Zuchu - Naringa (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2023
- Get #Naringa Now 👇🏼
zuchu.lnk.to/naringa
/ @officialzuchu
For Bookings:
Contacts -- zuchu@wcbwasafi.com
Connect With Zuchu On:
Instagram: / officialzuchu
Facebook: / officialzuchu
Twitter: / officialzuchu
#Zuchu #Music #Wasafi
Copyright ©2023 WCB Wasafi. All rights reserved. - เพลง
Zuchu you deserve kuringa mpwedwa mahali hulipo anzia hadi sasa . Wakenya oje like za kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪👊🏽👊🏽kudoz eastafrika❣❣
ZUCHU 🎉🎉🎉🎉 MALKIA WA BONGO FLEVA!!!
Unahaki ya kuringa Mungu akiwa upande wako hakuna Wa kuwa kinyume nawe! Naamini Katika Mungu Pia.
GONGA LIKES KWA ZUCHU!!!❤❤❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Zuchu Anapambana
@@Mwarobainiacha ujuaji
zuchu we noma sana mkar wa wot❤
th-cam.com/video/fy_5aC08AN0/w-d-xo.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
Roho Mbaya hajapewa nyungungu Wala MTU mwenye maarifa. That is epic# Zuchu is the best, The Queen of velvet vocals , the tanzanian Kareena Kapoor
Wow wimbo mzuri sana nasikiliza adi machozi inanitoka😭😭😭😭😭😭😭zuchu dada yangu mungu azidi kukulinda is me dj shalom from kenya mungu akupe miaka mingi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
walai hapo umesema
❤😊
Jamani nimekuwa wa kwanza naombeni like zenu ili twende sawa.
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Vile vile
@@samielvutsipa52 Huyu Zuchu ni Mkenya siyo Mtanzania
Sasa likes utazifanyia Nini😅😂😅
@@mzeemselem1657😅😅😅aulizwe
nyimbo ina maudhui ya maisha ya harisia tunayo pitia people zote
Kweli kabisa ndugu
Mie mkenya naomba like ya Wana bongo Napenda kazi yake Binti wenyu Zuchu🙏🙏🙏
thank you dear
Binti yetu not yenyu😂
This song has a strong message,may Allah protect me from every evil plan
Amen
Stop mentioning Allah's name in music
I think you must be a devil why not mentioning our protecter ushindwe😂😂@@HadijaSikira
Talented Zuchu Tanzania kwakweli tuna msanii ❤❤ makopa kopa kwake
God bless African Music,One Love my African people let's gather here 🌎❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Yeah, great music there she makes amapiano sound deferent... next ngoma yangu naimba amapiano man 😀
We been asking __here we go again lame
Nakuona
Wangapi wanamuona zuchu atakuja kuwa mtumishi wa Mungu na mhubiri wa injili
You have really proved to be the best 🎉 this is the pride of Africa getting you live from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani ni kweli tunalindwa na mungu🙏🙏asante mungu ❤❤🇰🇪
I know my Tanzanian brothers wont understand this..😢❤ but we love ..ZUCHU..from KENYAN..
❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
we don't have problems with kenyans but they attack us anyway...
Kenyan people love everything about Tanzania 😅
Why ?
@@sarahhassan1323you mean even women are good like your music
Kiukweli ZUCHU kwa huu wimbo na kupa HESHIMA YAKO.
THIS IS HER BEST WORK TO DATE...........DAMN! THIS ALWAYS HIT DIFFERENT ...THE VISUALS BROUGHT MORE MEANING TO IT
13 years now since I changed my nationality from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 to 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 thanks to DIAMOND PLATNUMZ and his artists 🙏🙏🙏 Ah Zuchu nzembo kitoko makasiiii nasepeli entout cas .
Yani Sina lakusemaaaaaaaa
Wasafi mwaka huu wasiyo ipenda kazi wanayo, wataipiga Kofi chongo ya kisu 😊😊😊 nipe likes zangu plz 🙏🙏
Mwenye anajuwa ana lindwa na MUNGU anipe Like
Goodlooking i also listen
Ananilinda sana
asante
Wewe mtoto umefunja rekodi ya dunia.zuchu.@@Abdullahi546
Zuchu umemteka mjukuu wangu hatar sana Mungu akubarik kwa huu wimbo❤
Kali sana❤❤much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Zuchu feel loved siku zote from Nairobi Kenya
Ile maisha napitia ndio imezungumziwa kwa wimbo huu. Thanks alot for the inspiring lyrics dada Zuchu.
Am Kenyan sikatai bt napenda nyimbo za huyu shujaa wenu... Tanzania nipeni likes...
huyu ndie Whitney Spears wa East Afrika😊....much love to you Zuu from Kenya.❤🇰🇪🇰🇪
Are you trying to say Whitney Houston or Britney spears? 💀
What do you think?
