🪴🌹
SIMBA 5 LEO 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
🕷 man kamara ❤❤❤
Ubayaaaa ubwelaaa ❤❤❤❤❤❤❤
Simba is the best team ❤️⚪❤️
🦁❤
Gori kipa wa Simba yetu apewe maua yake❤❤❤🪴🌹🏂🌺🌺🌺🪴
KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Goli kipa
Kabisa mpenzi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@mariyamsalalah8204 asante love you
🎉❤🎉❤
Singida walisahau kwamba Mo alikuwa mbunge wa Singida na kuna sadaka alitoa hawatamfunga simba maisha yao yote wakiwa Singida
SIMBA 5 🖐️ LEO 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
SIMBA 5 🖐️LEO 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
Singida hawakuwa na nidham ya mpira, kisa milioni 50 , wangetulia wangeweza hata sare lkn akili zilikuwa zinawaza ahadi na ndugu Yao utopolo
Simba laha saana kweli
Dada LOVE Babo
Kuna timu ya wachawi inateseka baada ya shoga yake kupigwa na Mnyama
Pinpin 🙌🙌💥
Hivi ndivyo Tunataka Mussa Camara Awe 💪
Congole nyingi sana Kwa Makanda wetu Hawa Wa Simba sc"
Simba Nguvu Moja.
Simba maua yenu mpewe ❤
Kama unateseka na matokeo haya wee lichawi 😂 hii ndo Simba Sc ya ubaya ubwela
🎉🎉🎉
Mabeki wa Simba sio Wazuri sana
Mungu awasaidie wazidi kuimarika.
Wanaruhusu Kross pembeni kipumbavu sana aiseee
Lete wako buas😂😂😂
Singida ndogo sana
🎉🎉 Niubaya ubwela 2
Sasa Singida nendeni mkanywe supu ya mbwa halafu mkacheze na Utopolo
Anafungwa singida anaumia yanga😅😅😅😅
👈👈 ukimnyosheya mwenziyo kidole kimoja 👈👈 kumbuka wewe vimekugeukiya 4. Utapomuombeya mwenziyo baya. Lazima litaanza kukufika mwenyewe 😂😂😂.
wana simba tunanenepa tu
Nami nakubaliana na wanaosema rafu ya makusudi aliyofanyiwa KIBU iangaliwe na kamati ya saa 24, na mchezaji aadhibiwe kadri ya makosa aliyotenda. Alistahili KADI NYENDU
❤❤❤❤❤
Hata mimi nashangaa sana,,!! kufunga nimfunge singida,, eti wanaoumia yanga,, hahaa nabado huu ndiyo ubaya ubwelaaa
Fabric luamba ngoma umetuufanya tupateraha mung u akulinde jembe
KULIWA AMELIWA CHUI.. UCHUNGU ANASIKIA CHURA...
Kimya ww huogopi hio ndo simba❤
2 - 0 la kibu wamepewa yanga
simba nguvu moja
Kapigika vizurituu
Simba ni ya kawaida mnoooooo.🟢🟡
Kuruka ruka kwa maharage ndyo kuiva kwake ww tulia dawa ikuingie
Mwambiye uyo 🐸🐸
😂
Chezea Simba wewe......,leo amepiga Kasia ziwa SINGIDANI😅😅😅
Hiyo ilikuwa ni kusema singida ni sawa na zanzibar tu, kote tunapiga kasia!
😂😂😂
Hivi singida black stars leo walikuja kucheza mpira au kuchezea mpira na kumchezea mwamuzi kitu kidogo wanamkimbilia refa utadhani ni malast born simba sc nguvu moja ubaya ubwela from kenya 🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂
Eti
Tatizo pesa 😂😂
Hii simba mwaka huu sio poaa
KAPIGWA CHUI KILIO KWA VYURA WA JANGWANI😅😅😅
Kama alivyopigwa Dodoma kilio Kolozidad.
