Hawa wasafi cc simba ata hawatupi tabu maana hawajui mpira, maana hata kujua nini maana ya home advantage inavofanya kazi, awesu anacheza ligi ambayo keshaizoea kwamaana yupo home lakini ahoua yupo away so anahitaji muda kuizoea, lkn yote na yote wanasimba tushakuzoeeni na tunajua ni vibaraka wa nani. Simba nguvu moja.
Jamn kwakwel tabora wangefunguka wangefungwa goals nyingiiii sana awesu awes ply Meka nzuri sana inabid awekwe no 10
So good 😊😊😊
Simba hii haina mfumo wa kutengeneza nafasi za kufunga ndo maana mukwala hawezi kupata nafasi ya kufunga.
Mjasema wapizani nando kwanza safali ina anza wakizoeana wachezaji tu mtaisoma namba
itafahamika tu 😢😢 hapo bado gari halijawaka ndio kwanza ' maji moto tumeweka mchele'
Hahahaa hamkawii kusema Mangungu aondoke.
Simba yetu bado tumeshinda lakini mpira ovyo, mukwala Hana baya shida hana wapishi.
Forward hutu
Unazi tuu kwa mastraika wetu muwaache
Hawa wasafi cc simba ata hawatupi tabu maana hawajui mpira, maana hata kujua nini maana ya home advantage inavofanya kazi, awesu anacheza ligi ambayo keshaizoea kwamaana yupo home lakini ahoua yupo away so anahitaji muda kuizoea, lkn yote na yote wanasimba tushakuzoeeni na tunajua ni vibaraka wa nani. Simba nguvu moja.
Kimeimalika KULIKO TIMU ya MWAKA Jana?TIMU GANI INAFANYA MAZOEZI MASHINDANONI?HUU NI UZEMBE!
Kimeimarika ukilinganisha na nini?bado sana ila sbb nyinyi ni wale wale, tusubiri kila mwaka ni hayo hayo.
Kwani we ulitakaje