ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Mbunge wa Malindi awasuta wanaokerwa na semi zake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ส.ค. 2024
- Msukosuko unazidi kukitikisa chama cha ODM huku baadhi ya wabunge kutoka pwani wakimshabikia naibu rais william ruto kuingia ikuluni mwaka wa 2022. Katika hafla ya kutoa shukrani iliyoandaliwa na mbunge wa lungalunga khatib mwashetani mjini vanga, kaunti ya kwale, na ambayo ilihudhuriwa na ruto, mbunge wa malindi aisha jumwa anatetea hatua hiyo akisema kuwa inaenda sambamba na ile ya kinara wa chama cha odm raila odinga kufanya kazi na Rais Kenyatta. Na kama anavyotupasha faiza maganga, Jumwa anasema hatikiswi na vitisho vya kuadhibiwa na ODM.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.com/+CitizenTVKenya
/ citizentvkenya
Siasa ya kurudishiana mkono I love Kenya politics Mt Kenya must returned their hands to our president Ruto
Ukisikia jambaz ruto ywaja coast sidiria na chupi husahau kuvaa. Ubwa koko msenge mkubwa pumbavu
Very clear I like
Naomba serikali ifungue chuo kikuu cha siasa
Ruto for president
Lakini unataka wakupigie kura na wewe sio wao pole sana makam wa Rais ulimi wako umetereza sana hao mawochi wapishi na wauza makaa ndio wanapiga Kura kwaivio chunga ulimi wako
good item
Aisha juma ako sawa
Gawanya tawalaa gawanya tawalaa mpakalini aaaaaa hii noma kilamutu yuangalia tumboo
mungu asaidie wakenya
Unanifurahisha Sana jumwa hutaki kujua
Wapwani na uswahili mwingi na upuzi mwingi...miaka nenda miaka rudi odm....kisha kuunda chama cha wapwani..endeleeni kunywa kahawa tungu na madawa.
Wewe jumwa vua jazi ya ODM tuone mulize MUNGÀRO yuko wapi watu wamalindi tuko macho
OSMAN KOMBE yye mishi ni kidomodomo watu hawapendi mdomo vitendo muihimu
Someone can do something for you - POLITICS
Cha ajabu ni kwamba hawazungumzii kabisa kuhusu Kimwarer Aror Dams, laptops na ajira 5,000 jobs Kila mwaka. Very careful indeed. Bila Shaka Dams zimesha jengwa, Shule zote Zina laptops na Kila kijana Kenya Ana Kazi. Kama sivyo BBI JUU
Aki huyu mwanamke 😂😂😂😂😂😂
Mtajua hamjui,
This mama kweli can breastfeed the whole of malindi and still have enough to make Cheese endelea hivo tu utarudi kwa soko mjinga ku uza viazi!
Mikutano Kama hiyo hamtaniona na kura nitapiga
Aisha Juma, oyee pewa.
Mtajua hamjui
U are real abrasive woman,,hat a sisi Tz tunakupenda,,pigana hardly madam
Buree kabisa. Twataka employment. Ndio iwe inazungumzwa saii. 2022 its still to come
Campaign ya nini jinga kabisa
Asha Jumwa utauwa Atwoli
Ivo ndio ulipewa mimba na ruto
Chama ya odm imeisha akuna kitu ko odm raila Odinga ame uza chama ya odm chama ya odm siyo chama odm imekuwa soko
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wamerambishwa
Pole mama umechemsha sana
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ebwana madem wakenya wananishangaza sana
😁😁😁😁😁kweli siasa ni mbaya
hawafaham lizuri wala Libaya vituko tu
Huyu mama amekuwa sura kama manamba
Hahaa. Kweli Aisha jumwa tutakunyorosha mutajua kweli wapwani pia wajua
Aisha Jumwa Ghasia takataka.RUTO IS NOT AN HUSTLER.HE'S A THIEF.MALAYA YA MWANAMKE
Hatutaki maneno mengi nyote goes moja hamuna moja wazuri ss kwa kutaka Siasa mutakapopata cmu zetu hamuzishiki tena na urongo mwingi tuu twawajua .twawasikiza huseni wenu wa urongo
5t
Hahahaaàa Aisha juma god bless you
Oiiiiioo
Wakenya mnaonaje hikura tukimpa rito
Ww mama umezeeka acha kunyanyasa wananchi
ati nyinyi wakalenjin mpate uongozi!!!....mama hapo umechemsha!!
