NDOA ILIYOZUA GUMZO TANZANIA, WASIMAMIZI WAZUNGU "UMRI MKUBWA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Moja ya ndoa ambayo imezua gumzo ni hii ya muimbaji wa nyimbo za injili Stela Joeli aliyoifunga na Dr Frank Richard ambapo wasimamizi wa ndoa walikuwa ni wazungu huku wakifunga ndoa hiyo kwenye hifadhi ya Manyara ambapo wamejibu suala la umri ambalo limezungumzwa sana.
Hoi ndio ndoa safi sana. Watu wanojielewa sio usani wa vijana wanaooana. Leo keaho talaka mungu awabariki harusi wetu
Hii ndoa ni tamu sana. Ujana wenu mmeutendea haki. Umri ni namba tu maisha yanaendelea. Mungu awabariki sana
Mapenzi hayana umri,what matters ni maisha mazuri ya amani heshima
Mapenzi haina umri Mungu awatunze daima mdumu katika upendo na Amani
Watu wivu tuuu...nimewafurahia sana. Kuleni raha wapendwa wangu... Pendananeniiiiii..! Mwenyenzi Mungu aendelee kuwabarikia na kuwaongozaa. Mimi ni miaka 57 na mume wangu ni 59. Ndoa yetu ni miaka 27. Tunarahaaaaa..... Enjoying kabisa kabisaaa
Wow congrats!!
sasa umri mkubwa kwani kuna dini ilokataza kuoana mukiwa wakubwa ina maana aloumbiwa ndoa ni vijana tu ? sasa hao vijana wasemao umri mkubwa km yeye kaolewa ujana wake na baadae Mungu akija akipitisha rehma zake mwenzake akafa au akaachana ndio hatoolewapo tena ?
Aisee this is very very.... Stella Joel namfahamu toka 2006 aisee Mungu ni mwaminifu sana kwakwel
Nimeipenda Sana iyo ndoa mungu ibariki ndoa iyo🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hongereni sn! Mijitu inaona wivu.mbona Yule babu aligunga ndoa kubwa na mdada,achen wivu,ndoa yenu itadumu milele,nashangaa mijitu ikiona mtu anaoa au kuolewa wivu unayapanda mpaka utosini,Hongereniiii.
All the best, safi sana, hawa watadumu, msisikilze maneno ya watu,
Hongera sana na Mungu aibariki ndoa yenu idumu. Waacheni na maisha yao lini waswahili wa Kitanzania mtabadilika kuongelea personal issues za watu
Mimi nakubaliana na nyie 100 kwa 100 nina mdogo wangu wa kiume ana miaka zaidi ya 40 lakini ukimuona utazani ana miaka 25.Hongereni sana.
Anakula nn hazeeki namm nile
@@aishaanthony4508 njoo nikupe sili ya kutokuzeeka
Ameoa?
Perfect age na ndoa itadumu bila Matatizo,matured couple
Asante nimewapenda sana sana maarusi . Mnaakili sana age is Nothing just a number. Hawa wabichi mwaaaaa
Kwakweli nimefrahi sana na nimependa BWANA YESU aibariki ndoa yenu muishi maisha marefu na yenye baraka
Mungu ni mwema,hongereni sana.Mungu wangu uliyemwema nami nijalie baraka ya ndoa yenye heri na mie.nijalie mume aliyetoka kwako Mungu wangu.
Amina Mungu atakufanyia njia pasipo na njia
Lika na mimi b.arusi...hongera sana mwenzangu umeolewa niombee nani nioleww nipate wa kuzeeka nae.
@@menalikechildren8836 mimi mjane
@@menalikechildren8836 tuma namba yako
@@menalikechildren8836 tuma namba tu utajua maala nilipo
@@menalikechildren8836 kwangu siioni aipo
@@menalikechildren8836 ukituma tarakim uwa zina shida.tuma namba kwa kunakili .yan kwa maneno
Hongeren sana mimi kumbe kweli yote yanawezekana kwa Mungu kuna
Acheni wivu waja mlitaka wazini au
Mungu akusema yes ss binadamu nikinani.. enjoy the life in earth 🌎
Mungu awadumishie upendo na awalindie ndowa yao
Congratulations, God bless you both 💗Watu wengi hapo Tanzania hawamfahamu Mungu na sheria zake!! Nawaombeni rudini kwa Mungu na heshima kwa Mungu!! Hao couple ni maamuzi ya Mungu na hao ndio wapo na Mungu!! I'm just watchmen‼️
Weee, Watanzania wengi hawamjui Mungu kivipi? Acha kuropoka.
