Wananchi Ngorongoro walalamika kunyimwa vibali

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2022

ความคิดเห็น • 133

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 ปีที่แล้ว +1

    Nilichokigundua Kwa harakaharaka wamasai so bright.
    Akili kubwa sana

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 ปีที่แล้ว

    Mungu yupo anawaona wanaofanya unyama kwa ndugu zetu wa ngorongoro na loliondo.

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 2 ปีที่แล้ว +4

    Masai safi sana

  • @hl2501
    @hl2501 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera,, hehe nani werevu sana 😍😍😍😘😘😘😘😘❣️❣️❣️

  • @mesenosupere2236
    @mesenosupere2236 2 ปีที่แล้ว

    Poleni sana Samaria wa ngorongoro mwenyezi Mungu awapiganie hiyo ndio maombi yangu

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 ปีที่แล้ว +4

    HAWA NDIO WANYONGE WA JPM ALIOWAJUMUISHA KWENYE KUNDI LAKE. SASA UKIONA HAWATETEWI UJUE JPM HAYUPO!😢😢

  • @olekurelaiza1131
    @olekurelaiza1131 2 ปีที่แล้ว

    Kweli Mungu waangalie wamasai Samia ana wanyanyasa Sana ikufikie we Samoa wamasai msiogope Mungu yuko pamoja nanyi

  • @petersloponomollel5050
    @petersloponomollel5050 2 ปีที่แล้ว +1

    Poleni sana Ndugu zangu

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mama yenu ndo masta mupango wa kuwahamisha hanAmuda wa kuwasikiliza

  • @sailepundooki1730
    @sailepundooki1730 2 ปีที่แล้ว +3

    Kweli Wana ngorongoro wanateseka kuliko sehemu nyingine Tanzania pia wajuwe kuwa wamasai wa ngorongoro ndio wametunza wanyama paka sasa Wana haki kusema akuna kuhama kwenye ardhi yawo

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 2 ปีที่แล้ว

      Hili kundi lote linaishi hifadhini ngorongoro imekwisha na ikiisha ngorongoro na Serengeti pia itaisha

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 2 ปีที่แล้ว

      Si kweli kabisa. Hakuna watanzania ambao wanapata huduma za kila aina na pesa juu hadi kuanzia kusomeshewa watoto wao toka shule ya msingi hadi chuo kikuu kupitia pesa zinazotolewa na NCAA. Hili likiingia bungeni litazua moto maana wananchi wengine nao kutokea Mara hadi Lindi nao watadai huduma kama hizo. Hii wakazi wa Ngorongor wasipoangalia wanajifyatulia risasi ya mguuni. Watakaoumia ni wao wenyewe.

  • @barikimohammed
    @barikimohammed 11 หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga mamayako niyule mwenye uruma nawewe uyo muteni katili

  • @joshuamursupei2788
    @joshuamursupei2788 2 ปีที่แล้ว

    Musijaribu kukubali kuhamishwa katika eneo lenu la ngorongoro, lolosokwan ,mairowa, enkongu nairoua na maeneo lote la wamaasai

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 11 หลายเดือนก่อน

    Hivi hawa ni Watanzania au

  • @comfortmunuo5545
    @comfortmunuo5545 2 ปีที่แล้ว +1

    Ondokeni ngorongoro mkaishi kama jamii zingine

  • @Veni584
    @Veni584 2 ปีที่แล้ว +1

    Mnamwelewa vizuri kweli Rais? Waulizeni wamachinga

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว

      Subilia mama arudi wote wataobdolewa hapo hii hoja Mama kaichokonoa kujua akili za viongozi wake

  • @carentemu9141
    @carentemu9141 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani wamasai awaaribu waacheni
    Wamasai waishi tens wakae wamasaitu nayoyote atakae takakukaa hapo wavae mavazi ya kimasai hutamaduni na ifazi wakiwepona wamasai kwanini tuna azakuwafukuza watazania wezetu na wamekaa miaka mingapi mpakareo

  • @mrishomrisho5349
    @mrishomrisho5349 2 ปีที่แล้ว

    Masai mnaweza sanaaa kuongea pwent

  • @michaeljoseph1154
    @michaeljoseph1154 2 ปีที่แล้ว

    Wamasai wanajitahidi kuongea point strong naomba serikali muwasikilize wanangorongoro na mtatue shida zao

