kwa ubishi tulio kuwa nao watanzanzania ..... itakuwa kazi watu kuamini hili..... ila sisi waelewa ngoja tuendelee kupiga pesa kupitia crypto.... Asante mkuu .
kwa hayo maelezo huo ni mfumo hatari sana kwasababu, kama mmiliki hajulikani, it means ikitokea shida yeyote hakuna utakae kwenda kumdai kama ilivyo mtu kwenda kupeleka madai au malalamiko kwenye bank husika, pili imetangazwa ni ngumu kuhakiwa, hapo jua vilikuwepo vingi vilikua ni ngumu kuhakiwa na sashivi vinakiwa kiulaini tu!, hio itakuwa ni mbinu ya kuwapukutisha matajiri watakao ishobokea mifumo hio.
We unazoo
kwa ubishi tulio kuwa nao watanzanzania ..... itakuwa kazi watu kuamini hili..... ila sisi waelewa ngoja tuendelee kupiga pesa kupitia crypto.... Asante mkuu .
Kapige pesa aiseee 😂😂😂😂😂😂
@@christophertz tunapiga kitambo mzee
Hapo vip mbona mwenendo wake ni kama ilivotokea kwenye great economic crises
Mstuambie ivyo sisi😂😂😂😂
Oya mnamjua kinoma
Bulla jpy
@@samsonsamwel2273 Sam icon 😂😂😂
Kiama kinakarbia kinoma ilivobashiriwa mfumo wa kutumia namba huoo twenden tu wenye kutaka paradiso rudi kwa mola ila utasota
Tumeshatangulia
Kwa Tanzania ni vigumu kumuelewesha mtu akakuelewa ila kuna nchi duniani huu mfumo wanautumia muhimu ni kupata elimu ya kutosha
kwa hayo maelezo huo ni mfumo hatari sana kwasababu,
kama mmiliki hajulikani,
it means ikitokea shida yeyote hakuna utakae kwenda kumdai kama ilivyo mtu kwenda kupeleka madai au malalamiko kwenye bank husika,
pili imetangazwa ni ngumu kuhakiwa,
hapo jua vilikuwepo vingi vilikua ni ngumu kuhakiwa na sashivi vinakiwa kiulaini tu!,
hio itakuwa ni mbinu ya kuwapukutisha matajiri watakao ishobokea mifumo hio.
Bitcoin is like other ponzi schemes, acha tusubiri time itaongea
Vitu vya kusadikika