JPM "Chuo cha Kampala ni cha hovyo, Ukila Utaliwa Tu"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 ต.ค. 2018
- #RaisMagufuli #UDSM
JPM "Chuo cha Kampala ni cha hovyo, Ukila Utaliwa Tu"
Ni kongamano linalohusu hali ya uchumi na siasa nchini Tanzania ambalo linafanyika Novemba 1, 2018 katika ukumbi wa Nkurumah Hall jijini Dar.
Kongamanio hilo ambalo limehudhuriwa na Rais Dkt John Magufuli, ambapo wanasiasa, wataalamu wa uchumi wanachambua mambo mbalimbali ya kimaendeleo yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake.
#RaisMagufuli #UDSM
SUBSCRIBE: Global TV Online: goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Mungu akutie nguvu maana peke yako huwezi. Nasi tunakuombea kwani katika jitihada zako kuhakikisha uwajibikaji kazini nami naonja matunda yako. Asante sana mh. Raisi wangu.
Shukrani MKUU KWA JITIHADA MWENYEZI MUNGU AKUPE NGUVU
mwenyezi mungu akulinde San a n.a. husda za walimwengu amina
Dr. J. P. Joseph Magufuli is on top of things. He knows and understands his job thoroughly. He's quite articulate and clear about what he wants (and does) for TZ. This is the right mentality befitting of a progressive African President. If Africa could just get 10 "Magufulis" the much touted Africa's renaissance could become a reality in a life time.
THIS IS THE PRESIDENT I LOVE AND MY COUNTRY NEEDS. MAY GOD BLESS YOU MORE THAN HE BLESSES YOUR PEOPLE. DR JPM
Nampenda sana Raisi wangu . Mungu akujalie afya njema
hata mimi
I understand you the icon of Tanzania. God bless you!
Hongera Sana mpambanaji wa Taifa nasi tutajifunza kwako.
Mungu wa mbinguni
Akubariki sana Mh.Magufuli
Hongera kwa kazi nzuri unayoifanya katika jamii yetu ya watanzania.
Hongera Mh JPM kwa kazi nzuri unayoifanya.
Tulikuwa tunafundishwa maisha ya ajabu vijana yasiyokuwa na kujitoa kwa ajili ya taifa,usanii tu,kwasasa tunakuelewa sana Rais
Hongera sanaa Rais wangu ndoto zako zinafanana na zangu kiukweli nakuamini sanaa tutafika
nakupenda rais wangu kutoka moyoni hata kama sisi tuko mjini lakini tuna ndugu zetu vijijini wacha nao wapumzike kwa kupitia serikali ya awamu ya tano elimu unayotoa inafariji mungu akulinde popote
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu na viongozi woote!
Umechoka we, Rais mwenye kuteka watu unasema abarikiwe
@@fredmankaingu4172 usilazimishe tufanane mawazo kila mtu anasema anachokiamini.
Mungu akusaidie nakukulinda daima
Safi sana! Mungu akutangulie kwa kila jambo brother!
Watanzania sisi wavivu sana utasikia maisha magumu sana wakati ukiamka asubuhi tu kwenye soga vijiweni.....tufanye Kazi ili tugawane mapato kupitia miradi inayoletwa na serikar
Tunashukuru sana mama
Uyu mzee anapambana kwa ajili yetu lakini kuna watu wao ni kumkwaza tu,tena hasa hawa wapinzani ni vilaza balaa arafu wanajifanya wanajua kukosoa mweshimiwa raisi magufuli piga kazi zidi kuwakazia hawa mafisadi hadi wakome sisi tupo pamoja nawe tunakuamini,
Rais natamani itawale Tanzania milele ni rais mzalendo hakika asante Mungu kwa rais wangu magufuri,bara,zima la Afrika linatamani-kila rais Afrika ajifunze kutoka, kwako, moyo wa uzalendo-Tanzania ndo nchi pekee Afrika inayotoa rais bora baada ya baba wa Taifa,sasa binafsi ni wewe rais bora tena Tanzania,afrika john pombe magufuri Mungu akuongozeee-tunu njm, afya njm, ili siku 1-tanzania iwe London of afrika(Amina)
Hongera sana mimi nataka ukae miaka 20 madarakani kwa maslahi ya wananchi. Mana hatujui ajae atafanya kwa maslahi ya nani.