  • @MarioMooga
    @MarioMooga 2 ปีที่แล้ว +2

    Poleni sana

  • @janethjohn2628
    @janethjohn2628 2 ปีที่แล้ว +1

    Nawashukuru wakubwa zangu nawapata sana

  • @joshuazakayomolell5889
    @joshuazakayomolell5889 2 ปีที่แล้ว

    Mungu yupo mbmoja nany

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 2 ปีที่แล้ว

    Wanyama wanawatetea wenzao...hahahaha mmasai bhana

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona kama wameshazoeana na wenzao mnataka kuwaachanisha

  • @kbm4627
    @kbm4627 2 ปีที่แล้ว +1

    NGO's on the wheel. Hivi wamasai sikuhizi wameacha kutoboa masikio?? Maana 90% ya wachangiaji hawajatoga masikio..!!

    • @aloycemolelli4580
      @aloycemolelli4580 2 ปีที่แล้ว

      Ndio hawajatobowa maana wamesoma na shule ukienda umetoboa masikio wanakufukuza kwahiyo ili usome unaacha kutoboa masikio nafikiri umenielewa vizr

  • @michaeljoseph1154
    @michaeljoseph1154 2 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏

  • @paulcharles10
    @paulcharles10 2 ปีที่แล้ว +1

    Ngorongoro imeisha hakuna mnyama hata mmoja wanyama wapo Serengeti

    • @wardw3022
      @wardw3022 2 ปีที่แล้ว

      Samahani mbona unasema Ngorongoro ilisha hili swala liko vipi mbona huyu yuwasema hivi yule anasema vile ukweli ni upi

  • @sonchuwa8865
    @sonchuwa8865 2 ปีที่แล้ว

    Mnakomalia kuishi porini kwani mmekuwa wanyama

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 2 ปีที่แล้ว

    Mama Samia fanya ziala ngorongoro tafadhari Sana.

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 2 ปีที่แล้ว

    Waishi hapo hapo. ila waambieni wasizaesana

  • @josee3762
    @josee3762 2 ปีที่แล้ว

    Habari zenu wana ngorongoro

  • @yunusyusuf4614
    @yunusyusuf4614 2 ปีที่แล้ว +1

    toka lini wanyama pori wakaishi na watu tokeni hapo maana mkisema mna haki inamaana ngorongoro yenu tu. pisheni wanyama wakae peke yao.

  • @enockboidy4458
    @enockboidy4458 2 ปีที่แล้ว

    We nimwelewa kuliko wavaa suti bungeni😁😁😁

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 ปีที่แล้ว +1

    Hameni hapo ni pa wanyama Sasa muhame mnalibu ustawi was wanyama

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 2 ปีที่แล้ว +2

    ##Lazima tumkumbuke magufuli raisi wa wanyonge...hivi wamasai ndugu zangu wanavyoonewa inauma sana###

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 ปีที่แล้ว

      Magufuri uyo ndio aliebomolea watu makazi yao na kuwaacha na kilio wamelia wakanyamaza kwaiyo kuna watu hawataki ata kumsikia uyo mwamba wako

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 2 ปีที่แล้ว

      C ndo yule alopeleka jesh mtwara

  • @shabanmwasopo1469
    @shabanmwasopo1469 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwondoke humo ngorongoro nyinyi sio wanyama, wanyama waongezeke na watu mwongezeke, achani utani nyie wamasai

  • @joshuamursupei2788
    @joshuamursupei2788 2 ปีที่แล้ว

    Lolosokwan, mairowa, enkongu nairoua are the most effected places.

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 ปีที่แล้ว

    Ondokeni ngoro ngoro

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 ปีที่แล้ว

    Kwanza meisha anzisha mgomo

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 2 ปีที่แล้ว +1

    Wale walioweka NGO,MBE huko wameenda kutoa Hongo

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว +1

    Mna Imani na bibi samia 😂😂😂hehehe samia mtu wa dili samia Hana nia nzur na taifa la tz namka hamjui mtajua yuko kimslahi

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 2 ปีที่แล้ว

      Maneno yako sio Sheria ata uyo magufuri alibomoa majengo ya tangu uhuru na watu wakafurushwa wakalia machozi ya damu wakanyamaza maisha yakaendelea c bora hawa wanatafutiwa pakuhamishiwa kistarabu na fidia kulipwa

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

      @@shubebunyesi542 🖕

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 ปีที่แล้ว

    Nendeni Handani mkastarehe ndugu zangu.

