Wengi Hawajui Nilikua Muislam, Rehema Simfukwe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 มิ.ย. 2021
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    TH-cam : th-cam.com/users/ChomozaTV?su...
    #ChomozaTv#2021
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 42

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 ปีที่แล้ว +3

    Mungu aendelee kukuinua hakika unanibarik Sana na kupitia nyimbo zako nakua kiiman ❤️❤️

  • @angelalyaruu7196
    @angelalyaruu7196 ปีที่แล้ว +6

    Very humble and annointed woman of God.. you songs are really annointed, zinatouch souls.❤

  • @mzirayshangwe8224
    @mzirayshangwe8224 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Umenigusa sana na nyimbo ya fungua neema yako watu wakujue Mungu. Haleluya

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 ปีที่แล้ว +3

    Mdada aliyepakwa mafutaa very anointed, humble, respective

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 11 หลายเดือนก่อน +1

    Endlea kunyenyekea hivo hivo ili Mungu akuinue zaid ya hapo usikubar kushare utukufu na Mungu siunajua Mungu alivo na wivu

  • @JofreySimfukwe-dz8ew
    @JofreySimfukwe-dz8ew 8 หลายเดือนก่อน

    Dada yangu kweli mungu akupake mafuta san tumatoka wakina sifmfukwe

  • @royjuma2851
    @royjuma2851 ปีที่แล้ว +2

    Pokea upendo kutoka Nairobi Kenya. Mwenyezi Mungu akuzidishie neema.
    Nyimbo lako lime vunja mipaka, na mabano.
    Ume sababisha sifa kwa Mungu kwa wakati mgumu, kutoka roho wangu wa ndani.
    Ubarikiwe Kwa kazi njema na utumishi.

  • @DanielMeshack-zu3kz
    @DanielMeshack-zu3kz 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Zaid dadaangu

  • @jonathanjeremia3125
    @jonathanjeremia3125 2 ปีที่แล้ว +3

    Yan nakupenda bule dada lehema naliaga nikiweka nyimbo zako

  • @zico813
    @zico813 8 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana sana

  • @mapitoproduction
    @mapitoproduction ปีที่แล้ว +1

    hongera Sana Rehema simfukwe.
    kwa kumtumikia Mungu kwa kiwango hicho, mimi ni Simtowe nipo Sumbawanga kwenu

  • @hasanishija5213
    @hasanishija5213 ปีที่แล้ว +1

    Nilishausikiliza huo wa chanzo chauhai wangu niwimbo mzuri sana ata hizo zingine zipo vizuri

  • @jaligawesa
    @jaligawesa ปีที่แล้ว +1

    Wow! Kigogo KKKT! Awesome!🎉

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 2 ปีที่แล้ว +3

    Amina rehema yani Mungu kaku rehemu kweli kweli

  • @evamon9547
    @evamon9547 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Rehema nyimbo zako zinanipa nguvu ya kusimama katika uimbaji...karibu kenya sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว +2

    Haleluyaaa
    Njoooni Kwa Yesuuu
    Yesu ni njia

  • @patiencemambo2996
    @patiencemambo2996 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki dada

  • @ulimbakisyalaston6311
    @ulimbakisyalaston6311 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Mungu ni mwema zidi kumtumikia

  • @mariamanyika7153
    @mariamanyika7153 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki sana Dada rey

  • @barikimiliki2857
    @barikimiliki2857 ปีที่แล้ว +1

    barikiwa saana madam Mungu azidi kuinua

  • @julieluziga1095
    @julieluziga1095 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wa mbinguni azidi kukuinua mtumishi wa Mungu. Nyimbo zako zinabariki sana!

  • @emmerentiennenyawenda5395
    @emmerentiennenyawenda5395 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana Rehema

  • @marcelinemalembs5397
    @marcelinemalembs5397 2 ปีที่แล้ว +1

    I've come to love this girl God bless u

  • @amanibugondo
    @amanibugondo 2 ปีที่แล้ว +2

    She’s humble

  • @healingclinic978
    @healingclinic978 ปีที่แล้ว +2

    Sasa unauelewa ule wimbo wako mimina neema yako familia yanu ikujue

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 2 ปีที่แล้ว +1

    Moja kati ya wimbo wangu pendwa

  • @annaosward3201
    @annaosward3201 2 ปีที่แล้ว

    Ubalikiwe rehema mama umenikumbusha mbal kigogo luhanga kanisan

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 ปีที่แล้ว

    Ana sauti sana
    Hongera

  • @priscachangoma333
    @priscachangoma333 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa saanaa

  • @pocoleebrown7712
    @pocoleebrown7712 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe nishuja

  • @joygoko
    @joygoko ปีที่แล้ว

    Oh. Wow

  • @verafatuma1624
    @verafatuma1624 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @ibzanruheta
    @ibzanruheta ปีที่แล้ว

    Rehema

  • @user-vc2fn5xg3d
    @user-vc2fn5xg3d 9 หลายเดือนก่อน

    Mom

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji jifunze kutofautisha R na L inakera

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 3 ปีที่แล้ว +2

    Hatunaga waislamu kwenye kabila letu kama hilo...

    • @elizabethfrolence4344
      @elizabethfrolence4344 2 ปีที่แล้ว

      Wapo bhn ila ni nadra sana kumkuta mnyamwanga wa dini tofauti

    • @edsonsilumbe758
      @edsonsilumbe758 2 ปีที่แล้ว

      Mm mwenyewe nilikuwa sijui kwamba kuna wanyamwanga waislamu

  • @yesuarankunda4492
    @yesuarankunda4492 3 ปีที่แล้ว +3

    Sasa nikitu gani kimebadilika kwa mwili wako au ndani ya roho yako ili tujuwe kwamba kweli umeokoka??wanapenda kusema Yesu alakini ndani ya moyo hawana uwo Yesu😏😏😏😏

    • @christsflowe.r
      @christsflowe.r 2 ปีที่แล้ว +19

      nani alikueka uwe unaangalia ndani ya roho za watu au miili yao kuwa mtu ameokoka au lah? Focus on your heart and spirit kama huyu Yesu yupo ndani yako au hayupo, acha kusumbuka na roho za watu!!!!

    • @zico813
      @zico813 8 หลายเดือนก่อน

      Je hapa wokovu wako wewe umefanya nn ?Yeye ameimba ninibada tosha na wengi tumebarikiwa.Wewe unaye sema nn kimebadilika umefanya nn?Biblia inasema hata mjinga akikaa kimya huesabiwa hekima.Learn to shut up if you don’t have anything important to say.Kaaa Kimya.Mithali 17:28.