Kikubwa utulinde sisi raia usalama wetu uwe maximum mana kutekwa na kupotea kwa watu kumekuwa ni kawaida siku hizi.
Chapa kazi baba sisi tupo na wewe in Jesus name.
Kwa data sasa mmm...Hiki ni Kichwa
May God protect you.
Truth never lie, keep up Mr president
Big up my president JPM
Kwa mawazo yangu mwishimiwa naomba tuongeze elimu zaidi kuanzia chini kuhusu swala la taxes hata kama kuongeza masomo kwa watoto wetu umuhimu wa kulipa kodi na mambo mengine hii ni kwa ajili ya kutengeza uzalendo na mwanga zaidi juu ya maswala haya
Shikamoo JPM hapa kazi 2 wengine tupa kuleee
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza vyema raisi wetu
Baba piga kazi sisi tuko nyuma yako wanaokubeza wengi wao ni mafisadi au walikuwa wanufaika wa ufisadi kwa hio wasikupe shida hata kidogo.
Mtetezi wa wanyonge mungu akuweke miaka mia
BABA ETU GOD BLESS U.
Nakukubali sana babu!¡!!! PGA kaz..
Arafu mtu anafananisha uyu mzee msomi naka kamutu kenye hakiri ya mbu eti mage kimambi bila aibu.unaskia takwimu anazo zitowa
Tunakuombea sana Rais wetu
Nakupenda jpm kitendo cha kulitaja jina la mungu nafarijika sana ktk speech zako
My president"
Mzalendo namba mmoja
Tunakuombea RAIS wetu MAGUFULI
Nc speech
Umeelewa tofauti, Chuo Cha Kampala kilichoongelewa ni vile vijimatawi vinavyojiita ni tawi. Fikiri kabla ya kuandika jambo.
nakupenda sana magufuri mungu akuongoze
Kama ni raisi tumepata, tujivunie kuwa na rahisi ambaye uzalendo mzr wa kitanzania,Mungu hakuongoze katika uwongozi wako .
Kama ni raisi tumepata, tujivunie kuwa na rahisi ambaye uzalendo mzr wa kitanzania,Mungu hakuongoze katika uwongozi wako .
Mungu mjalie Rais wetu mpendwa
Piga baba
yani huyu mzee hua ananikoshaga kwenye hesabu dar ...yani anatema madini kama yote vilee ...hakika unakila sifa ya kua mhe.president.
safi Sana jpm
Ungekuwepo uwezo wa kuongeza maisha yangu ili uishi maisha mengi baba
Atakaye shindwa kukuelewa hapa hataelewa hata wakija Malaika.
yohana ndalahwa kweli kabisa asiyeelewa sijui ataelewa nini daaaa raisi huyu ni zawadi kutoka kwa mungu
Vizuri Rais wetu endelea kupigania maendeleo ya watanzania
Dah huyu mzee mzalendo asante mungu kwa kutuletea Raisi huyu mfanye aweze kutawala miaka 20.
Let us be realistic our Hon. Presidents' performance is notably significant over the past decades. Let our Almighty God protect him forever!
Hongera SANA Muheshima Raisi lakini kumbuka hule mfano wa Baba wa Taifa Dr Julius kambarage nyerere
Mchumba aliyekuwa Akichumbiwa kwa sharti moja usisikilize huyohuyooo....usiwasikilize Sacco Chadema.