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 2 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna mmasai hapo, mmasai anaitwa Johnson, Hafidh, Julius na Husna... Mmasai anaongea kiswahili kuliko hata wazaramo

    • @deus8629
      @deus8629 2 ปีที่แล้ว +1

      Umeliona hilo ila pia wamesomshwa ni wasomi

    • @tozzowilliams308
      @tozzowilliams308 2 ปีที่แล้ว

      Hahahaha

    • @hl2501
      @hl2501 2 ปีที่แล้ว

      Hawa niwasomi izo Mila za kitambo hapo tena 😂😂😂

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 2 ปีที่แล้ว

    changamoto kali , ny ifadhi tangu zamani , masai enyewe wanapata fedha , lakini 1960 walikwepo watu elfu 50......wanaweza kuishi pamoja na wanyama , sassaivi wamepita milioni moja na kitu.......awezi kubaki kama zamani , tabithi upande kubwa aende handeni

  • @bictonykeraryo3900
    @bictonykeraryo3900 2 ปีที่แล้ว

    Wakati mnalalama, mnasafirisha nyama za wanyama kwenda kununulia vyakula wilaya serengeti na tarime

  • @paulmassawe1591
    @paulmassawe1591 2 ปีที่แล้ว

    Acheni kelele njoon mjini mle Bata token huko porini

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 2 ปีที่แล้ว +1

    Msikubali kutoka ngorongoro bila masai kuwepo haitakua na radha hakuna kuwatoa masai ngorongoro

    • @peterfania1005
      @peterfania1005 2 ปีที่แล้ว

      Tatizo SIO kuwato na swala la ngo,MBE wengi nasio Mali ya wakaji hao

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 2 ปีที่แล้ว +1

      Usiwadanganye, mbona Serengeti haina wamasai na ni ya kwanza duniani?

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      wewe ni muongo kinachotakiwa wanyama wabaki katika mazingura yao nasi kifungamana na binadamu kutasabisha ata hiyo mbuga kupoteza muonekano wake wa asili, has masai waondoke

  • @alaanjumali8877
    @alaanjumali8877 2 ปีที่แล้ว +1

    ngorongoro sio ya serili ni ya wamasai

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 2 ปีที่แล้ว

      Naona historia ya nchi na sheria za nchi huzijui. Hebu tafuta katika nyaraka za Taifa uamuzi wa Ole saibul, mhifadhi wa NCAA alivyosema kuhusu hilo unalolisema wakati akiwa Ngorongoro! Fanya utafiti kwanza kabla hujayasema haya, pia angalia sheria ya nchi kuhusu ardhi.

    • @wardw3022
      @wardw3022 2 ปีที่แล้ว

      @@kambamazig02024 ukweli ni upi hebu tufafanulini kiufupi hii story naifatlia lakin sipati jawabu hii Ngorongoro vip

  • @gervasisaya9089
    @gervasisaya9089 2 ปีที่แล้ว

    Sasa iv Wamasai ni wapole sana nimewapenda

  • @sonchuwa8865
    @sonchuwa8865 2 ปีที่แล้ว

    Awa wamasai waondolewe tuuu uwez weka miundombinu kwenye ifadhi

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 2 ปีที่แล้ว

    Serikali hii duuu

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 2 ปีที่แล้ว

    Hameni nyie humoooo mnafanyajeee kwenye hifadhii

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 2 ปีที่แล้ว +1

    BASI MTUMIE SHERIA VIZURI ILI MPEKELKWE SEHEMU SAHIHI ...SIO NDANI YA ENEO

  • @lokeredavid9754
    @lokeredavid9754 2 ปีที่แล้ว

    It's the same scenario that the kalenjins are facing in rift valley they are the same conserving forest's but evicted from the same forests

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 2 ปีที่แล้ว

    Hameni hapo hao ngombe na kondooo wataleta ukame

  • @lekuledanson2022
    @lekuledanson2022 2 ปีที่แล้ว

    Mungu saidia watu wako

  • @charleschoma4216
    @charleschoma4216 2 ปีที่แล้ว

    Huu mpira

  • @sanaremolel4711
    @sanaremolel4711 2 ปีที่แล้ว +1

    🤔🤔🤔🤔🤔🙏🙏🙏🙏

  • @aloimaray1769
    @aloimaray1769 2 ปีที่แล้ว

    MUTAHAMA

  • @MohamedMohamed-ng2rm
    @MohamedMohamed-ng2rm 2 ปีที่แล้ว

    MSIICHAFUE INCHI KIMATAIFA KWA KUCHOCHEWA NA BAADHI YA WASAKA TONGE, KAMA KWELI NINYI NI RAIA HALALI WA TANZANIA BASI TIINI AGIZO LA SERIKALI YENU UBABE SIKU ZOTE UNAZAA KHASARA NA MAJUTO NI MJUKUU

  • @stevenngussa9334
    @stevenngussa9334 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwani nyie hamliwi na Simba, na chui huko kwenye hifadhi

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama hayajengwa nini hatma ya elimu ngorongoro

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 ปีที่แล้ว

    Samia hana habari na huko. Hiyo ndiyo ccm tuitakayo.

