ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Amen Amen Amen barikiwa sana Mlelwa mtumishi wa Mungu kijana wa Mbarikiwa 🙏 🙏🙏❤❤❤
Namwona mbarikiwa mwakipesile
Year Ni copy yake kwa kipande fulani..
Ameeeeni, Eee Mwokozi nami nipo usinipiteeeeee,
Moyo wangu uwe kielelezo cha mwokoziYesu nataka nikujue vyema
Kwa ibada hizi, lazima uwe kielelezo cha mwokozi.
hii. very nature imenigusa nimependa sana. mtumishi. kaiimba. kiroho. sana inabidi watu. wote. wajifunze. kama huyu. mtumishi 😢😢😢😢😢
Amen
Amen mtu wa mungu umeeleweka
Mungu akulinde mtumishi
Wimbo mahubiri...Mungu akubariki mtumishi...ainue huduma ya mbarikiwa #from Kenya..stay blessed!
Amina
Nipo nyuma Yako nakuja blood brother in Krist
Ubarikiwee
Kamanda umesikiliza kweli au unambariki kwa kuona kichwa cha crip yake tu???Jihu engineer...
@@sifawayesu7079 nimesikiliza mtumishi hadi mwisho
@@kikosikaziupdate Safi sana hapo ubarikiwe na wewe..
Nimeielewa sana hii, nimeielewa kiasi naiplay yenyewe tu Muda mwingi wa siku...
Nyie mliokuwa mnaimba kwaya Roman au Moravian lazima muielewe hii 😂😂😂
@@HelbethMlelwa 🤣🤣🤣 Sio mchezo hii kitu, aaah Ulizama sana baba, sio mchezo, kweli yani nimekumbuka roman jinsi zilivokia zikipigwa hizi, ata nikawa namwambi kamanda Yakobo, kwamba Kamanda Helbet alikua mwenyekiti wa Kwaya si unaskia Bass hiyoo🤣🤣🤣🤣
Mimi nilijua kuwa nyie mliokuwa mnaimba kwaya mtaipenda sana, ili msije mkarudi kusikiliza kwaya, ngoja tuimbe tenzi kwa tune hiyo.
Aisee base ina ladha yake bwana 😂😂
@@HelbethMlelwa aaah, sana imekaa kwa ubora sana, tokea juzi me naisikiliza sana hii, alafu pale pa bass ndio pananogesha Sana,🤣🤣
Amen kamanda mbarikiwa sana
Amen Mr Man.
Imetulia sana
Nimeshitushwa na kuona comment yako kaka. Ila nakukaribisha kwenye maisha ya wokovu halisi.
@@HelbethMlelwa np mbioni mtumishi kuingia ktk wokovu.
Karibu sana kaka. Nitasikia furaha sana ukiokoka.
Najipata narudia wimbo huu kila wakati....
Tuwasiliane 0714483548
Amen Amen Amen barikiwa sana Mlelwa mtumishi wa Mungu kijana wa Mbarikiwa 🙏 🙏🙏❤❤❤
Namwona mbarikiwa mwakipesile
Year Ni copy yake kwa kipande fulani..
Ameeeeni, Eee Mwokozi nami nipo usinipiteeeeee,
Moyo wangu uwe kielelezo cha mwokozi
Yesu nataka nikujue vyema
Kwa ibada hizi, lazima uwe kielelezo cha mwokozi.
hii. very nature imenigusa nimependa sana. mtumishi. kaiimba. kiroho. sana inabidi watu. wote. wajifunze. kama huyu. mtumishi 😢😢😢😢😢
Amen
Amen mtu wa mungu umeeleweka
Mungu akulinde mtumishi
Wimbo mahubiri...Mungu akubariki mtumishi...ainue huduma ya mbarikiwa #from Kenya..stay blessed!
Amina
Nipo nyuma Yako nakuja blood brother in Krist
Ubarikiwee
Kamanda umesikiliza kweli au unambariki kwa kuona kichwa cha crip yake tu???
Jihu engineer...
@@sifawayesu7079 nimesikiliza mtumishi hadi mwisho
@@kikosikaziupdate Safi sana hapo ubarikiwe na wewe..
Nimeielewa sana hii, nimeielewa kiasi naiplay yenyewe tu Muda mwingi wa siku...
Nyie mliokuwa mnaimba kwaya Roman au Moravian lazima muielewe hii 😂😂😂
@@HelbethMlelwa 🤣🤣🤣 Sio mchezo hii kitu, aaah Ulizama sana baba, sio mchezo, kweli yani nimekumbuka roman jinsi zilivokia zikipigwa hizi, ata nikawa namwambi kamanda Yakobo, kwamba Kamanda Helbet alikua mwenyekiti wa Kwaya si unaskia Bass hiyoo🤣🤣🤣🤣
Mimi nilijua kuwa nyie mliokuwa mnaimba kwaya mtaipenda sana, ili msije mkarudi kusikiliza kwaya, ngoja tuimbe tenzi kwa tune hiyo.
Aisee base ina ladha yake bwana 😂😂
@@HelbethMlelwa aaah, sana imekaa kwa ubora sana, tokea juzi me naisikiliza sana hii, alafu pale pa bass ndio pananogesha Sana,🤣🤣
Amen kamanda mbarikiwa sana
Amen Mr Man.
Imetulia sana
Nimeshitushwa na kuona comment yako kaka. Ila nakukaribisha kwenye maisha ya wokovu halisi.
@@HelbethMlelwa np mbioni mtumishi kuingia ktk wokovu.
Karibu sana kaka. Nitasikia furaha sana ukiokoka.
Najipata narudia wimbo huu kila wakati....
Tuwasiliane 0714483548