Huyu Ndio mzalendo.Nakuunga mkono 100%
Nadhani hivi vyuo vinavyoambiwa ni vya hovyo vingechukulia kama ni changamoto tu ya kufanya mambo mazuri zaidi ambayo yangewafanya hao wanaoona hivyo wafikirie upya. Wasomi wanaotakiwa kwenye nchi ya viwanda wanahitajika sana watu wenye upeo fulani wa kufikiri na kubuni mambo na wanahitajika kwa wingi. Mtu mwenye elimu ya chuo kikuu halafu akajifunza ufundi wowote au kilimo au ufugaji atakuwa bora zaidi kuliko ambaye hana hiyo elimu.Mitizamo unaotolewa hapa ukiuchunguza utagundua kwamba ni ule wa kuona kwamba graduate ni wa kuajiriwa tu. Vyuo vyetu viwe encouraged kuunganisha masomo yao na polytechnic schools hapo hapo ili graduates wa fani mbalimbali wajiajiri au wawe wanatafutwa badala ya kutafuta ajira. Tuone kwamba wanaojitolea kuwekeza kwenye Elimu ya juu ni wa muhimu na wanahitaji kusaidiwa kuonyeshwa direction ya uwekezaji . BA au BSC tuone pia kwamba ni maandalizi ya kusomea profession mbalimbali
Nawac wac majambaz yanarudi kuiba 2025 tunakuomba ubaki mpaka 2035
huyu mh ana busara sana mungu MPE nguvu raid wangu
Hakika hii ni kazi iliyotukuka mno!
Nikikumbuka adha ya mgao wa umeme huwa najiuliza....hivi ulipotelea wapi???? Ni kweli tulikuwa tunachezewa kwa maslahi ya wachache!!!
JPM piga kazi na mimi natamani nifike hapo
mhola sana endeleaga cheniko mpaka kieleweke
nakuelewa MKUU, piga kazi
Malion 50, kla kijij we mwehu nin unaona anachofanya rais wetu nikidogo wew MBNA hata million kum huna achen kukuza mambo PGA kaz babu ucbabaike...
huyu raisi watanzania tumuongezee mda atuongoze hata miaka 20 ijayo.ameiweka nchi pazuri mpaka sasa.
Viongozi wastafu wanawashwa 🥵🥵🥵
Katiba mpya ndo basi tena
Who has counted the yellow lines.
Ni mimi tu nachukia hizo adverts ama kuna wengine??
Ukitala kuepuka hizo adverts subscribe kwa chanel yangu, nitakuwa naelezea jinsi ya kuziepuka hizo adverts
TUNAKUOMBEA AFYA NJEMA RAISI WETU SINA ZAIDI CHA KUKUPA ZAIDI YA MAOMBI MEMA KWAKO
Tuwe wazalendo,tusikubali kutumiwa,mzee tunakuelewa
Mzalendo namba moja tunakuelewa. Mkuu I
piga kazi baba tupo nyuma yako
Pambana tu Mzee.MUNGU yupo pamoja na wewe.Waambie,hao waongo kwamba,utamu wa degree ni kuisomea.
pambana na sisi tupo nyuma yako
Nakuelewa president upo vizur ww tusongeshe mbele tu, sahiv zimebak ajira tu na kuongeza mishahara kwa wafanyakaz hapo tutakuwa mbali
Duuuh!!be bleesed
Sasa basi tugawane hizo fedha zilizookolewa ili tupate motisha
Kura angu naifurahia sana maana anakifanya nilichokitarajia nampenda sana my rais wangu mzalendo wa kwanza
Ww mbuzi kweli unataka ugawiwe kwa njia ipi hujui anavokuletea maji umeme maji barabara ndo kugawana kwenyewe
Hongera mh kweli unafaa kizazi hichi
Duh !!! Upo ubakhili hii komesha hata mtoto haijulikani kaolewa au la eh kazi ipo
Saa moja mb mh😕😕
Waisilama hawapo hapo mbona bwana wako yesu tu...
Acha ujinga na udini. Mbona mheshimiwa aliyepita alijaza serikali yote na Waislamu na Wakristo walimuacha tu? Sasa hata kwa salamu unapiga kelele kama kichaa?