This is what we call "next levels"
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
❤❤❤
@@Mwarobaini sawa mchukue mpeleke kenya
Zuchu ❤❤❤Mungu wangu halali nalindwa na Mungu na Nina ringa
Napenda huu muziki wake Zuchu. Ndio maisha wanoishi wengi humu duniani. Very relatable, entertaining, well-crafted... Top-tier production.👌🥳
Karibu Kigoma Zuchu tunakupenda Sana, tunatamani kuparty nawe.... keep going gorgeous musician female artist of this Digital Age
To The Person Reading This,i Don't Know You But i Wish You All The Best❤🥺such an inspiring music from Zuchu, Thank you Queen 👑
💯
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Sing mmmhh eeeehh
Let sing, comeon eeh
Sioni aibu, kwa kila linalonifika
Mana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika
Na sianguuki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu
Raise your glass
Cheers to the Lord
Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa aaeh
Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
He
Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
Nnae mtegemea hachooki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri
Nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie
Upite kwakwe kwanza
Mungu wangu halali
Ana ulinzi mkali
Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
Nalindwa na mungu
Msinione navimba navimba navimba navimba navimba
Nalindwa na mungu
Hiii song kbs ningali naiskiliza mwezi wa tanu 2024
Me too ❤❤❤❤
Love from burundi🇧🇮❤️❤️❤️
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
@@Mwarobainiayo😂
🤣
One love anyway 🇹🇿💌
✍️Zuchu mwenye mazuchu yake,,naipenda Sana hii nyimbo🇹🇿🇳🇬🥰 nandio naringa naringa naringa nalindwa na mungu mmpo?
Wimbo una ujumbe mzuri Sana huuu ❤❤❤
Tulioona kwenye video Zaburi 40:1-3 Nilimngojea Mwenyezi-Mungu kwa uvumilivu, akanielekea na kukisikia kilio changu. Aliniondoa katika shimo la hatari, alinitoa katika matope ya dimbwi, akanisimamisha salama juu ya mwamba, na kuziimarisha hatua zangu. Alinifundisha wimbo mpya, wimbo wa sifa kwa Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, na kumtumainia Mwenyezi-Mungu.
Kenyan like, turinge na mamaa
Wah ata kabla honey isink kuna kuringa tena....gud work nitajifunze zote mbili pamoja
MEGA HIT
All Africans let's gather to support this living talent 👌 ZUCHU on 🔥🔥🔥
th-cam.com/video/fy_5aC08AN0/w-d-xo.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
Alisababisha huu wimbo ukatungwa pole yake sana, Yani ukiwa na roho mbaya pambana nayo Mungu aiondowe. Sisi huku tunaringa tu hapa.
BILA KUPEPESA MACHO HII NGOMA NI KALI SANA. ZUCHU 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
If there's anything that makes me really proud is how God just defends me whether I pray or not. His graces always guide me . There's no way I'll ever be ashamed cause he just makes me walk my head up
If there's anything that makes me really proud is how God just defends me whether I pray or not.His grace always guides me.there is no way i will ever be ashamed coz he just makes me walk my head up💯
@@AlfredDavis-xq9vh sure ❤️
sauti
ujumbe
upendo
kipaji
hivyo vyote ndivyo fanya uzuri wako waonekana Upendo Moyoni mwako hauto saulika,ni vyema kuendelea hivyo hivyo maana ni adui walio wengi wasiopenda maaendeleo na wapo kwaajili tuu ya kuchafua kipaji na heshima ya mtu ,Hongera sana Z kwa ujumbe wenye maudhui ya kweli👊🏽🤝💪🏼
Kwa wimbo huuu zuchu ameimba ukwele kweye jamiii zetu watu wenye roho mbaya wapo🎉anapaswa kupewa maua yake❤🎉
Bad already more like boring
She is the best female musician of all time in East Africa
Love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Best of all Zuchu songs I love this one ❤❤❤nice song let's be proud of our God 💪💪💪
This song is and will forever be a banger✨💪❤️🇰🇪🇰🇪
💯
2:47 @@denismwaluwanda8242
huyu bi dada apewe heshima yake anaweza shindana na mwana mziki yoyote kwa sasa hapa Tz na waka battle vzr tu #fire #naringa🎉
Zuchu is now the best female artist in east Africa
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
@@Mwarobaini😂😂..she is the best
@@Mwarobaini😂😂
uongo
What are you saying
this song reminds me that there is a faithful God up there watching over us
Hapa hata miye nimekuwa mateka kwa huu wimbo.
Jamani zuchu atatuuwa na mahiti, hatujamaliza chapati ingine tayarii❤️🔥
This is my East African female artist zuuu love u from Uganda 🇺🇬
🤔Zuchu is the real jewel and the pride of Tanzania 🤝🇹🇿
My music started when I was very very lirul 🤣🤣🤣🤣🤣 wakenyaa nipeeni likes
My love for music
Ameamua kutuaibisha huku
Yes nikweli tunalindwa na Mungu❤Watu wa burundi gonga like hapa tujuane🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🔥🔥
Tupo hapa
Iv burundi mnajua kiswahili??
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I love how resillient you are Zuchu..You inspire me and to the great challenges you overcome...🎉🎉🎉Kweli unalindwa na Mungu.
