Kama aishivyo Jehovah nitakuja kujiunga na kikosi kazi moyo wangu utulie kwa BWANA. Mimi nakuelewa Sana Mchungaji hata Kama upo kifungoni saa itafika ya Bwana kufanya Jambo nawapenda Sana watu wa Mungu
Baba angu sema tupone kumbe njo maana yesu akapinduwa meza zao akasema nyumba yangu ni nyumba ya maombi sio soko yakuvunjia hera nanjiwa mbarikiwa umenifanya ni stawi zidi siku zote za maisha milele natabasamu nikikusikia roho yangu ilikuwa iki tamani injili hiyi nitafika tanzani tu,
Halafu kiukweli sshv kwaya zimekuwa ni nyingi mno makanisani unakuta ibada 1 kwaya ziko 8 nazote zinataka ziimbe kwenye ibada hiyohyo 1 ya masaa 3 na waimbaji binafsi nao wanataka waimbe vilevile. Hakuna kabisa muda wa maombi zaidi ni dakika 3-5 mwisho. Na hata muda wa Neno la Mungu nao umefinywa sana, muda mwingi umetawaliwa na kwaya. Kwakweli Tumeingiliwa Sana makanisani na bado hatujashuka hata kidogo
Amina Amina Amina Mchungaji Lusaka( Z) nakufwatilia kwaneema zamungu Mungu anakutumia ipasavyo ❤❤❤
Kama aishivyo Jehovah nitakuja kujiunga na kikosi kazi moyo wangu utulie kwa BWANA. Mimi nakuelewa Sana Mchungaji hata Kama upo kifungoni saa itafika ya Bwana kufanya Jambo nawapenda Sana watu wa Mungu
Bwana YESU KRISTO asifiwe, jamani me nawapenda, mbarikiwe mashijaaaa.
Karibu Bujumbura Baba,umenibariki
Waoo Mungu Ana watumishi wake alio jisazia katika kizazi hiki kilichopotoka ubalikiwe Sana mtumishi
NAJUA SI VYE.MA SANA ILA KWA WAKE ZA WATU HAWATAIMBA TENA MIMI MWIMBAJI EE MUNGU NIREHEMU
Ubarikiwe Sana Nakikosikakazi
Baba angu sema tupone kumbe njo maana yesu akapinduwa meza zao akasema nyumba yangu ni nyumba ya maombi sio soko yakuvunjia hera nanjiwa mbarikiwa umenifanya ni stawi zidi siku zote za maisha milele natabasamu nikikusikia roho yangu ilikuwa iki tamani injili hiyi nitafika tanzani tu,
Nabarikiwa sana na hiki kikosi kazi cha injili
Mungu asifiwe kumukumbuka tena mwanadamu sababu tumeteswa myaka nyingi Asante yesuuuuu !!!
🙏🙏🙏🙏🤲💜💜💜💜
Safi sanaaa
Kweli kabisa ila tufanyaje makanisa mengi yamehalibika yamesahau fundisho la bibilia kazi biashala TU kwenye nyumba ya yesu wanikela sana
Ameeen Ameeeeeen baba. Wataelewa tu!
Eti wanasema tumeteka mziki wa sheteni kumbe wametekwa ubarikiwe mtu Mungu
Hongera saana mtumishi wa Mungu
Haleeeeeeeeruyaaaaaaaaa pasita
Amen
Asant baba
Wewe binafsi naweza nisikupende. Ila alichoweka MUNGU ndan yako . Hua kinakidh haja ya moyo wangu.
Mh...kweli tumepotea ...Ee Mungu nirudishe kwenye injili halisi
Nawewe baba MUMGU akusamehe kunawati jueleweki kabisa
Yesu tuponye, tumekwisha
Amen sn bb yangu
Amen baba
isiwe hivyo maana ya ameni ni hivyo staki iwe
Ameeen
Kalibia nafukuzwa kanisani napiga ingiri Kama hizi
Amenii
Amen 🙏
Neno ni upanga ukatao kuwili
Halafu kiukweli sshv kwaya zimekuwa ni nyingi mno makanisani unakuta ibada 1 kwaya ziko 8 nazote zinataka ziimbe kwenye ibada hiyohyo 1 ya masaa 3 na waimbaji binafsi nao wanataka waimbe vilevile. Hakuna kabisa muda wa maombi zaidi ni dakika 3-5 mwisho. Na hata muda wa Neno la Mungu nao umefinywa sana, muda mwingi umetawaliwa na kwaya. Kwakweli Tumeingiliwa Sana makanisani na bado hatujashuka hata kidogo
Nimecheka mpaka basi
Amina
Amen k
Mhhhhh
loo jamani
Cha ajabu zaidi, badala ya kanisa kuingiza tamaduni zake kwa ulimwengu, sasa ni ulimwengu unaingiza tamaduni zake kanisani.
Kauze viatu sokoni wewe chinga acha kusema watu
𝓐𝓶𝓮𝓷
Amen