  • @lazarosule7761
    @lazarosule7761 2 ปีที่แล้ว

    Haa

  • @upendo1020
    @upendo1020 2 ปีที่แล้ว

    Hahaaa hawataki kuondoka

  • @zainabumohamed600
    @zainabumohamed600 2 ปีที่แล้ว

    Nyie bwana mmechemsha kwanza ww Dada hukai huko

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

    Mnaharibu ifadhi ondokeni

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 ปีที่แล้ว +2

    Wamasai wameishi Hapo miaka Mingi na ni kweli idadi ya watu 1990 ni tofauti na Sasa na lazima serikali iweke mkakati mzuri kwasababu watakapoongezeka uhitaji wao utakua mkubwa.

  • @adamkivango5504
    @adamkivango5504 2 ปีที่แล้ว +2

    Tokeni kwenye hifadhi

  • @deus8629
    @deus8629 2 ปีที่แล้ว

    Hawa wamasai wanaongea kiswahili vizuri kuliko wamasai wenyewe wenyewe asili.. lakin pia wamesoma shule vizuri na wengi wamesomea sheria. Napendekeza wapunguzwe na wabaki wachache ila wasiondoke wote

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว

      Waondolewe mbona kitulo watu wame ondolewa ubinadamu ndio unavuruga hii nchi

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Waondoke tu wanatumwa na wanasiasa mabosi zao pamoja na wageni

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nasema nyie mnabembelezws sana ukweli siasa mbovu ndio bado Zina waweka hapo hivyo mtahitaji shule umeme maji barabara kulima kitu kimoja TU ni kuwahamisha Kwa nguvu

  • @carentemu9141
    @carentemu9141 2 ปีที่แล้ว

    Nikweriy

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 2 ปีที่แล้ว

    Mnajenga nyumba zenye bati ndani ya hifadhi,ni kweli mnawatunza wanyama hongereni ila pia mnaharibu mazingira na kuyabadilisha kwa kujenga majengo ya kisasa Kama mtakubali wabaki watu elfu tisa waliopo kwenye mkataba kinyume chake kutoka mtatoka tuu mtwara iliwezekana sembuse huko!

    • @peteralbert5636
      @peteralbert5636 2 ปีที่แล้ว +1

      Hoteli zinazojengwa ngorongoro unadhani zinajengwa kwa matope

    • @enockboidy4458
      @enockboidy4458 2 ปีที่แล้ว

      We ni mpumbavu ujitambui

    • @jamessanga7120
      @jamessanga7120 2 ปีที่แล้ว

      @@enockboidy4458 Najitambua mara elf 1000 ahead you, huna elimu ya ecolojia na biodiversity huwezi elewe chochote utaelewa elfu mbili na 500

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu zangu shida siyo nyie muhame shida ni kwamba idadi yenu ni kubwa kuliko makubaliano ya mwanzo mmeongezeka Sana na mifugo yenu,huwezi SEMA hatutoki kutoka utatoka tuu ni suala la muda serikali haishindwagi aisee!

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 2 ปีที่แล้ว +1

      Halafu wanakaribishana wengine kutoka Kenya kwa sababu wanasomeshewa watoto wao bure kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu. Pia wanapewa chakula na huduma za afya bure, kwa nini hilo hawlilalamikii kwa nini ni wao tu wenye kuepwa huduma hizo?

    • @jacksonnaadokila4057
      @jacksonnaadokila4057 2 ปีที่แล้ว

      Kenya hatudai elimu yenu duni ya Tanzania. Inchi gani inawaua wananchi wake? Alafu unasema eti kuna wakenya wanakuja kule? Hao wenzetu wa kule kwenu ndio wanaokuja Kenya tuwape ajira.

