WASOMA MAULIDI WANAJUWA KUKATA MBUNO TU SHEIKH SALUM MSABAH

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 67

  • @omarsima2763
    @omarsima2763 11 หลายเดือนก่อน +10

    Shekh wewe ni phylosofer mzuri na msomi mzuri wa kufuatwa. Allah sw akujalie uzidi kutuelimisha.

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 11 หลายเดือนก่อน +5

    Uislamu ilikwepo tangu adam(A.S) ila uliwafikia wa kwanza kwa wakati wao ni bi khadijah(R.A)

  • @MohamedMohamed-ge8fi
    @MohamedMohamed-ge8fi 11 หลายเดือนก่อน +1

    AL hamdulillah hayo ndio Mawaidha Insha Allah akuzidishe Elimu zaidi

  • @user-xk8yt7lg4f
    @user-xk8yt7lg4f 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran Sheikh Musabah kwa kuwapa maneno wajue... Siasa iliingzwa katika Dini

  • @HijasSaidy-ke2tm
    @HijasSaidy-ke2tm 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sheikh hao unaewapa ilmu hii, wametia Pamba ktk masikio, wamechificha kwenye dini,

  • @user-rf3mg3bh9j
    @user-rf3mg3bh9j 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanachuni mzuri na msomi sana mashalllah

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 11 หลายเดือนก่อน +1

    MASHAALLAH

  • @fay9687
    @fay9687 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sijui kama kitana kinaingia kwenye hizo nywele subhanallah unaonekana kama chokoraa fulani

    • @ameirmanzi2684
      @ameirmanzi2684 10 หลายเดือนก่อน +1

      Iyo subuhanawah ya nn apo wakati wewe umemchunguza wakat nikosa kuchunguzana

    • @elhelaaltraders7233
      @elhelaaltraders7233 6 หลายเดือนก่อน +1

      Chokoraa ni wew usiejielewa

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sisemi hivi kwa Majigambo lkn muhimu Tusiwazugushe waislamu..wakawa wanabeb ufahamu usio sahihi..Allah s.w atusamehe tunapokosea..

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh kwa kuhimiza watu wasome

  • @IssaSalimu-gi7zz
    @IssaSalimu-gi7zz 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki wemkweli ☝️☝️☝️❤️❤️❤️✌️

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 11 หลายเดือนก่อน +2

    👏👏

  • @rashid3562
    @rashid3562 11 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ni genius

  • @ramadhankheir4793
    @ramadhankheir4793 11 หลายเดือนก่อน +3

    Maulid uzushi tu tusizungushane sana

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 11 หลายเดือนก่อน

      Hujalazimishwa

    • @ramadhankheir4793
      @ramadhankheir4793 10 หลายเดือนก่อน

      @@aliabdalla9297 ata ww pia hujalazimishwa kuacha ww endelea kufuata

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 10 หลายเดือนก่อน

      AKILI HUNA WEWE.
      MTUME HAKUPANDA GARI MBONA WEWE UNAPANDA.

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kwa wanawake muislam wa kwanza ni mama khadija na kwa mwanamume ni abubakar

  • @feisalhanafi7332
    @feisalhanafi7332 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa komedi upo vizuri.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 11 หลายเดือนก่อน +2

    Duh mashehe wengi sikuizi

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 หลายเดือนก่อน +1

    kwanza kawatovekea adabu walimu wake..kw kusema kua anajua kua anaburuzwa kw hivo anawasikiliza kisha anawaachia wenyewe..hii sio adabu..la pili anajidhihirish zaidi kua kasoma kwa watu sio wenye elimu za uhakika..ndio mana kawez kusema :NAWACHIA WENYEWE MENGINE MAZURI ANAYACHUKUA..hivo ata yeye hawezi kuaminiwa kua Ana elimu iliyo sahihi.ndio mana akawa anafetuwa akipatia sawa .hakupatia aachiwe mwenyewe..Huu ndio mtihan wa KUTOKUSOMA KWA WANAZUONI .

    • @omadal1
      @omadal1 10 หลายเดือนก่อน

      Yaani weyee katika hili darasa umeona kasoro tu hujapata manufaa yoyote? Tuwache tabia za kukosowa wakati hatujamfahamu Kwa sababu ya ukosefu wa elimu

    • @IsmailIsmail-ix1yd
      @IsmailIsmail-ix1yd 10 หลายเดือนก่อน

      ALKAMALU LLAHI WAHDAHUU. TAFUTA ELIMU UTUMIE NA MAARIFA.

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati unasom kwa mashekhe wengi, mengine unasema unawaachia wenyewe unapoon wanakudanganya hii qauli niyasawa hii, waliokua wana kusomesh walikua nasifa gani mpak uchukua uamzi huo!!

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 11 หลายเดือนก่อน

    Ww sheikh wangu sio vzur sheikh kuwa na manywele kama hio

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  11 หลายเดือนก่อน

      kama ulikuwa hujuwi mtume alikuwa na nyewele yeye zake alizilaza

  • @WajihiAbdalla
    @WajihiAbdalla 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamu alaikum sheh umeshapima kati ya nashid na maulid jeep nashid sio uzushi

  • @SamsungA14-wz4fg
    @SamsungA14-wz4fg 11 หลายเดือนก่อน +1

    leo ndio nimemjua huyu salum msabbah kua Porojo analo jingi kichwani

    • @mrfix6596
      @mrfix6596 11 หลายเดือนก่อน

      Unamaanisha hujamuelewa au umemuelewa sana?

