Aposte nakuelewa sana sana kupita maelezo Mwenyezi MNGU akubariki sana natama hata siku moja nikutane naww nakuomba kama itakupendeza ujekutuhubiria hata huku Zanzibar baba aposte MNGU akubariki sana katika jina Bora la YESU 🤲🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Apostle nimekuelewa sana Mungu akubariki. Nimekumbuka nimepitia hili mtoto wangu aliugua muda mrefu sana kuna siku nikaulizwa mbona umeomba sana huyo Mungu wako hajamponya mtoto, nililia sana tena sana siku hiyo nikamwambia Mungu ukimponya mtto sawa usipomponya sawa wewe utabaki kuwa Mungu wangu.baada ya mwezi mtto akaanza kupona hadi sasa mzima.thanks Apostle
Asante Apostle.... This is my personal message and i have received in Jesus Name. It is My time God is revealing himself in My Life. Thank you🙌🙌🙌. God bless you🙏💯
Nimechekelewa sana ata juzi nimeota watu wananichekelea. Baada ya kuchekelewa kwenye ndoto nikakuona apostle ukinishika mkono....sitaki kusema hapa Ila kilichoendelea Kati yangu na we , the deal was sealed...sitaongea hapa....Hili fundisho Ni sawa na ndoto yangu...Mungu ameinuka kwenye kiti chake Cha enzi na kutazama...haitakawia haitachukua mda. God is manifesting in my situation amen.
Mungu amesha nifanyia na kunipatia mengi tu na mengine ijapokuwa sjamuomba lakini amenibariki nashukuru na kumpraise kwa kusema HALLELUJAH/over with Mungu yupo ktk Haki na Stahiki tokana na agano lake.....
Apostle 😭😭😭. Nimepokea somo Kwa machozi mengi, coz nipo katika inchi yenye mafuno mengi ya ufalme wa kristo. Ila hali ya utumwa wangu hainiruhusu kumtaja. Nitaulizwa mungu wangu Yuko wapi?. Na hata nitapoteza maisha. Naomba utuombee wale tuko katika ponde la uvuli wa Mauti. Bwana awe nasi na ajitukuze ndani mwetu tulio wanyonge katikati ya wenye nguvu. Atupikanie na kutupa ushindi
Aposte nakuelewa sana sana kupita maelezo Mwenyezi MNGU akubariki sana natama hata siku moja nikutane naww nakuomba kama itakupendeza ujekutuhubiria hata huku Zanzibar baba aposte MNGU akubariki sana katika jina Bora la YESU 🤲🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ahsante mwenyezi MUNGU Kwaajili ya mtumishi wako na ahsate kwaneno hili,, hakika nineno lauzima na nikwaneema yakotu; ahsante yesu
Apostle ubarikiwe sana !
Kwa mafundisho haya naamini utafika mbali zaidi.
Ni mwalimu Mzuri.
Apostle nimekuelewa sana Mungu akubariki. Nimekumbuka nimepitia hili mtoto wangu aliugua muda mrefu sana kuna siku nikaulizwa mbona umeomba sana huyo Mungu wako hajamponya mtoto, nililia sana tena sana siku hiyo nikamwambia Mungu ukimponya mtto sawa usipomponya sawa wewe utabaki kuwa Mungu wangu.baada ya mwezi mtto akaanza kupona hadi sasa mzima.thanks Apostle
Amen glory to Jesus am blessed with the sermon you too be blessed Man of God
Shalom huwezi kuelewa ninavyo penda mafundisho Yako najifunza KILA Siku nakupenda sana napona KILA Siku MUNGU azidi kukutunza Mtumishi WA MUNGU ♥️
Asante apostle Bwana akubariki na akuzidishie kukupaka mafuta kwa ajili ya injili
Asante Apostle.... This is my personal message and i have received in Jesus Name. It is My time God is revealing himself in My Life. Thank you🙌🙌🙌. God bless you🙏💯
Amen ..apostle ubarikiwe nakufuatilia nikiwa kenya
Amen Apostle...Mungu akubariki 🙌🏽
Amen amen amen napokea apostle
Nice preachings am blessed
Very true apostle ,Hili swali linakeraa,mbona hapigi hatua,mbona hatuoni akifanikiwa na anaenda kanisani kila siku ,Jesus
Amina, asante Apostle. ubarikiwe na bwana
Nimechekelewa sana ata juzi nimeota watu wananichekelea. Baada ya kuchekelewa kwenye ndoto nikakuona apostle ukinishika mkono....sitaki kusema hapa Ila kilichoendelea Kati yangu na we , the deal was sealed...sitaongea hapa....Hili fundisho Ni sawa na ndoto yangu...Mungu ameinuka kwenye kiti chake Cha enzi na kutazama...haitakawia haitachukua mda. God is manifesting in my situation amen.