For sure she is such an inspiration, 💯
Huu ujumbe uwafikie wote wasio mtakia mema Zuchu. Watakufa kwa wivu na roho zao mbaya.. mtoto anazidi kung'aa wenye wivu wajinyonge
Jamani Zuchu unatuacha hoi........hivi ungekua unaimba hata kwaya nahis watu wengi wangeokoka sanaaa.....hongera sanaaa✨✨✨
Kama unampenda Zuchu Nipeni Like ❤❤❤
Tanzania to the highest levels Zuchu we love you Ur talented I tell u ...Ur the best 🎉
wimbo mzuri sana huu wimbo umeimba kwa hisia sana kiasi ambacho unakufanya ufelling kwa hisia kali san
Let's show some love ❤❤😊
Watching live from Kumamoto in Zambia, Zuchu your songs have been turned to be our national anthem in our country 💎💎💎
kuma what?
😂😂😂, nigga ur stubborn
Taratibu na moto wako bro 😂😂😂😂
😂
@@liliantweve957 sasa mrembo, nipe number yako ata tujuane
Waw Zuchu video na nyimbo vimeenda sawa sawa safi sana endelea mama kuwaonyesha Talent yako mungu alokubariki
Zuchu hii song ni something else bana unajua unajua unajua tena
Hata kama una rohoo mbaya kiasi gani uwezi ukasikiliza wimbo wa zuumond alafu uka shindua ku like , hata kama unpedi vumilia hii imekwenda fanya ufanya ló 😂😂 thank you ❤Z❤u🖤c❤h❤u !!! Umeuwasha na kuhusu haoo wala usipate tabo 😅😅, Chorra😂🙅🙊😭👈
I just love her may God keep bless you ❤🇹🇿
The video is absolutely heartwarming and gives off nostalgia 😔❤
Huu wimbo dah unapofeel uko down ukiusikiliza lazima utabasamu,Zuchu this kind of music suits you well. Kwa sauti yako na beats unazotumia. Ahsanye sana 👊👊👊🎉🎉🎉
Her voice and writing skills are always on another level not even in this world .... let's get this 100millon peeps🎉🎉🎉 I can't even listen to the whole song without restarting everyday😂😂 Good work
Fact
th-cam.com/video/fy_5aC08AN0/w-d-xo.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe@@ibraahndongo5418
@@ibraahndongo54187Q8Q0OI8
Ak nasikiza karibu kila saa hii goma
Naringa, naringa..nalindwa na Mungu 💃💃💃
, Sasa
Am your number one fans ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ zuchu forever ❤❤❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
Nyimbo yangu ya maisha I love you zuchu ... Wimbo huuu ... Kwa siku nasikiliza zaidi ya 10
She will be remembered as the best of her time ❤️🔥 only for legends 😉
She is still the GOAT in female music industry coz we have Simba as the male GOAT
this is big
Tanzania to the world 🏆
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango Omela
Well for me, Zuchu is the best female artist to ever live. I'm her number 1 loyal fann❤❤💯💯❤🔥❤🔥
Watanzania tunakuelewa Zuchu keep the good music alive. Wewe unajua sanaaaaaa
Kitu kali...gonga like hapa❤
The queen and lioness of East Africa keep it up
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
th-cam.com/video/fy_5aC08AN0/w-d-xo.htmlsi=6AyFbn3_p9jTLtIe
Nyimbo nzuri sana ❤❤❤❤ zuchu chukuwa maua yako🌹⚘️😊
Zuchu huu wimbo ni mkubwa sanaaaa yaaani schoki kusikiliza
Hii ndio nyimbo kuimba Zuchu sio nyimbo za kutukana watoto wetu wana skiliza!!!
Hi
Did
Xguio 0:30
😂❤
Much support dear...from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango Omela
This girl 🔥🔥🔥♥️ watching from Washington t🇺🇲🇺🇲🇺🇲
Ukweli mchungu ni kwamba toka Zuchu uingie kwenye game umewakimbiza vibaya sana wote ulowakuta. I love tis song overall your songs baby girl
Mimi na watoto wangu twakupenda sana, kila ukitoa ngoma nafanya hima kuwachezea
Great music sana dada soon nitaimba hiyo style namimi soon amapiyao tamu ulivyo ifuse
Kama Mungu amekubariki Basi una sababu ya kuringa . Jiunge nami here 👇⬇️
Allh akufanyie wepesi utoke huko uweze kumkumbuka allh allh akufanyie wepes mdogo wangu
All kenyan likes apa
Queen of bongo flava ❤🔥🔥🔥
Zuchu nakupend sana
Hakikaaa zuchu apewee maua yakeee anayawezaaa
🎉🎉🎉 umetishaass mwamba zuchuiiiiuuuuuuuu
She need some respect and love ❤❤❤❤
Huyu Zuchu Kweli ni Mtanzania Kweli? Watanzania wengi kama wakina Nandy huwa wanatoa nyimbo kwa muda mrefu, Zuchu ni Mkenya, Baba yake ni Onyango
The love of a song is spiritual love of optimism.
Zuchu nice usiangalie mtu akikujibu vibaya uko sawa
Karibu kenya 🇰🇪 zuuuu