Am so interested in this huyo dada namjua kitambooo nikiwa mdogo sana akiwa anaimba kwaya kama sololist Ilala Assemblies of God..very happy for her the rest doesn't matter to me..May God bless their union Amen
Kwani kuna Sheria inasema watu wenye unri mkubwa hawafungi ndoa??
nashanga
Ndo hapo xx
Mungu awabariki xana umri hausian na mpango wa mungu
Hongeren sanaaaaa,,,,,,,,Mungu Awabariki ndoa yenu na idumu🥰🥰🥰🥰🥰❣️❤️❤️❤️
Nimemuona mchungaj wangu mpendwa sitta,wa kkkt yoldan nyahingi love you pastor wangu
Hongela sana mdumu kwenye ndowa MUNGU awalinde sana
I love you be blessed in the mighty name of Jesus of Nazareth Amen 🔥💯❤️🍾👏👏🇹🇿
Mpenzi hayana umri Mungu abariki ndoa yenu na ijawe na baraka teletele.💝💗❣
🙏🙏🙏
waooo nawapenda ndoa Yenu ni mfano mkubwa sana.nawatakia heri na mafanikio makubwa sana kwenye ndoa yenu .
Huyo ni chaguo lako 🎶🎵 X 2
Hata kama ni Mzee
Hata kama ni mweusi x2
Huyo no chaguo lako 🎹🎻🎸🎺🎷
Hongereni sana! Tunawatakia Maisha mema yenye kheri na baraka Tele!
Kiukweli dada mwaka 72 kama ni kweli basi mwenzetu kuna jambo limetokea kwenye mwili wako! Kweli shemeji anaonekana mdogo!
Mm naona kama ngozi yake imeharibika labda alitumia cream kali ndio maana anaonekana mzee.....bt wanaendana tu hao
@@hadijasalum6373 alipata ajali ya gari, alikaa hospital miaka 9, so tumshukuru mungu alimponya.
@@zuhrazuhra637 Ni kweli nilisikiliza stori yake siku moja kwa kweli Mungu ni Mkubwa
Na mimi muda wangu utafika nisikate tamaa
Mkaka handsome ,afu naona mdada yupo na pesa lkn mdada yupo na sura unique ka Mimi sio kwa ubaya jamani
Hongereni sana, MUNGU awatunze zaidi na mkawe na Amani zaidi. Nimefurahi kumuona pastor Emmanuel Sitta hapo pembeni yenu.
Wanawake wanazeeka haraka zaidi ya wanaume na ndio vizuri isi wanaume tukaoa wanawake ambao tumewazidi miaka 10
Hakika nimebarikiwa Sana na hi kitu Mungu azidi kuwabariki Cha muhimu Upendo udumu amen
Mapenzi shikamoo!Mungu Mbinguni awalinde
Lilieni bahati jmn msililie uzuri 🤭🤭🤭ndoa idumu milele 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Ameen
🤣🤣🤣
Umeonaa kila binadam ni mzuri ukiona mbaya anakuwa mbaya kwako kila binadam ana baraka zake
M/MUNGU Aendelee Kuwapigania 🙏🙏🙏
Hongereni Sana sema huyu jamaa kaona kitu Kwa huyu dada hasa kimarndeleo maan ana maisha yake
Masha Allah hongereni sana
Mwanaume huwa azeki mapema. Lkn mwanamke anazeka haraka
Amna ni waongo
Mungu awafanyie wepesi mkazae na kuwasomesha mtakao wazaa! Ila ujana wenu utawashitaki au kuwatetea
kila mtu ana mtoto hapo
Hongera sana kwao muhimu wanapendana,mengine tuwaachie wao
Sore kipenda rohooo Mungu awabarik
Mungu awabariki jmn, nasisi mtuombee na sisi tupate ndowa.
Kabisa
All the best!, May God bless this Couple!
Hongera kwenu. Nawaombea Maisha mema, Yengela khedive na Baraka Tele.