Bado mko na ukabila tu!!!???Wakenya mna taabu sana.
Msijarb kupeana lies Roto mtalia machoz ya damu picha sai mnavyoteseka.....Jumwa rudi msikiti ukaombe n ujistrii wacha kujifanya mkubwa wa siasa zisizo n msingi
Polojo nyingi utendaji wa kazi mudogo
Haki na sheria idumishwe;
Ombeni haki yen
Sasa hauzi makaa wala nyama na unajiita hustler hapo Tayari umetudharau sisi mahustlers.......kweli wanasiasa nyote si wakuaminika.
Tunataka kiongozi sio ubingwa heshimu Raisi kwanza aliye kuweka hapo baba yako akiwa wazimu una mdharau
Watu asha sahau odm ata raila menyewe ataki saii ile chama iko ni jubilee peke yake
Mbona wachezesha viuno?
Umelipwa ngapi ya corruption? Mende wee
Jackets/coats At Ksh 1500...............Facebook
Mtapata tabu sana aki
Ruto ni size ya Aisha hahaha
Mimi zamani ni chief kanmpen ya odm ,sai ni jubilee damu
2022rais jamuri ya Kenya ni William Samuel ruto inshaalla tuko pa moja
😁😁😁mubumbatietu
Nimaoni 2 muamuxi niww
Focus on youths it still your gen?
Shujaa hajtangaz
Kumbe mwajua muuza nyama na makaa siokazi mbona amtoi izo kazi zakupanga kama nyinyi wapumbavu
Tafuta bwana akuoe hama ujitangaze kama wewe ni mwanaume tukutafutie mwanamke
I'm
Bora uhai... Miaaau
We unawazimu mjinga Sana
Zainab Swaleh why are you insulting me.. Did you even understand my statement?
Mh
2022 siasi loh , ahadi za 2017 hamujatimizaa mwaahidi ZA 2022 ,na wananchi nao wasikiliza ujinga mtupu
uko poa apo
Kigeugeu ww s ulishuka kwa baba
Mana ya odm nini?
Orange democratic movement
Usitusi watu mafriend, muuza nyama ,makaa , mchoma mahindi yote Ni kazi. Tupeni kazi bila kubagua.
It's ok for Raila kusalimia Uhuru but not ok Jumwa kusalimia Ruto.
Ukalulu iko ODM acha tu
Esha jumwa siamini ni ww yani juzi tu ulitoa jisauti na kujifanya mwema kumbe ulikua waombea tumbo lako sasa unkua ruto na we kweli nimeamini akuna anaetendea wananchi kila moja tumbo lake ukipewa chapaa ushageuka halloo mama
Meswaleh Mganga na tumbo ya Raila huoni?
Weldon Cheruiyot raila ni mjalio twaongea uyu pwani na alivyo jifanya na bishauku kama waona la raila mwewe mm naona aisha jumwa alivyo geuka wapwani wenzake hasaODM
Raila ndiye alianza ugeuzi, kusalimia Uhuru.
Aisha akasalimia Ruto
Kisirani ni ya nini
Weldon Cheruiyot kwaiyo ulikua wasemaje pengine mm sina nnachopata watafutie matumbo yao
Jackets/coats At ksh 1500.................Facebook
Hebu mtoe huyu jumwa nguo muone kama ni mwanamke
Ukisikia jambaz ruto ywaja coast sidiria na chupi husahau kuvaa. Ubwa koko msenge mkubwa pumbavu