Nakwenda kijijini & Kisomo cha watu wazima || Nuta Jazz Band

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 17

  • @HassanFarahan
    @HassanFarahan 6 หลายเดือนก่อน +1

    🎉nilikuwa kijijini Rutamba na babu namanyanga kilimile mzee Mdaka mangulembe Niko mama fatu Hamisi lingondingo

  • @maulidally9480
    @maulidally9480 ปีที่แล้ว +2

    Ngoma za zamani ni mpango mzima

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 ปีที่แล้ว +3

    Sauti ya Marehemu Maalim Muhidin Gurumo mtindio wa Msondo Ngoma hatari Sana!

  • @ArchibaldOdiyo
    @ArchibaldOdiyo ปีที่แล้ว

    Tafathali Njohole Jazz.

  • @gershomwakhonya9718
    @gershomwakhonya9718 ปีที่แล้ว +2

    Super Stereo Hassan Rehani Bitchuka and Gurumo on vocals.
    Mabere playing solo,Computer Mwanyiro on bass.

    • @dsstudioske
      @dsstudioske  ปีที่แล้ว +1

      Well analyzed, unaijua miziki hii kweli kweli

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 11 หลายเดือนก่อน

    Bitchuka sauti katika ubora wa juu utulivu 100% mpangalio wa vyombo 100%
    November ,2024

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 9 หลายเดือนก่อน

    Naikia sauti ya Bichuka hapo akiwa bado ni kijana mdogo sana, dah.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 ปีที่แล้ว +2

    Mziki wenye nyimbo zenye ujumbe na mafunzo ya maisha ya kijamii ilikuwa wakati huo kwa wanamziki waliokuwa na vipaji, Kwa sasa hatuna wanamziki Bali tuna wasanii wa mapenzi.

    • @godwinmtani5500
      @godwinmtani5500 6 หลายเดือนก่อน

      Hata mapenzi yenyewe hawayawezi kutwa kuachana na mapenzi ya jinsia hao wanawake hawafiki hata kileleni ajabu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 ปีที่แล้ว +2

    Heee Nakumbuka mie wakati ule Mchele kwa ratili sio kwa kilo

  • @KhalfanHamad-z5h
    @KhalfanHamad-z5h ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka dagaa nafungiwa kwenye jani la mgomba

  • @w.j.d.m
    @w.j.d.m ปีที่แล้ว +2

    Syvrster cameo tuko pamoja ya kwamba leo hatuna wanamziki kabisaaa, enzi zile hakukwa na hizi komputer na miziki ilikuwa safi ki instrumentali, na pia sauti zao ziko safi.