Assalaamu alaykum, waislam wenzangu huyo ni sheikh tena ni sheikh MAASHAALLAH, ila ndio km tuambiwavyo Kua Sisi wanadamu sote tunakosea. ALLAH atufahamishe.
Huo hauitwi msimamo wa wastani, kwani uastani ktk mambo ndio dini hasa ndio bora kama Mtume alivyosema (خير الأمور أوسطها) sasa wapi uislamu unaruhusu nyimbo na mziki, nani ktk wanachuoni kakutangulia ktk msimamo huo unaodai kuwa wa wastani, mche Allah shekh wetu siri na dhahiri pia unapokua mbele ya watu kwani kiukweli unaponyokwa sana na maneno machafu na hasa unapojaribu kuzungumzia msimamo tofauti na ulonao. Allah atuongoze
Atakaezingatia maneno yake kwa undani kuhusu mziki nadhan atakua ameelewa. Ama ukiangalia tu neno muziki utasema haramu; shekhe hafai nk . Tujaribu kumfahami lengo lake
Wewe umependa mziki au üyeniz/mafumbo,ambayo hayo hata mtume aliyahalalisha,hebu Sheikh msabaha tuweke sawa hapa,mziki ni vinanda,tenzi ni maneno/mafundisho,au mimi nimekosea,Sheikh sahihisha hapo.
Shekh msabah unajitahidi lakini kwa Leo umevurumisha tu. Linalo katazwa ni MZIKI na sio NASHEED. Alhabib tofautisha nasheed na MZIKI. Mziki ni vianda na nasheed ni kuimba. Ukichanganya pamoja ni kharamu, au ukisema nasheed japo tupu kwa maneno mabaya ni kharamu. Mazuri upo Sawa
@@hilalkhalfan1452.... Kasim Mafuta na Muhammad Bachoo wao ni mawahabi na mawahabi 1)wana itikadi za kikristo husema km Allah anatembea kwa miguu! Anapeana mikono na watu na kukumbatiana na watu! Anashuka chini na kupanda juu! Amekaa kitako juu ya arshi na miguu yake ameeka juu ya kursiyyu nk 2)kila wahabi humuona Shia na ibadhi na wafuas wa madh'habi zote km si waislam ili uwe muislam basi uwe wahabi. Yakatae hayo useme km si kweli! Yote kwa Yote wapo wanachuoni wanaosema km ngoma itapigwa vizuri haina tatizo
😅😅😅😅 nimevunjika mbavu daah! Ukute nae anamsikiti huyu et aitwa nae shekhe ,sasa huo msikiti sijui balaa lake lipoje maana mwalimu kipofu, maamuma kipofu sijui wataongozana vipi hawa jahazi sindo litazama sasa, kweli naamini ile kauli isemayo itafika wakati uislamu utaongelewa na hata watu majahili waso soma.
Sasa kama hili umelitambua udhani mangapi atakufa fanya ambayo huyajuii kwa kwa uchache wa elimu yako,ingiza Google angalia fatawa za wanavyuoni ,,,mkitadharishwa watu wametetea,mshukuru Allah kuwa hali walijua
Sasa vp kuusu ala za muziki maana ndo tunaambiwa kharam .shekh amesema hii nyimbo haina ubaya anamaanisha ala za muziki ni halali ama vp, afafanue tuelewe.pia kwa anavotaka yeye ukimtaja Allah kwa majina yake ukachanganya na muziki kweke itakua hakuna ubaya au vp.
Kisha mtu kama huyu ngo aje kumradi Dr Islam Muhammad Salim ima Sheikh Muhammad Bachu si unaona ni Channel yako niyakupoteza tu watu huyu ni zaidi ya mlango wa moto watu kucheza watu kama mweye haya acha tuone mpaka mwisho 😂😂😂😂
Maneno ya kwenye nyimbo hyo yapo sahihi ila mziki ulioingizwa sio sahihi ktk dini, lkn mashair yapo sawa
اللهم سلم
Ila alishawahi kuugua matatizo ya kiakili,alafu sasa ndo imamu allahu akbar allah amuongoze
Assalaamu alaykum, waislam wenzangu huyo ni sheikh tena ni sheikh MAASHAALLAH, ila ndio km tuambiwavyo Kua Sisi wanadamu sote tunakosea. ALLAH atufahamishe.
Allah atujaalie mwisho mwema sote tunakosea
Yaani kuna mambo unajiuliza hata hili,yaani hata asiyekuwa na elimu hawezi kutetea ujinga huu
إ تق الله. يا معلم.
Sheikh anashusha mistari tu 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Mashekhe wa chama hawa mtihan tu
Nilichukia sana Siku nilipomsikia
Huo hauitwi msimamo wa wastani, kwani uastani ktk mambo ndio dini hasa ndio bora kama Mtume alivyosema (خير الأمور أوسطها) sasa wapi uislamu unaruhusu nyimbo na mziki, nani ktk wanachuoni kakutangulia ktk msimamo huo unaodai kuwa wa wastani, mche Allah shekh wetu siri na dhahiri pia unapokua mbele ya watu kwani kiukweli unaponyokwa sana na maneno machafu na hasa unapojaribu kuzungumzia msimamo tofauti na ulonao.