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 4 หลายเดือนก่อน

    hamtaki kuambiwa ukweli

  • @HusseinOmar-lx2wt
    @HusseinOmar-lx2wt 4 หลายเดือนก่อน

    shida hamtaki kuambiwa ukweli

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ama kweli uongo ukizungumzwa kwa muda mrefu hatimaye huonekana kanakwamba ni ukweli. Ukweli ni kwamba mtume anapomuoa bibi Khadija hakuwa na miaka 40,

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 หลายเดือนก่อน

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 10 หลายเดือนก่อน

    Kanye nywele zako kwanza zimejaa chawa huna ilimu yoyote ww fujo tu mm naona kama ww kabla yakuzungumz unavutabangi

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sio 40 miaka ya mama khadija bali 38 ndo sahihi zaid

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 11 หลายเดือนก่อน

      Hata 38 sio sahihi, usahihi ni kati ya miaka 29 na 31

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@sautikuu212qawli enye nguvu 28

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 หลายเดือนก่อน

      Nyie mbona mnang'ang'ania vitu ambavyo mwanachuoni wamegongana kimawazo na kimapokeo...
      Nyie ndo mnaoleta FUJO katika dini...
      Hayo majibu kila mtu yupo sahihi katika mapokeo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 หลายเดือนก่อน

      @@sadiqselengu4197 hyo nisawa akhy hakuna alio pinga mtu akisema 28 saw akisema 40 saw lkn hua kna qawli enye imezungumzwa na wanachuoni wengi ndio hua enye ngvu akhy lkn hkn kubishana

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 11 หลายเดือนก่อน +1

      @@saidsobongo912 Changamoto inakuja unamwambia mtu MUONGO ukizingatia ni sheikh na msomi huo ni ukosefu adabu kama mtu unajua ni ikhtilafu kila mtu anayo anayoitegemea KWAHYO TUHESHIMIANE ndio dini inavyotakiwa

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 11 หลายเดือนก่อน +1

    Angalau sisi marasta tuwe na shehe wetu.. Songa rasta shehe 😂😂😂

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 11 หลายเดือนก่อน

      Fanya Adabu na masheikh zetu

    • @showshowtv1854
      @showshowtv1854 11 หลายเดือนก่อน

      Afu ww kuwa na adab

    • @user-cf9zy5xr1j
      @user-cf9zy5xr1j 10 หลายเดือนก่อน

      Hhhhhhhhhhhh

    • @JK-um6op
      @JK-um6op 10 หลายเดือนก่อน

      @@user-cf9zy5xr1j aaaa kusema shehe asonge rasta ni kukosa adabu..? Eeeeh jamani mbona siwa fahamu..? shehe wangu namfwata darsa zake mbona..

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 10 หลายเดือนก่อน

    Unasema GONGO HALIKO KTK UTARATIBU. MTUME ALIKUWA ANAPIGA PASI NGUO. MBONA NYINYI MNAPIGA PASI

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 11 หลายเดือนก่อน

    Aisee huu kweli mtihani, mbona wewe hujulikan ukowap, watu wamaulidi unawaponda, wanaopinga maulidi unawaponda,

    • @mwarabuwamafia5590
      @mwarabuwamafia5590 11 หลายเดือนก่อน

      Yupo upande wa wafuga nywele Na kucha

    • @BTVBATTAWY
      @BTVBATTAWY  11 หลายเดือนก่อน

      kufuga nywele ni sunna hata mtume alikuwa na nywele ndefu alizilaza kuhusu kucha huyu alipokuwa anakunywa pombe figo zilikaribia kufeli hivyo kuweka kucha ni moja ya matibabu ya figo zikioza kucha figo linakuwa na tatizo

  • @JK-um6op
    @JK-um6op 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mwalimu songa rasta bora.. 😂😂😂

    • @showshowtv1854
      @showshowtv1854 11 หลายเดือนก่อน

      Alaf ww acha madiara😂

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Naga bawa wa india

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 11 หลายเดือนก่อน +1

    At hathibitishi wala hapingi 😅😅😅😅

  • @fay9687
    @fay9687 10 หลายเดือนก่อน

    Jamani uislaam ni nadhifu mbona hata nywele huchani tobaa

  • @asiahsaidsaid1388
    @asiahsaidsaid1388 11 หลายเดือนก่อน

    Kumbeeee niwale wale

  • @AllyNgale
    @AllyNgale 11 หลายเดือนก่อน

    Huyu Shekh kashindwa kuwafundisha haki jamii balialichokionahaki ni kuwatusi Watu wa Maulidi eti ni wakata mbuno hayawewe lako ni lipi mbonayaonyesha wewe hatakujiswafisha hujui na ushekh wako? Maana minyweli
    كأنك الشيطان
    Mtume hakua hivyo

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 11 หลายเดือนก่อน

      ni kweli wa maulidi ni wakata viuno ndio maana mtume akasema BIDAA zote maisho wake ni upotevu na akakemea sana juu ya bidaa.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@medimisi6930kinachokukera ni hayo maulid tu huna jengine utasingizia kila baya

    • @ismailgumbo289
      @ismailgumbo289 11 หลายเดือนก่อน +2

      Ww wamtusi muislam tena msomi wadin kama huyo wamuita shetan kwasababu yanywele zake alizofuga? Hakika ww nimuovu namajibu yako utayabata kwa Allah kwakumtusi msomi.

    • @HappyAlpineVillage-rt2jw
      @HappyAlpineVillage-rt2jw 9 หลายเดือนก่อน

      Kijana ukitaka kumuhukumu mtu Kwanza jua ukweli wake. Shauri yako

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 9 หลายเดือนก่อน

      @@HappyAlpineVillage-rt2jw mh, na ww ni wa kukata mbuno nini, tufuate haki ishallah