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 ปีที่แล้ว

    Pambana

  • @mbwanajuma2143
    @mbwanajuma2143 2 ปีที่แล้ว

    Maasai mmezoea kudekezwa hameni acheni kujifanya nanyi ni wanyama pori

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

      Munataka muuze ety nawahame waende wapi nahp nikwao, ndimana nasema Hu utawala wasamia sio Bure kuna kitu nyuma ya panzia, utawala wa kihuni Hu, yani Hu utawala hauwaminiki kabsa yani lAbda mungu aingilie kati la sivyo, hayo tunayoona kwasasa bas yatakuwa Ziad ya haya, tz inataka kupigwa mnada😆😆😆

    • @shabanmwasopo1469
      @shabanmwasopo1469 2 ปีที่แล้ว +1

      Wahame humo hakuna binadamu anaye tunza wanama

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

      @@shabanmwasopo1469 Masai musihame

    • @mbwanajuma2143
      @mbwanajuma2143 2 ปีที่แล้ว

      hadija Salimu Wametapakaa nchi nzima kuanzia mpaka na Kenys hadi wa Msumbiji na Ngorongoro haiwezi kujazwa mishuka ya kimasai na ng'ombe badala ya wanyama pori

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

      @@mbwanajuma2143 eee Sasa unatakaje Nenda huko au mnataka muwapeleke Burundi nyooo

  • @comfortmunuo5545
    @comfortmunuo5545 2 ปีที่แล้ว +2

    Msidanganye watu kuwa mnaendeleza hifadhi mnaharibu

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 2 ปีที่แล้ว +3

    Serikali iwe makini na swala la Ngorongoro, kuondoka wamasai hapo inaweza ikatia hasara zaidi, wakumbuke taarifa zinasambaa haraka sana na hakuna mgeni atakuja kufanya utalii kwenye maeneo ambapo wageni wamefukuzwa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      Hawawajui Wazungu subiri tutaona kama kuna Mzungu ataruka hapo akiona haya .Wata stricke kuona wao na fedha zao ndio manyanyaso ya wamasai Tanzania.

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 2 ปีที่แล้ว

      Kuna vitu vinahitaji umakini na PR kubwa kuvishughulikia

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Wazungu watasismama kufika kwa mda na baade watakuja tu niliona mambo ya jinsi hiyo yalipata kutokea unguja Lakin baade ikawa sawa so hao masai watoke huko mbungani wakizidi kuongezeka wao na mifugo yao ifadhi itakwenda kupoteza muonekano wake asilia

  • @adammwamba9177
    @adammwamba9177 2 ปีที่แล้ว +3

    Tokeni humo....hiyo ni ifadhi ya wa nyama na nyie sio wanyama

  • @danielmsayeth9655
    @danielmsayeth9655 2 ปีที่แล้ว +1

    Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe eti inanga'ra... Tokeni porini shukuru Magu hayupo mngetoka kwa kauli moja

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 2 ปีที่แล้ว

    Mutoke

  • @nyasikissimbo5643
    @nyasikissimbo5643 2 ปีที่แล้ว

    ACHENI UJINGA HAMENI PORINI HUKO

    • @theosaimon6933
      @theosaimon6933 2 ปีที่แล้ว +1

      Wahame waende wapi ? Tatizo haujafika ngorongoro? Wengi wenu hamjui ngorongoro ilivyo? Na inaonekaje ndio maana kitenge na ukubwa wote juzi ndio mara ya kwanza kwenda ngorongoro na kuanza kusema mambo asijojua achaneni na ishu za ngorongoro kama hamjui chochote

    • @yuzzosoloka1545
      @yuzzosoloka1545 2 ปีที่แล้ว

      Usilolijua ucku wagiza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      @@theosaimon6933 bora uwaambie hawa manyumbu

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

      Ovyoo wahame waende wapi

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      @@hadijamagufuli2661 Yaani shida sana na huko watakapo kwenda kama kuna mashamba jirani inaenda kutimka vita ya wakulima na wafugaji.

  • @wilsongeorge1353
    @wilsongeorge1353 2 ปีที่แล้ว

    Nyie watu tokeni kwenye ifadhi tuje kuishi wote huku tuoe wamasai watupikie mavi ya ng'ombe ya ugari sindio kazi yenu tutakoma ubishi.mke wa kimasi ni mzri sna

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli utaongea daima naliona Giza katika nchi yetu 🙄

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwani pesa zinaingia Ngorongoro kwa ajili ya uwepo wa masai? Tokeni huko tuongeze mapato mara mbili!

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 ปีที่แล้ว

    Aaah! Masai wanachomoka kisomi tu. Ngoma nzito. Haya majibu kutoka juu sasa. Du, enhee.