Songa mbele twende chama langu
Metacha🔥🔥🔥
Wa kwanza
Kuna watu wanateseka sana walijua watafunga mwaka wakiwa juu ila mda huu wanaumia wakiwa choon
Congratulations Simba, but Chemolon Fondo bado anafanya makosa mengi
Mengi mno an natamani hata aanze benchi mechi tatu atie akili
Simba nguvu moja wameonesha ukubwa wao kila mechi
Singida furaha yao ni kufungwa na Yanga ila wakiliwa Simba wanaugulia maumivu kweli😂😂😂
😂😂😂
Kwani hujui hao ni kitu kimoja na yanga? Poleni wa na yanga
Ubaya ubwela kama wote tmekubali
Na huyu rupia tutasajiri simba 😂
❤tumejipigia, my wetu. Sema hawa jamaa hawakuja kucheza mpira walikuwa vitani
Ahadi ya milioni hamsini waliyotoa uto ndio unaona wancheza hivyo ngoja wacheze na vibonde wenzao utacheka mpira wao hutaamini hawa ndio waliowasumbua Simba..!
Waache watusaidie kuimarisha timu yetu @@hassanmfaume4522
Simba safi
Tujifunze kwa wenzetu wanavyochambuwa kabumbu zao tuache kuhemkwa na matukio ya uwanjani tukaacha kuchambua mifumo na mbinu za walimu na ufundi wao
Singida ahadi .imewapozaa.ubayaaa.ubwelaaaa.Wambie haooooop
Sisi siyoo milima tutakutana tukiwa kama people tutaonana usijisahaulishe my wetu una point 3 zetu 😂😂😂
Ata nyie mna 3 zetu mtajua hamjui
Babo Justine SIRITO MAKOI LEO Dada VAI MAKOI LOVE Babo Dada LUCY MAKOI LOVE Babo SIMBA 5 LEO ✈️✈️🛫🛫🛬🛬🚍🚍🇹🇿🇹🇿🚔🚔🇹🇿🇹🇿🚘🚘🇹🇿🇹🇿🚖🚖🇹🇿🇹🇿🚢🚢🛳️🛳️⛴️⛴️🚁🚁⛪⛪ 🏆🏆🥇🥈🥉🏅🎖️🏅 SPOr pesa polisi
Singida mmushukuru kipa la sivyo mlikuwa mnakula nyingi
We huna akili na kamala amefanya sevu ngapi za singida
@abbassalum6824 matusi ya nini sasa ndugu, unapata faida gani sasa wewe mwenye akili
@@abbassalum6824we ndo huna
ila kipa wa mnyamaaaa😂 apewe maua yake jamani anaupiga mwingi❤
Kazi kuikamia tu na rafu
Hawa washambuliaji wetu kuna mda wanabadilika wanacheza ovyo yani mpk mtu uelewi
Game ya jana ilikua ni jihad,,,,kwenye jihad ufundi hufichwa
yeee wameshenetwa😂😂😂
M100 mtugawie nusu make tumeshinda 😜🤣
Ile kibu Denis kuvutwa mkono kuanguswa kwenye penalt box alafu mchezaji wa singida akamkanyqga kwa makusudi yaani maamuzi ya hovyo kuwahi kuyashuhudia kunako kuangalia kwangu mpira. Simba wanapaswa kuandikia bodi ya ligi malalamiko kuhusiana maamuzi haya hovyo. Singida sijui kitu gani walichokuwa wakilalamikia kila wakati kwa mwamuzi?
Red card
Mnapenda penalty, jiandaeni kung'olewa kibabe mlipo hapoooo😅😅
@@mwinukalucia5894tuliza kinyeo hicho 😂😂😂 unaongea kwa uchungu sana na bado manina zenu
Fact mpira unaharibiwa sana watu wanashindwa kuplay fair sio kitendo cha kimpira na hakukua na haja yakufanya vile kwasabb mpira alikuwa kashauondosha kwenye hatari kama muamuzi angeliona lile kutoa penalti na direct wengesema wanaonewa
@sabrisaleh1767 kabisa ila siamini kama mwanuzi msaidizi hakuona lile tukio kwa sababu sio tukio la ghafla mpira ulikuwa unachezwa eneo lile kwa Dakika kadhaa. Tinu ya waziri wa serikali na wapambe wake wana ushawishi kwenye maamuzi ya mpira pia.