Allah atuongoze
Hapafai kuchukua elim hap
Wapo maulamaa wengi tu
Uharamu wa miziki sio mashairi Bali vile vinanda na ngomba ndio haramu munatakiwa mumfahamu sheikh acheni kumhukumuu tuu
Atakaezingatia maneno yake kwa undani kuhusu mziki nadhan atakua ameelewa. Ama ukiangalia tu neno muziki utasema haramu; shekhe hafai nk . Tujaribu kumfahami lengo lake
هآألآء من دعاة على ابواب جهنم
Si lazma uandke kiarab unajiaibisha 😂😂😂
Yaani sasa kwahiyo watu tuendelee kuskiliza music shekh hayyah tunashukuru shekh watu kwa fatwahiyoo ilaa dah 😂
Wewe umependa mziki au üyeniz/mafumbo,ambayo hayo hata mtume aliyahalalisha,hebu Sheikh msabaha tuweke sawa hapa,mziki ni vinanda,tenzi ni maneno/mafundisho,au mimi nimekosea,Sheikh sahihisha hapo.
Huyu ni mpotoshaji kuweni makini na elimu yake na Imani yake Ina kasoro ya TAWHEED ...
Toa yakwako wew ambayo Haina kasoro
Kampotosha bibi yako au?
دعاة على أبواب جهنم من أجابهم قذفوه فيها
HUYU JAMAA KUMBE NI SHIDA SANA DOH! ILA HUENDA HANA AKILI TIMAMU.
Ana akili sana huyu,alisoma Madina hadi akasema sioni jipya kwenye vitabu kila ninaloangalia nalijua
ninaomba namba yake ya simu jamani
Shekh msabah unajitahidi lakini kwa Leo umevurumisha tu. Linalo katazwa ni MZIKI na sio NASHEED. Alhabib tofautisha nasheed na MZIKI. Mziki ni vianda na nasheed ni kuimba. Ukichanganya pamoja ni kharamu, au ukisema nasheed japo tupu kwa maneno mabaya ni kharamu. Mazuri upo Sawa
Unasemaje wewe?
@@user-pu2uw2ib5y mdomo haukatazwi ila matusi na neno la kufuru. Ndio nnachosema.
@@hilalkhalfan1452.... Kasim Mafuta na Muhammad Bachoo wao ni mawahabi na mawahabi
1)wana itikadi za kikristo husema km Allah anatembea kwa miguu!
Anapeana mikono na watu na kukumbatiana na watu!
Anashuka chini na kupanda juu!
Amekaa kitako juu ya arshi na miguu yake ameeka juu ya kursiyyu nk
2)kila wahabi humuona Shia na ibadhi na wafuas wa madh'habi zote km si waislam ili uwe muislam basi uwe wahabi. Yakatae hayo useme km si kweli! Yote kwa Yote wapo wanachuoni wanaosema km ngoma itapigwa vizuri haina tatizo
yeye mwenyewe ni msikilizani mzur wa mziki unadhani itakuaje sasa katik uislamu hakuna msimamo wa wastani ktk uislmu
hizonazo nidalili za kiama
😂
kwaiyo kijana naww unasikiliza music
Ndio
😅😅😅😅 nimevunjika mbavu daah! Ukute nae anamsikiti huyu et aitwa nae shekhe ,sasa huo msikiti sijui balaa lake lipoje maana mwalimu kipofu, maamuma kipofu sijui wataongozana vipi hawa jahazi sindo litazama sasa, kweli naamini ile kauli isemayo itafika wakati uislamu utaongelewa na hata watu majahili waso soma.
Mnajua maana ya fatwa?
Huyo ni mpuuzi tu ambaye hafai hata kumsikiliza
kudadeq eti shekh!?? eti balaa lake liko wap? dhambi iko wapi?? mmmh hawa wengine msiseme ni mashekhe hawa ni wapotoshaji
Nae ni binadam kateleza kwaio tuchukue mazur yake na mabaya yake tuyaache, tusiwatusi masheik nao n binadam tu.
Sasa kama hili umelitambua udhani mangapi atakufa fanya ambayo huyajuii kwa kwa uchache wa elimu yako,ingiza Google angalia fatawa za wanavyuoni ,,,mkitadharishwa watu wametetea,mshukuru Allah kuwa hali walijua
Mziki ni haramu tu.
Huwezi kufikisha jambo jema mpaka kwenye mziki?.
nipe aya au hadithi ilioharamisha mziki
@@presstv7700inamaana wewe quran husomi
Sasa vp kuusu ala za muziki maana ndo tunaambiwa kharam .shekh amesema hii nyimbo haina ubaya anamaanisha ala za muziki ni halali ama vp, afafanue tuelewe.pia kwa anavotaka yeye ukimtaja Allah kwa majina yake ukachanganya na muziki kweke itakua hakuna ubaya au vp.
Kisha mtu kama huyu ngo aje kumradi Dr Islam Muhammad Salim ima Sheikh Muhammad Bachu si unaona ni Channel yako niyakupoteza tu watu huyu ni zaidi ya mlango wa moto watu kucheza watu kama mweye haya acha tuone mpaka mwisho 😂😂😂😂
Wote hao ulowataja si waislam bali ni wakristo no 2.... Mana ni mawahabi
Chizi hiloooo yaani msabaha ni tahira huyu sio shekhe yeye ni mlevi tu Kama walevi wengine
Sheikh ni wew msomi mkubwa,
Binadam gani asieteleza? Yaan mtu unaweza kufanya mema mia ila baya Moja tu linakutia ubaya hii haipo.
Hawa ndio waitwao Masheikh, eti mtu kama huyu pia humradi Sheikh Kassim Mafuta. Mtashuhudia mengi sana kwa hawajamaa wa Maulid
kw iyo ashaingia motoni mungu au
Anayosema yanahusiana na kitu gani kuhusu maulid???
Maulid inakukela kwani
Mafuta sio sheikh wewe acha ujahili mafuta ni tullab l ilm na mwenyew anakiri hilo sasa ww unasema ety ni sheikh na nimpotoshaji tuu wakiwahabi
Kasim Mafuta ni wahabi na mawahabi ni wakristo no 2
😂