Kweli kabisa umenena vema Chief Apostle
Amen Napokea na iwe hivyo najiungamanisha na ibda Hii Barikiwa Sana Mtumishi
Amen shida ilitangulia lakni imeisha leo halelluyah
Mungu amesha nifanyia na kunipatia mengi tu na mengine ijapokuwa sjamuomba lakini amenibariki nashukuru na kumpraise kwa kusema HALLELUJAH/over with Mungu yupo ktk Haki na Stahiki tokana na agano lake.....
1. Uwe makini usimkufuru Mungu, 2. Uwe makini Usitafute mungu mwingine, (Usiende Kwa waganga), 3. Uwe makini usirudi duniani, 4. Uwe makini usishawishi wengine kumuacha Mungu,
ROHO MTAKATIFU NIJALIE KUVUKA HAPA NILIPO, in 15years in ministry nothing to show, huu ujumbe niwakwangu, Mungu Akubariki Chief
1 mpaka 4 hapo si mchezo
Amen hallelujah apostle, kwa ujumbe huu hakuna kurudi nyuma hata iweje,nimepata ujasiri Wa kiroho sana,more grecy chief🙏
Amen sanaaaaa n'a farijika sanaa
Uwii nishapita hichi kipindi nikigumu mno asante mtumishi 🙏🙏🙏
Amen🙏
Apostle 😭😭😭. Nimepokea somo Kwa machozi mengi, coz nipo katika inchi yenye mafuno mengi ya ufalme wa kristo. Ila hali ya utumwa wangu hainiruhusu kumtaja. Nitaulizwa mungu wangu Yuko wapi?. Na hata nitapoteza maisha. Naomba utuombee wale tuko katika ponde la uvuli wa Mauti. Bwana awe nasi na ajitukuze ndani mwetu tulio wanyonge katikati ya wenye nguvu. Atupikanie na kutupa ushindi
I thank you Lord God for everything you have done in my life, I give you all praise, honor and honour to your holy name. Hallelujah 🙏
Amen it's my time in JESUS name
Kanuni ya mungu ni nzuri
hhhh asante sana mchungaji
nimeceka sana mwenyewe kwenye simu yangu
MUNGU akubariki sana Apostle
Amen I receive
Ameeen ameeeeen and ameeeeen 🛐🙏🙏
😂 Si mchezo apostle!
Maji unaweza ita mma.
😭😭😭nishambiwa mbona Mungu wako hakusaidii siumeokoka wewe nilijibu atanisaidia tu😭
Nakuelewaga apostle na napenda Mungu anavyokutumia
AMEN 🙏🙏🙏
Nakupata mkuu
Mimi nafurahia ujumbe huu sana sana
Uuuuuuuuuujesus the time us now for sucssess❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Ee Mungu wa Meja one nitokee na nguvu zako
Amen
Ni kweli Apostle watoto huwa hawaelewi kama huna kitu wanaweza kukuuliza swali ukabaki kuwaombea toba badala ya kukasirika
Mungu yuko kwenye kiti chake
hhh kiceko cha furaha amen
AMEN
Amina
I receive in Jesus Christ!
Much love from KENYA
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Napokea
Oooooh Yesss
Apostel, nimekaribia kupokea Sasa, bado dk moja tuuuu, hasa kupitia ujumbe huuuuuu
Napokea jibu la wanaoulizaga Mungu wake yuko wapi
🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏✍️✍️✍️✍️
Aleluuuuuuuuhyaaaaaaaa❤
❤❤❤😂😂😂
Quake Quake j tee
It's my time
Amen