Simba mbere nyuma mwikoooo
Weee sisi n nguvu Moja mwiko nyuma n utopolo
Wadada wanaovamia mpira, hawajui hata itikadi za timu. Hapo utakuta anashabikia rangi tu ya timu iliyoko uwanjani. Uliwahi kusikia wapi mnyama anatumia maneno ya kishogashoga hivyo?
Hawa washukuru hata kumaliza mechi wakiwa wote 11
Ila leo simba amezurumiwa penaty
Tena mbili na kadi nyekundu moja kwa singida ila 🐸FC hawataliona hilo
@mauamshindo2558 ndo hivyo ila kikubwa point tyuuuuu
@MahaSaeed-hf3gs Kweli kikubwa point tatu tu familia❤️🦁
@@mauamshindo2558 ingawa maneno mengi Sana ila mungu ni mwemaa maana mm tumbo lilikuwa la Moto Leo toka Saa tisa
Tunaomba kamati ya saa 72 itazame lafu ya makusudi ya andekofi
Ni kweli. Hajaonyesha uungwana kabisa.
Ila kuna namna maloni apatiwe mapumziko
Wanao amini kuwa wamuzi wanapewa rushe gonga like apa😅😅😅
Hata like 5 hujapata😢
Hata like 5 hujapata pole😢
Jifunze kuandika
@@Mottadaniel854😂😂😂
Hakiki maneno yako kwnza kbl hujaanza kuisema team yet
ila rupia ni mtu na nusu ingawa mambo ni ubaya ubwela leo
Makolo bhanaa😂😂😂😂....hio point moja tutaipata tukikutana tena kiulaini kabisa😂😂😂😂😂.....tambeni pande zenu ...pande zetu hamtambi😂😂😂 mara nne mfululizo fanya mchezo nini...enewei Hongera penalt fc
Metacha mipira ya kutenga hajui target ya kudaka 😂
Hizo M100 mtugawie nusu yake 🤣
Utopolo anateseka mkiwa wapiiiii
Simba bingwa hakuna timu yakuizuia
Kuliwa aliwe chui, maumivu apate chura 😂
Ni wivu tu 😏
😜😂😂😂
😂😂😂🐸🐸
😂😂😂
😂😂😂😂😂
❤
Ubwela mwingi
Kipa analalamikia nini sasa, ni ujinga wake wa kutokuufikia mpira
mimi ni simba damdam hii ipo wazi kuwa hatunabeki kabisa
Unateseka ukiwa wp mtani
Fact
Malone hamna kitu
Simba nguvu1
Goli la simba lilokataliwa ni halali kabisa haya maamuzi kama vile waamuzi hawaoni kabisa. Mchezaji wa simba alicheza mpira ule wa kichwa kabla ya kumgusa Metacha Mnata.
Kikubwa ni points 3
Hamna mpira wote wanarukaruka..
Simba linabebwa sana
Bebwa na wewe chura wewe😂😂
kunya mavi atazoa alikamwe😂😂
Teseka mwaka huu maumbwa wote
Panuaa mwiko uingiee huoo
kubebwa kuna aina nyingi .. unaweza ukaamua "kuukalia mti" vile vile ukabebwa au kupakatwa..!
HAO NI WASHAMBA TU WANAMSAKAMA REFA TATIZO LA NN WACHE USHAMBA GOLI HALALI TU
🎉🎉🎉🎉🎉😂😂❤❤
Ubaya ubwela uhendeleee
Waliahidiwa milioni 100 lakini wapi