Wabongo tuache kufatilia mambo ya watu mapenzi hayana umri age is just a number we Millard hilo gumzo umelizua wewe mbona wengine hatujasikia
Kuolewa bahati namtu anaangalia tabia
Shetani skuzote HAWEZI kuzuia mpango wa Mungu kwenye maisha yamtu ila anachokifanya nikukipiga chenga tu usikipate kwawakati..... hongera kwenu Mungu awape masikilizano😘😘
No comment.. than GOD IS GOOD 👍
Amen
NDIO
Hawa ni mfano wa ndoa njema nawapenda bakupenda dada stella
Yani watanzania mnashida kweli mmekisa kujadili maisha mmekalia kujadili maisha yawatu shikamoni watanzania na wavulia kofia kweli
waTZ bwana zari akiwa na vijana mnasema mama kawa na baba kasemwa
😂😂😂😂
Mungu AWAPE maisha mema na amani itawale🙏🙏
Duh kweli kilanguo inamwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Inapendadha Salam zangu kutoka USA marekani
Watch from Dk
Mungu awajalie safali yenu yandoa mzae matunda mema mungu awajalie sana
Kwa kweli nimebarikiwa nimetiwa nguvu kwa ushuhuda wenu
Nawapongeza sana ,
Mimi huwa nawawaambia wanawake na wanaume utaolewa tu au utaoa tu ,tena mke au mme mwema sana,
Ni wewe tu na akili zako
Kweli dear
Kweli ndugu
Asante,naolewa,I claim this
Hongereni Sana Hakika Mungu Ni mwema kila wakati.
Hongera sana unanitia moyo Dada
Glory be to God
Umri ni namba tu kikubwa heshima na upendo basii
Mungu awabariki iwe heri kwenu
Umri ni number
Umri ni namba tu enjoy bro
Huyo jamaa ni mkubwa kuliko mwanamke hamjaangalia tu vizur
Mungu awabariki sana
Safi sana pia hongereni sana
I love this couple ❤❤❤❤
Mchungaji Samweli sita nime kuona tumekumisi kijitonyama nyama daddy
Nmeipenda hyo hongera sana
Nam namwachia mungu ikiwa ameruhusu kuolewa na miaka 50 itakuwa
Ameen🤚
Bibi nimempenda
Mwenzako kaolew acha wivuu
Huyu mama kafanana na hi Sandrah mamaake diamond
Mkioana mkiwa wakubwa watu wazima ndoa mausiono yanaku mazuri lakini lakini ndoa za vijana mamaaaa vita kila kukicha🙄🤔
Yaap on point ✌
Safi sanaaa
Mungu awabariki sana kwa tendo hilo jema mlilolifanya. Dada mmebarikiwa
Hata na Mimi nikimpata mzee wa kunishinda umri naholea n hao watu wazima ndo wanajenga
Waacheni bhanaa
Mzungu mwenyewe mmoja tu mnavokuza eti wasimamizi wazungu au mnatafuta KIKI
Kaka kachungulia fursa hataki pressure, sukari bye bye, makasiriko Kwa heriiii, yaaani huyu kaka hata kichefuchefu haitaju ndimu Tena, MUNGU awatangulie
Laaaa usililii uzuri Lilia bahati
Mungu awatunze watumishi wake.
Assante mama.umli aiyo tija
Ni katika maandiko gani katika vitabu vitakatifu vinakataa kikwazo katika umri.
Ongeleni sn
Akisha huyu mama manshallaah anahakili nyingi
Yaani uyu mama anaonekana Mzee
In sha Allah, NA Mm nitapata wng Ipo cku
Hongereni sana! Mungu mnayemtumikia azidi kuwainua.
Happy happy for u dears
Safi sana safi sana,na ongereni sana
They are good ppo
I LIKE THIS COUPLE. THEY SOUND VERY SMART. GOD BLESS THIS UNION. DON'T GIVE UP, BECAUSE OF YOUR AGE. IF YOU HAVE GOOD HEALTH, THEN KEEP LIVING AND CHASING YOUR GOALS. 🙏🏾❤❤❤🤞🏾👍🏽✌🏾✊🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazaliwa 1972 huyo mama muongo ni zaidi
Labda ana miaka 72
Wewe ni muongo sana 72 ni mtu mzee zaidi ya huyo , so huyo mama hajafika miaka hiyo ... 72 unaichukulia poa poa
Saafiii sanaaaaa ❤️❤️
Nyege hazina umri
Mhh 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Mashaallah hongera sanaa haki
Kuna shida mahali mtaiona, hongereni kwa kuutangaza utalii
Wivu