@@gosbertrwezahura3645 pumbavu yako wewe kaa kimya
makamu wake na waziri mkuu hawatoshi kukukumbusha kuwa huyu c mdini?
Fedha tumeokowa lakini hali ya maisha kwa wananchi ni ngumu, mm nilitegemea kwa vile sasa tunakushanya fedha nyiingi, maisha ya wananchi yangeimarika zaidi
Kwa hyo kipindi maisha yako vzuri jiulize ulifanya nn acha unafiki ww
Acha uvivu ndugu yangu. Fanya kazi acha kulialia na maisha magumu. Sote tuko nchi hii lakini tunaofanya kazi na kujibidisha maisha yanaendelea kuwa bora.
Huwezi kuibuka tu ghafla tumia nafasi yako ulipo kutumikia taifa lako
walalamikaji wengi hufa Masikini
Magufuli awe rais wa milele
Imesahaulika barabara ya Mabwepande
Sio kila king'aacho ni dhahabu hata mh.mwinyi ana uwezo wa kusmama akakitetea chuo chake cha kampala vile vile na akakiponda UD siasa ni siasa tu kla mtu anajua how he /she is fighting their own lives!!! Wazee wetu wanahangaikia sisi kupata elim wajib wao ni kuboresha elim n sio kutubana kila sekta na kutuponda chuo chetu...asante sana rais... Hata mtoto mchanga hajazaliwa akatembea alianza kidogo kidogo hivo nna imani kubwa na chuo changu na natumai ipo siku tutafika vilipofika vyuo vengine.mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki elim yetu ya afya pia ndo kipao mbele
Ndugu tuulize tuliosoma kampala kile sio chuo ni takataka ndugu yangu....kama unataka elimu hapakufai ila kama unataka majengo nenda
Kiufupi ndugu chuo hiko uongozi wa chuo ndo hovyo kabisa lakini wakirekebisha naamini kitakuwa safi
Hakuna chuo pale...kama mpaka raisi wa nchi analijua hilo bors ujipange upya kaka
Faesha Mohammed Noor Fanya kuhama chuo faster kabla mambo hayajawa worse
Acha kung'ang'ana na chuo kisicho na sifa. Kama uko hapo jipange kuhama fasta!
Kumbe bado tunakopa?
I wish kama mheshimiwa Magufuli unge kuwa Raisi wa ichi yetu DRC Congo
hivi unajua hata marekani inakopa benki ya dunia?
nsola chalo hahahaaa,,,,
Mili 50 kila Kijiji,ahadi ni DENI
We uwe unajitambua Na ukumbuke kupanga Ni kuchagua
Kazungu Mathias ni kweli,nilichosema ni KWELI pia.
Tumlani shetani tushirikiane ktk kulijenga taifa letu malumbano mapambano kijicho chuki choyo husuda na uadui havitatufikisha mahala. Tumuunge mkono JPM na tunapomshauri tumshauri kwa hekima na busara na sio kwa kejeli kebehi na dharau aidha mhe JPM nae hivyo hivyo lugha iwe ya stara kwani wahenga wametuasa maneno matamu humtoa nyoka pangoni. Mhe JPM ni Rais makini endelea kuchapa kazi na Allah aibariki Tanzania yetu.
JPM Mungu akulinde
Hakika unagonga nyundo kwenye utosi.
Mungu akutangulie baba
baba katikajinala YESU ninaomba ulinzi juu yalaisiwetu muepushenakila wapingamaendeleowote
Uyu mzee anapambana kwa ajili yetu lakini kuna watu wao ni kumkwaza tu,tena hasa hawa wapinzani ni vilaza balaa arafu wanajifanya wanajua kukosoa mweshimiwa raisi magufuli piga kazi zidi kuwakazia hawa mafisadi hadi wakome sisi tupo pamoja nawe tunakuamini,
Good job